Waziri Mkuu: Bandari imepewa DP-World kwa kuwa utendaji wa TICTS ni mdogo
Kwanini wasitolewe wasipotimiza malengo tuliyokubaliana? Umesoma makubaliano
Sawa mkuu, vipi kuhusu kikomo cha mkataba, je? Ni kweli pia bandari zote hadi za maziwa zitakuwa chini ya DPW? Naomba msaada wako maana mimi nasikia sikia tu.
 
Uvivu wao na uwezo wao mdogo wa kufikiri na kutazama mbali ndiyo umetufikisha tulipo, they are really ceremonial leaders who never think of our future generations, wao wanaishi hand to mouth
"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as white people are. They are still under the process of becoming the complete human beings".
By Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Kwa nchi za wenzetu Samia angekuwa kwenye hot chair, unaingiaje mikataba mikubwa bila Bunge kupitisha. Yaani ameshasaini mikataba ndio anakuja kuleta bungeni. Na jinsi Bunge la hovyo nalo linapitisha kitu ambacho hawakujua mwanzo wake. Samia rudisha mali za Watanganyika. Sijui hili bunge la vipi? Baada ya Bunge kuisimamia serikali sasa hivi serikali inaburuza Bunge. Ni ngumu sana kumtenganisha Samia na rushwa ama bunge hili na rushwa ni ngumu sana.
 
Akielezea suala linaloendelea kuhusu mkataba wa DP-World na Tanzania ametoa sababu kuwa ni utendaji kazi mdogo wa TICTS ambao umesababisha meli nyingi ziwe zinashushia mizigo Lamu, Mombasa au Afrika kusini hali ambayo imepunguza wateja wa Bandari ya Dar es salaam.

Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa amesema utendaji mbovu wa bandari unasababisha meli zitumie muda mwingi bandarini ambapo gharama ya meli kubaki bandarini huingia mfanya biashara hivyo bidhaa kuwa ghali mtaani. Amesema kwa sasa meli hutumia hadi siku saba kwa mzigo kupakuliwa.

Aidha, amesema awali TPA ilitambua utendaji mbovu na kumpa TICTS mkataba kwa miaka 20 lakini hakukuwa na utendaji mzuri ambapo mkataba huo uliisha 2017 na baadae aliomba kuongezewa miaka mitano ambayo imeisha 2022 na bado hakuweza kuleta vifaa vipya vya kuhudumia bandari.

Waziri Mkuu ameonesha suala la mkataba wa DP-World litarahisisha upakuaji wa mizigo.

Watanzania wametaka maelezo baada ya kuwa na utata katika baadhi ya vipengele vya mkataba huo ambao kwa kiasi kikubwa serikali na spika wa bunge wamekuwa wakivitolea maelezo.

Mpaka sasa hakuna aliyetaja muda wa mkataba wala tutakachoingiza
 
Akielezea suala linaloendelea kuhusu mkataba wa DP-World na Tanzania ametoa sababu kuwa ni utendaji kazi mdogo wa TICTS ambao umesababisha meli nyingi ziwe zinashushia mizigo Lamu, Mombasa au Afrika kusini hali ambayo imepunguza wateja wa Bandari ya Dar es salaam.

Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa amesema utendaji mbovu wa bandari unasababisha meli zitumie muda mwingi bandarini ambapo gharama ya meli kubaki bandarini huingia mfanya biashara hivyo bidhaa kuwa ghali mtaani. Amesema kwa sasa meli hutumia hadi siku saba kwa mzigo kupakuliwa.

Aidha, amesema awali TPA ilitambua utendaji mbovu na kumpa TICTS mkataba kwa miaka 20 lakini hakukuwa na utendaji mzuri ambapo mkataba huo uliisha 2017 na baadae aliomba kuongezewa miaka mitano ambayo imeisha 2022 na bado hakuweza kuleta vifaa vipya vya kuhudumia bandari.

Waziri Mkuu ameonesha suala la mkataba wa DP-World litarahisisha upakuaji wa mizigo.

Watanzania wametaka maelezo baada ya kuwa na utata katika baadhi ya vipengele vya mkataba huo ambao kwa kiasi kikubwa serikali na spika wa bunge wamekuwa wakivitolea maelezo.

Amezungumzia kuhusu duration ya mkataba terms and conditions? Hayo ndio ya muhimu zaid!!
 
Kwa nchi za wenzetu Samia angekuwa kwenye hot chair, unaingiaje mikataba mikubwa bila Bunge kupitisha. Yaani ameshasaini mikataba ndio anakuja kuleta bungeni. Na jinsi Bunge la hovyo nalo linapitisha kitu ambacho hawakujua mwanzo wake. Samia rudisha mali za Watanganyika. Sijui hili bunge la vipi? Baada ya Bunge kuisimamia serikali sasa hivi serikali inaburuza Bunge. Ni ngumu sana kumtenganisha Samia na rushwa ama bunge hili na rushwa ni ngumu sana.

Ungekua ushaisainiwa usingepelekwa bungeni .epuka taarifa za upotoshaji
 
Ungekua ushaisainiwa usingepelekwa bungeni .epuka taarifa za upotoshaji
Bungeni umepelekwa kufanyiwa ratification. Ili uendane na Sheria za ndani Kama ambavyo mkataba ulitaka. Kulikua na kipengele ukisainiwa uende bungeni ili kuondoa mkinzano na sheria za ndani

Ina maana hata bunge hukufatilia?
 
Ni vyema angekaa kimya.... ingekuwa afadhali kidogo kuliko kuongea....

Credibility yake itashuka saana kwenye hili......

Nadhani hayuko kwenye ile circle ya wauzaji.....
Ila amelazimika kuongea hivyo...

Coz ndivyo alipangiwa/alichotakiwa akiongee kwa nafasi yake...

Sidhani kama Kwa dhati ya moyo wake anaafiki ama yuko nyuma ya hili swala....

Ila kwa uzito wa cheo chake....

Hicho ndicho alipangiwa aseme....!

Believe me! hataongea tena zaidi ya hapo! Ili kulinda hadhi ya cheo chake.....asije kutia taharuki wananchi...

Majaliwa ni kama Samaki....

Samaki ana mengi ya kusema.....Ila amekabwa/amezungukwa na Maji.....tena Maji ya shingo!.....
 
PM asijivue nguo kujibebesha aibu za wengine, wacha kila mjinga aubebe ujinga wake.

Mkataba usio na ukomo unaompa mwarabu mamlaka ya kujitawala ndani ya ardhi yetu ni matusi, ni matusi mazito sio kwa kizazi chetu pekee, bali hata kizazi kijacho.
Jinga ww
 
Ni vyema angekaa kimya.... ingekuwa afadhali kidogo kuliko kuongea....

Credibility yake itashuka saana kwenye hili......

Nadhani hayuko kwenye ile circle ya wauzaji.....
Ila amelazimika kuongea hivyo...

Coz ndivyo alipangiwa/alichotakiwa akiongee kwa nafasi yake...

Sidhani kama Kwa dhati ya moyo wake anaafiki ama yuko nyuma ya hili swala....

Ila kwa uzito wa cheo chake....

Hicho ndicho alipangiwa aseme....!

Believe me! hataongea tena zaidi ya hapo! Ili kulinda hadhi ya cheo chake.....asije kutia taharuki wananchi...

Majaliwa ni kama Samaki....

Samaki ana mengi ya kusema.....Ila amekabwa/amezungukwa na Maji.....tena Maji ya shingo!.....
Ahhahh, tahila kweli wewe,
 
1. Je, kuwapa hao DPW ndio suluhisho la kudumu la tatizo hilo??
2.Katika miaka yote hii ya Uhuru, Je, Serikali yenyewe imefanya juhudi gani za makusudi katika kuwawezesha Watanzania wazawa ili waweze kuendesha Bandari hiyo?? Kwa nini haikuunda Kampuni yake yenyewe ambayo ni strong and competent katika kufanya shughuli za Bandari??
3. Je, kuuza au kubinafsisha kwa wageni kila taasisi ya Serikali iliyoshindwa kujiendesha vizuri ndio suluhisho sahihi l a matatizo yetu??
4. Je, kampuni ya kitanzania yenye uwezo wa kufanya kazi za bandari ni TICTS tu peke yake??Zingine mbadala hakuna hadi wapewe DPW??
5. Kama utendaji usioridhisha wa Kampuni ya TICTS ndio kigezo kilichosababisha bandari kuuzwa kwa wageni, mbona kuna taasisi nyingi hapa nchini ( taasisi binafsi na taasisi za Serikali) ikiwamo na Ofisi yake ya Waziri Mkuu na Ikulu ya Rais pia, taasisi ambazo nazo utendaji wake si wa kuridhisha.Je, taasisi hizo (Ikulu na OWM nazo sasa tunatakiwa tuzibinafsishe kwa raia wa kigeni eti kisa zina utendaji usioridhisha???? Ndio anataka kutuambia hivi Watanzania??
6.Je, TPA itakuwa na Jukumu gani basi baada ya bandari zote kubinafsishwa hapa Tz???
7.Ni kwa nini Serikali isifikirie kuivunja Mamlaka ya Bandari (TPA), kuivunja TASAC pamoja na taasisi zingine zote zinazohusika na masuala ya Bandari hapa nchini ili kuunda kampuni moja kubwa itakayoshirikiana au kuingia ubia na taasisi binafsi za ndani ya nchi kama vile TICTS ili kufanya kazi za bandari kwa ufanisi zaidi badala ya kufikiria kubinafsisha bandari zote kwa kampuni ya kigeni ya DPW kwa Mkataba wa maisha/milele????????????
Kwani we una mwekezaji mzuri zaidi unayemjua tofauti na huyu? Kama unaye mlete. Serikali at the first place imemuona yeye. Sasa muwege na akili walau siku moja moja.
 
Back
Top Bottom