Ndiyo Uwaulize CCM wenzako??Eti anasema kama jina lilikatwa alafu ukaenda kushtaki eti jibu likitoka kuwa umeshinda basi jina lako litakuwa kwenye form ya wagombea..
Sasa najiuliza mtu ameshakatwa alafu chama chake kishajivua alafu jina mkaliweke kwenye form ya wagombea ina maana huyo mgombea atakuwa binafsi au??
Naona kidani hapa cha wapaka hinah tu
State agent
Msukule wewe Umeishiwa hata cha kuandikaNaona kidani hapa cha wapaka hinah tu
State agent
Kama kuna uamuzi wa hovyo uliwahi kufanyika basi ulikuwa huu wa mapingamizi ya kijinga kabisaWaziri wa Nchi ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametangaza kuwaruhusu wagombea wote waliochukuwa fomu na kuzirejesha kwa ajili ya kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika nchini Tanzania Novemba 24, 2019 wanaruhusiwa kushiriki uchaguzi huo na amefuta maamuzi yote yaliyofanywa na wasimamizi wa uchaguzi Nchini kote ya kuwaengua wagombea wa vyama mbalimbali. Waziri Jafo ametoa uamuzi huu jijini Dodoma alipokuwa akizungumza na wanahabari leo.
Chanzo: Ukurasa wa OT-Tamisemi Facebook
Sasa umeandika mavi gani aiseSiasa za ulaghai zimefika mwisho Wananchi hatudanganyiki tena
Mimi nilijua huu ni mchezo wa upinzani kuepuka aibu ya kushindwa
Wamenusa harufu ya uchapakazi wa Magufuli anavyokubalika kwa Wananchi wakaona njia ya kuepuka aibu ni kujitoa kwenye Uchaguzi
Ila kwa kuwa Serkali inamkono mrefu ikawa imenasa huo mtego
Wengine walikosea kujaza fomu makusudi ili wasipitishwe
Ningeomba serkali iwarudishe wote hata wale wasio jua kusoma na kuandika
Namuona jafo hapa UTV wagombea wa chadema walikuwa 19% ya wabombea wote
CUF likuwa na wagombea 4% ya wagombea wote
VYAMA vilivyobakia walikuwa 1.005 ikiwemo na ACT
CCM ilikuwa na wahombea 79& ya wagombea wote
Form zilizokataliwa zilikuwa asilia 28.66% ya form zote
State agent
Wakati Watendani wa kata na Vijiji wana funga Offisi na kutokomea kusikobjulikana mbona alikuwa haendi live?
Wewe na halima mnashea mmeMuulize halima mdee
Mkuu laana kitu kibaya Sana.Hii inchi inatia hasira Sana. We acha tuSidhani kama ana hekima ya kuweza kutoa kauli yoyote ile ya kulisaidia Taifa. Hawa wamelaanika. Aliyelaanika hasikii wala hasikilizi.
Hawa siyo watu wa kubadilika ili waendane na matakwa ya umma bali wanataka umma utekeleze tu wanayoyataka wao hata kama ya upuuzi.
waliochana fomu nao waludishe kipande kimojakimojaTuna omba na wale waliofunga ofisi warudi ofisini.
Kama hupendi hama nchiWewe na genge lenu la ufipa
Hiyo ni laana kwa wazazi wako na taifa kwa ujumlaTukutane kwenye kampeni sasa
Mkitoka hapo Hakuna kisingizio hata mkishindwa
Tukutane kwenye kampeni sasa
Mkitoka hapo Hakuna kisingizio hata mkishindwa
Mnapata wapi muda wa kumsikiliza huyo Mpuuzi.
Wewe hicho kichwa kwa ajili ya kufugia nywele na sio kufikiriaWapinzani waliona watashindwa vibaya ikabidi wakimbie
Ila janja yao imestukiwa,hakuna kujitoa
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametangaza kuwaruhusu wagombea wote waliochukuwa fomu na kuzirejesha kwa ajili ya kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika nchini Tanzania Novemba 24, 2019 wanaruhusiwa kushiriki uchaguzi huo na amefuta maamuzi yote yaliyofanywa na wasimamizi wa uchaguzi Nchini kote ya kuwaengua wagombea wa vyama mbalimbali. Waziri Jafo ametoa uamuzi huu jijini Dodoma alipokuwa akizungumza na wanahabari leo.
Chanzo: Ukurasa wa OT-Tamisemi Facebook