Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,860
Leo umebadilisha lugha ghafla. Tutaelewana tu.Tukutane kwenye kampeni sasa
Mkitoka hapo Hakuna kisingizio hata mkishindwa
Hahhaa eti waliokubambikia kesi ndio hao hao waamuzi mahakamaniSasa hii nini? Utawala wa “sheria” umeenda wapi? Hili sio jambo la kusherehekea. Haiwezekani watendaji wafanye madudu ya kipumbavu (wengine kwa kufuata maelekezo...) harafu eti boss wao anakuja kutengua. How come?
Sasa atawachukulia hatua gani? Will there be a free and fair election hapa? Waliofanya madudu ndo hao hao watakaosimamia zoezi tena
kwahyo wasimamizi watakua hawahawa waliochafua?Ningeshauri vyama vilivyojitoa visirudi kushiriki uchaguzi/wasidhamini mgombea yoyote
Mnalazimisha nini?Lile swali dogo ambalo sijajua limeenda wapi sasa limekuwa swali la msingi.
Je, Chadema watarudisha udhamini kwa wanachama wao waliorejeshwa kwenye uchaguzi?
Maendeleo hayana vyama!
Melo is there to stay forever.ASANTE JF, NADHANI AMESOMA MAONI YA UMMA HAPA JF! BRAVO Maxence Melo kwa forum hii
Jafo, why all this trouble? Si muache mtawale nyinyi peke yenu? Nilisema mmerahisishiwa kuua upinzani, tabu yote unayopata ya nini? Unahangaika nini? Kwani upinzani watawafanya nini? Majeshi mnayo, pesa ni zenu, why all these trouble?Waziri wa Tamisemi, Seleman Jafo amesema hakuna atakayejitoa uchaguzi wa Serikali za Mitaa na wote waliochukua fomu na kurejesha watashiriki uchaguzi huo kasoro wenye makosa ya uraia, kutojiandikisha katika mtaa husika, kujiandikisha mara mbili, kutodhaminiwa na chama chake #MwananchiUpdates
19%+4%=23%
Iweje CCM awe na 79%
Nauliza tu miye nilisoma HGL
Maendeleo hayana vyama!
Wapi wamelazimisha?Mnalazimisha nini?
huoni kama huku ni kulazimishana..wamewaachia uchaguzi wenu,nini mnahangaika ccmWapi wamelazimisha?
Dada yetu unafanya kazi saa ngapi?Tupo tunamfatilia mchapa kazi
Hahaahah Mkuu.. yaani wajitoe wengine walalamike wengine [emoji3][emoji3][emoji3]Mnalazimisha nini?