Waziri mkui wambie watanganyika kwani hawa nao wamepewa waarabu?
 

Attachments

  • B3B67456-A266-4254-B05E-DEF1144556A7.jpeg
    23.3 KB · Views: 7
  • 7394C415-7323-4D46-A53C-71E06463F480.jpeg
    51.3 KB · Views: 7
  • 10E85B9E-722D-47EB-823B-83B72E0FCEEB.jpeg
    140.9 KB · Views: 7
  • 60EA54BB-F99D-4343-8F13-AB1324C6B416.jpeg
    66.2 KB · Views: 6
Hatuna shida na DPW. Sisi wananchi tuna shida na yaliyomo kwenye mkataba.
 
Waziri mkuu waambie watanganyika kwanini DP world hawakupewa bandari ya Zanzibar ?

Waziri mkuu waambie watanganyika kwanini mwanasheria mkuu wa serikali hakusaini mkataba wa DP world?

Waziri mkuu waambie watanganyika wabunge 30 na waandishi wa habari kibao walikwenda kufanya nini Dubai na walikwenda huko kwa gharama za nani?

Waziri mkuu soma ujumbe huu ili ujue watanganyika hawakuamini👇
 

Attachments

  • 658B4AA4-5F41-4CF1-9E0E-DFB907268572.jpeg
    37.4 KB · Views: 8
Majibu rahisi kwa hoja zenye msingi pale unaposema walifanya bila ya ufanisi kwani hakuna aliyekuwa anawasimamia hao TICTS katika mkataba wao wa awali hadi wafanye watakayo bila ya kuleta mitambo ya kutosha ya kupakulia mizigo toka kwenye meli. Kipi kiliwafanya muwaongezee mkataba wa miaka 5 tena na ikiwa hiyo miaka 20 walikuwa nje ya ufanisi . Hawa DP WORLD mmejipanga vipi kuwasimamia au mnataka mkiwa kaburini wajukuu zenu waje kuwasema kwa kushindwa kuweka wazi namna ya kuwasimamia hawa pia maana mfano tumeona kwa TICTS for 25 years with poor supervisory finally lead to blah blah , Tunangojea kuona BIDHAA zikishuka? . PM TUAMBIE FAIDA ZA MKATABA NA DP WORLD KWA MASLAHI YA TANZANIA YETU NA SI KWA HOJA DHAIFU HIZO.
 
Ni kweli TICS wamekuwa na utendaji mdogo tumewatoa, je hewa DPW na wenyewe wakiwa na utendaji mbovu tunaweza kuwatoa na kuweka wengine?
Waziri mkuu alipita bila kupingwa kinyume na katiba ya nchi sasa anasimamia kuuzwa kwa bandari na kila kitu.
Mwenye ile hukumu ya kukataliwa kwa kupita bila kupingwa tafadhali aiweke hapa
 
Hajajibu hoja zinazotiliwa shaka na wananchi.

Kwa ni wamepewa mkaba usio na Kikomo

Kwa nini wamepewa Bandari zoote, Anga, Reli na Barabara milele na milele.

Waziri Mkuu na yeye ni kama hajui kama sisi tu.

Mkataba upi? Mkataba bado
 
Kwanini hawakupewa maeneo waliyopewa ticts badala yake wamepewa bandari zote za Tanganyika, kama ticts walipewa miaka 20 na baadae miaka 5 wakashindwa huyu akishindwa ataondolowaje wakati mkataba hauna kikomo
 
Hili limeelezwa sana ila wapigaji pale bandarini ni wengi vishoka hawawezi kukubali mabadiliko kwa haraka tonge linadondoka.
 
Uzuri wake tumebakiza mwaka 1 kuingia kwenye Uchaguzi ujao hapo 2025.

Na kwa taarifa za ndani ile nguvu ya Ukawa ya 2015 itakuwa mara mbili zaidi maana ushawishi wa Chama Tawala upande wa Kanda ya ziwa umeshuka zaidi baada ya kifo cha JPM
 
Ila hii nchi ina mambo ya ajabu!! Mtu mmempa mkataba wa miaka 20 akavurunda vibaya bado mnamuongezea wa miaka mitano!!!! No wonder huu mkataba mwingine umekaa ndivyo sivyo🙆🙆🙆
 
Kwahiyo tayari DPW walishapewa?!!

Kwanini haikutangazwa tenda kama ilivyo taratibu?

Kwanini wananchi walidharauliwa kuchukuliwa mawazo yao kwanza kabla hawajaenda kwenye makubaliano?

Hii sio SAWA
 
Maswali yote uliyouliza yana jibu moja tu ni kwamba DP WORLD anakidhi sifa miongoni mwa makampuni yote katika uendeshaji wa bandari.
 
Hajajibu hoja zinazotiliwa shaka na wananchi.

Kwa ni wamepewa mkaba usio na Kikomo

Kwa nini wamepewa Bandari zoote, Anga, Reli na Barabara milele na milele.

Waziri Mkuu na yeye ni kama hajui kama sisi tu.
Nyie siyo kwamba hamjui ila mmeamua kukaza shingo kwa sababu mnazozijua hasa za kibiashara mnaona maslahi yenu yapo hatarini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…