Watanzania tutabaki gizani hadi pale mwana wa Israel atakapokuja kutimiza wajibu wake,hainiingii akilini Watanzania wote tumeridhia uchaguzi usimamiwe na serikali iliyopo madarakani ambapo na wao ni sehemu ya washindani,hovyo kabisa
Uchaguzi wa serikali za mitaa umenajisiwa,hausafishiki kwa matangazo ya kwenye vyombo vya habari.
Ufutwe kabisa,Serikali ikae na vyama vya siasa kuona njia sahihi ya kufanya chaguzi hizi,lakini hii ya kusema wagombea waliofutwa wamerejeshwa si kweli,chaguzi hizi haziwezi kuwa huru asilani