Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

Kama kuna uamuzi wa hovyo uliwahi kufanyika basi ulikuwa huu wa mapingamizi ya kijinga kabisa
Asante kama mmeliona hilo
Jamani twendeni tukashiriki uchaguzi hali sasa ni shwari
NO.
 
Twendeni kwenye uchaguzi tuone kama mtapata hata mtaa mmoja. Tuko na nyinyi hamtoki safari hii hakuna kisingizio hata hao vilaza wasiojua kujaza fomu wameruhusiwa!
Hivi hofu ni nini kwa mazuri yote ayafanyayo jiwe?!! Hatuwezi toka kwasababu wasimamizi wote wa uchaguzi ni wenu, ni mjinga tu ndio anaweza kutumia mbinu ile ile na kutegemea matokeo tofauti!!! Mnataka kuwafanya wapinzani rubber stamps tu, ya mlicho isha kiandaaa!!! SHAME ON U!!
 
Best comment so far
Screenshot_20191110-195632_Facebook.jpeg
 
Hajakombolewa na elimu. He looks primitive, he acts primitively, he embraces primitivity. He takes the nation backward.
Kinachonishangaza tu ni kuwa hao wanaomlinda au kumtibia pale anapougua hayo matatizo yake wao hawayaoni? it seems like kwa watu wengi wenye nafasi our country is not their priority
 
Kinachonishangaza tu kuwa hao wanaomlinda au kumtibia pale anapougua hayo matatizo yake wao hawayaoni? its seems kwa watu wengi wenye nafasi our country is not their priority
Wao wanamtumikia kafiri...
 
Mimi kwenye hii awamu huwa nawasifia kwenye halaiki lakini siwapendi hawa viongozi hususani wa CCM hata bure
 
Lol, supporters will say, you went too far, with your comment.
Lakini ni uwongo au ukweli? Kama nimenena uwongo, nipo tayari kufuta.

Ubinadamu hupimwa kwa ustaarabu. Na ustaarabu ni kujua kuwa kila aitwaje mwanadamu ana utu na haki za msingi kama zako. Ukikosa ustaarabu, na ukawa na nguvu, unaweza kuua, kuteka au kuwatesa watu wengine. Haya yaliyotendwa na CCM kwenye mchakato kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ni matokeo ya primitivity. CCM wanaamini wao ni binadamu zaidi, wanaamini wao ni watanzania zaidi, wanaamini hawatakiwi kushindanishwa na yeyote. Wanaamini kila mtanzania anatakiwa atii lolote linalotoka kwa chama chao. Tunatakiwa kuwa watii kwa jamhuri siyo kwa chama au kwa watawala. Watawala na vyama vinaweza kupotoka lakini Jamhuri haiwezi kupotoka. Na yale yaliyo sahihi kwa Jamhuri yetu yameelekezwa na Katiba na Sheria mbalimbali.

Afrika, ukiondoa mataifa machache, viongozi wengi ni primitive. Wanaamini kwa sababu wana madaraka, basi wana ubinadamu kuwazidi wale wasio na madaraka. Kwa vile wanaamini kuwa wao ni binadamu zaidi, wanaona hawastahili kubishiwa, hawastahili kukosolewa, hawastahili kulaumiwa au hata kusemwa. Wawe wametenda mabaya au mazuri, wanaona wanastahili kuabudiwa, kusifiwa, kupongezwa na kuogopwa. Na haya yapo mpaka kwenye familia.
 
Wapuuzi nyie hao watendaji mnaowatisha wawatangaze washabadilishwa?
 
Nimesikia kuna mtu amefura jumba jeupe hataki ata kula ; Anadai kwanini hao wapinzani na alishatoa amri wafutwe wote ?

Anasema yeye hapingwi na ngoja uchaguzi uishe kama Unajua ujajiandika kupiga kura utasakwa popote ulipo na utaona chamtemakuni.
Poleni waTanzania watu ambao hawakua tayari mkawasukumia kitu kigumu sasa anawatesa kwanini mlimsukumia.
kusakwa tena
 
Lakini ni uwongo au ukweli? Kama nimenena uwongo, nipo tayari kufuta.

Ubinadamu hupimwa kwa ustaarabu. Na ustaarabu ni kujua kuwa kila aitwaje mwanadamu ana utu na haki za msingi kama zako. Ukikosa ustaarabu, na ukawa na nguvu, unaweza kuua, kuteka au kuwatesa watu wengine. Haya yaliyotendwa na CCM kwenye mchakato kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ni matokeo ya primitivty. CCM wanaamini wao ni binadamu zaidi, wanaamini wao ni watanzania zaidi, wanaamini hawatakiwi kushindanishwa na yeyote. Wanaamini kila mtanzania anatakiwa atii lolote linalotoka kwa chama chao. Tunatakiwa kuwa watii kwa jamhuri siyo kwa chama au kwa watawala. Watawala na vyama vinaweza kupotoka lakini Jamhuri haiwezi kupotoka. Na yale yaliyo sahihi kwa Jamhuri yetu yameelekezwa na Katiba na Sheria mbalimbali.

Afrika, ukiondoa mataifa machache, viongozi wengi ni primitive. Wanaamini kwa sababu wana madaraka, basi wana ubinadamu kuwazidi wale wasio na madaraka. Kwa vile wanaamini kuwa wao ni binadamu zaidi, wanaona hawastahili kubishiwa, hawastahili kukosolewa, hawastahili kulaumiwa au hata kusemwa. Wawe wametenda mabaya au mazuri, wanaona wanastahili kuabudiwa, kusifiwa, kupongezwa na kuogopwa. Na haya yapo mpaka kwenye familia.
They rule out of fear they inflict in people not strength of their leadership role.

In this world there powerful and weak people, not in between, the powerful always rule the weak.

So chose your side.
 
Kwenye huu uchaguzi nilichogundua ni kuwa Chama kinachotaka kuwa mbadala wa CCM viongozi wake hawana hata uwezo wa kujaza fomu.
Tusiliangalie hili suala kwa mihemko ya kisiasa.

Chaguzi zimebeba dhima na mustakabali wa maisha ya waTanzania walio wengi.
Hatua za makusudi zinahitajika ili kurejesha muungano wetu kama Taifa.
 
Lakini ni uwongo au ukweli? Kama nimenena uwongo, nipo tayari kufuta.

Ubinadamu hupimwa kwa ustaarabu. Na ustaarabu ni kujua kuwa kila aitwaje mwanadamu ana utu na haki za msingi kama zako. Ukikosa ustaarabu, na ukawa na nguvu, unaweza kuua, kuteka au kuwatesa watu wengine. Haya yaliyotendwa na CCM kwenye mchakato kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ni matokeo ya primitivity. CCM wanaamini wao ni binadamu zaidi, wanaamini wao ni watanzania zaidi, wanaamini hawatakiwi kushindanishwa na yeyote. Wanaamini kila mtanzania anatakiwa atii lolote linalotoka kwa chama chao. Tunatakiwa kuwa watii kwa jamhuri siyo kwa chama au kwa watawala. Watawala na vyama vinaweza kupotoka lakini Jamhuri haiwezi kupotoka. Na yale yaliyo sahihi kwa Jamhuri yetu yameelekezwa na Katiba na Sheria mbalimbali.

Afrika, ukiondoa mataifa machache, viongozi wengi ni primitive. Wanaamini kwa sababu wana madaraka, basi wana ubinadamu kuwazidi wale wasio na madaraka. Kwa vile wanaamini kuwa wao ni binadamu zaidi, wanaona hawastahili kubishiwa, hawastahili kukosolewa, hawastahili kulaumiwa au hata kusemwa. Wawe wametenda mabaya au mazuri, wanaona wanastahili kuabudiwa, kusifiwa, kupongezwa na kuogopwa. Na haya yapo mpaka kwenye familia.
Uko sahihi kabisa, nilitoa angalizo watakuja mataga, hutokosa mayai viza usoni.
 
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametangaza kuwaruhusu wagombea wote waliochukuwa fomu na kuzirejesha kwa ajili ya kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika nchini Tanzania Novemba 24, 2019 wanaruhusiwa kushiriki uchaguzi huo na amefuta maamuzi yote yaliyofanywa na wasimamizi wa uchaguzi Nchini kote ya kuwaengua wagombea wa vyama mbalimbali. Waziri Jafo ametoa uamuzi huu jijini Dodoma alipokuwa akizungumza na wanahabari leo.

Chanzo: Ukurasa wa OR-Tamisemi Facebook


Hata hivyo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa nchini Tanzania (Tamisemi), Selemani Jafo ametangaza wenyeviti wa vijiji 6,248, wa mitaa 1169 na vitongoji 37,505 wanaotokana na CCM wamepita bila kupingwa baada ya kutojitokeza kwa wagombea kutoka vyama vya upinzani.


“Kwa upande wa vitongoji Chama cha Mapinduzi kimepita bila kupingwa katika vitongoji 37,505 kati ya vitongoji 64,384 sawa na asilimia 58,”

Amesema katika wajumbe wa kundi la wanawake jumla ya wajumbe 64,085 wamepita bila kupingwa na wajumbe kundi la mchanganyiko jumla ya wajumbe 75,560 wamepita bila kupingwa.

kwa maana hiyo katiba na sheria za nchi zinaruhusu asiyekuwa mtumishi wa tume ya uchaguzi kutengua maamuzi yaliyo tolewa na tume ya uchaguzi? Ama uchaguzi huu tume ya uchaguzi haitumiki? Kutangaza ushindi wa aslimia ngapi kwa asiyekuwa mtumishi wa tume ya uchaguzi si ndio ilikuwa sababu ya kufutwa kwa uchaguzi wa zanzibar kwa mujibu wa taarifa?
 
Twendeni kwenye uchaguzi tuone kama mtapata hata mtaa mmoja. Tuko na nyinyi hamtoki safari hii hakuna kisingizio hata hao vilaza wasiojua kujaza fomu wameruhusiwa!
Sasa mmeshajua kama upinzani hawatapata mtaa mmoja. Kujitoa kwao kusiwashughulishe maana matokeo yatakua yale yale. Sana sana hapa muda na gharama za uchaguzi zitakua zimeokolewa...huoni faida kwenu??? Au mnaona aibu kupewa ushindi wa mezani??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hoja ya ni sheria ipi inawafanya CCm waporomoshe matus humu
 
Back
Top Bottom