Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

Uchaguzi utafanyika August 2910? Hiyo ni miaka zaidi ya 800 kutoka sasa!
tapatalk_1573393145626.jpeg
 
Tuna omba na wale waliofunga ofisi warudi ofisini.
Lile swali dogo ambalo sijajua limeenda wapi sasa limekuwa swali la msingi.

Je, Chadema watarudisha udhamini kwa wanachama wao waliorejeshwa kwenye uchaguzi?

Maendeleo hayana vyama!
 
Sweet Miss Chadema and sweet Miss ACT wazalendo I love you so.much my two sweet babies please shirikini uchaguzi please nyie ni warembo nawapenda.Msiniangushe wapenzi .Msiposhiriki nitajisikia vibaya wapenzi.

Unajichekesha bure na kujifanya kuleta lugha za kejeli. Hao vyama vya upinzani wasikubali kushiriki na wakikubali kushiriki huo ushenzi imekula kwao. Tunahitaji tume huru ya uchaguzi sio huo uhuni wa kitoto.
 
Siasa za ulaghai zimefika mwisho Wananchi hatudanganyiki tena

Mimi nilijua huu ni mchezo wa upinzani kuepuka aibu ya kushindwa

Wamenusa harufu ya uchapakazi wa Magufuli anavyokubalika kwa Wananchi wakaona njia ya kuepuka aibu ni kujitoa kwenye Uchaguzi

Ila kwa kuwa Serkali inamkono mrefu ikawa imenasa huo mtego

Wengine walikosea kujaza fomu makusudi ili wasipitishwe

Ningeomba serkali iwarudishe wote hata wale wasio jua kusoma na kuandika
Vpi kuhusu kupita bila kupingwa kwetu hai inzi mnavioja
 
Walio waengua ndiyo wafanya maamuzi, wakirudi ulingoni wasilalamikie rafuu,
 
Siasa za ulaghai zimefika mwisho Wananchi hatudanganyiki tena

Mimi nilijua huu ni mchezo wa upinzani kuepuka aibu ya kushindwa

Wamenusa harufu ya uchapakazi wa Magufuli anavyokubalika kwa Wananchi wakaona njia ya kuepuka aibu ni kujitoa kwenye Uchaguzi

Ila kwa kuwa Serkali inamkono mrefu ikawa imenasa huo mtego

Wengine walikosea kujaza fomu makusudi ili wasipitishwe

Ningeomba serkali iwarudishe wote hata wale wasio jua kusoma na kuandika
Dogo wacha ujinga, itabidi uchaguzi uhahirishwe wadau waaanze upya. mmeharibu kwa sababu ya papara zenu. Mkiwarudisha wagombea bila kujaza fomu upya ni tatizo lingine.

Hakuna atakayeshiriki uchaguzi ambao unasimiwa kwa ulaghai, suluhu ni kukaa meza moja na wapinzani ili kuondoa hizo kasoro
 
Wale walioshindwa kurejesha fomu kwa kile kinacho amainika walijificha wao hatma yao ikoje? Ila ushauri wangu wapinzani msikubali tuone kama kutakua na uchaguzi wa upande mmoja....
 
Eti anasema kama jina lilikatwa alafu ukaenda kushtaki eti jibu likitoka kuwa umeshinda basi jina lako litakuwa kwenye form ya wagombea..
Sasa najiuliza mtu ameshakatwa alafu chama chake kishajivua alafu jina mkaliweke kwenye form ya wagombea ina maana huyo mgombea atakuwa binafsi au??
Uchaguzi uhahirishwe kanuni Itungwe upya kwa pamoja na wadau
 
Viongozi wa dini ni wanafiki..

Tena hao viongozi wa dini sio wa kuwasikiliza kabisa, maana mambo ya dhuluma za wazi zinafanyika wako kimya. Nadhani ni vyema vyama vyote vilivyosusia vijitoe kabisa kwenye chaguzi zote mpaka tuwe na tume huru ya uchaguzi. Huu uhuni umekuwa wazi kabisa, na kama sio pressure ya mitandao huu uhuni ungeendelea. Hatuwezi kuendelea kufanya chaguzi ambazo box la kura haliheshimiwi. Nadhani hapa hapa ndio sehemu sahihi ya kudai katiba mpya itakayoleta tume huru ya uchaguzi.
 
Siasa za ulaghai zimefika mwisho Wananchi hatudanganyiki tena

Mimi nilijua huu ni mchezo wa upinzani kuepuka aibu ya kushindwa

Wamenusa harufu ya uchapakazi wa Magufuli anavyokubalika kwa Wananchi wakaona njia ya kuepuka aibu ni kujitoa kwenye Uchaguzi

Ila kwa kuwa Serkali inamkono mrefu ikawa imenasa huo mtego

Wengine walikosea kujaza fomu makusudi ili wasipitishwe

Ningeomba serkali iwarudishe wote hata wale wasio jua kusoma na kuandika
Wewe ni mwehu kabisa
 
Siasa za ulaghai zimefika mwisho Wananchi hatudanganyiki tena

Mimi nilijua huu ni mchezo wa upinzani kuepuka aibu ya kushindwa

Wamenusa harufu ya uchapakazi wa Magufuli anavyokubalika kwa Wananchi wakaona njia ya kuepuka aibu ni kujitoa kwenye Uchaguzi

Ila kwa kuwa Serkali inamkono mrefu ikawa imenasa huo mtego

Wengine walikosea kujaza fomu makusudi ili wasipitishwe

Ningeomba serkali iwarudishe wote hata wale wasio jua kusoma na kuandika
Katika watu jimga basi unambari.one
 
Back
Top Bottom