Wametangaza sana toka mwaka Jana lakini hujapeleka mtu wako ashindanishweWatangaze Zabuni ya wazi, Kisha uone kama watu hawatajitokeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wametangaza sana toka mwaka Jana lakini hujapeleka mtu wako ashindanishweWatangaze Zabuni ya wazi, Kisha uone kama watu hawatajitokeza
1.Je, hiyo Zabuni unayodai "imetangazwa sana" ilikuwa ni namba ngapi???Wametangaza sana toka mwaka Jana lakini hujapeleka mtu wako ashindanishwe
Wapi imesemwa bandari zote zitakuwa chini yao?Sawa mkuu, vipi kuhusu kikomo cha mkataba, je? Ni kweli pia bandari zote hadi za maziwa zitakuwa chini ya DPW? Naomba msaada wako maana mimi nasikia sikia tu.
Fatilia news kila siku ukitaka haya mambo. Kwa mfano Leo hii serikali wametangaza kuuza Treasury bills, unajua na umefatilia? Msibishe tu ili mueleweke mmebisha. Bora huyu mama angalau anatangaza, enzi zile za giza za yule mwendawazimu kila tenda ilikuwa inaenda kwa ndugu na jamaa zake tu Wala hamna kutangaza popote na vyombo vya habari vilikuwa vimezimwa.1.Je, hiyo Zabuni unayodai "imetangazwa sana" ilikuwa ni namba ngapi???
2.Ilitangazwa lini, yaani tarehe ngapi na katika chombo/vyombo gani vya habari???
3.Hao waarabu wa DPW unaowatetea sana walipata tuzo ya hiyo kazi kwa Zabuni gani?Ilitangazwa lini hiyo Zabuni?Tathmini ya hiyo Zabuni ya DPW ilifanyika lini?Je wajumbe wa Kamati ya Tathmini walikuwa ni akina nani???
Ningependa kukukumbusha kwamba, "No research no right to speak": By Mao Tse Dong
Unajua ticts mkataba wao na serikali ulikua miaka mingapi?Ni kweli TICS wamekuwa na utendaji mdogo tumewatoa, je hewa DPW na wenyewe wakiwa na utendaji mbovu tunaweza kuwatoa na kuweka wengine?
Taja namba ya tangazo la zabuni, acha blah blah za kisiasa. Kila zabuni inayotangazwa hapa nchini lazima inakuwa ina namba yake maalumu ya utambuzi. Aidha, ni lazima pia inakuwa imesajiliwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Manunuzi ya Serikali. Sasa hiyo zabuni ya uendeshaji wa bandari ilitangazwa lini???Imesajiliwa lini??B
Fatilia news kila siku ukitaka haya mambo. Kwa mfano Leo hii serikali wametangaza kuuza Treasury bills, unajua na umefatilia? Msibishe tu ili mueleweke mmebisha. Bora huyu mama angalau anatangaza, enzi zile za giza za yule mwendawazimu kila tenda ilikuwa inaenda kwa ndugu na jamaa zake tu Wala hamna kutangaza popote na vyombo vya habari vilikuwa vimezimwa.
Swali la fitina hili. Miaka hutegemea mikataba ya utendaji ambayo ni tofauti na ule mkuu uliopelekwa bungeni.Mbona hajajibu swali. wamepewa kwa miaka mingapi?
Maelezo ya waziri mkuu yamejitosheleza. Ameongea kama mtu mwenye dhamana ya kukagua kazi za bandarini mara kwa mara. Ameongea kama mtu mwenye mamlaka anayoyastahili.Akielezea suala linaloendelea kuhusu mkataba wa DP-World na Tanzania ametoa sababu kuwa ni utendaji kazi mdogo wa TICTS ambao umesababisha meli nyingi ziwe zinashushia mizigo Lamu, Mombasa au Afrika kusini hali ambayo imepunguza wateja wa Bandari ya Dar es salaam.
Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa amesema utendaji mbovu wa bandari unasababisha meli zitumie muda mwingi bandarini ambapo gharama ya meli kubaki bandarini huingia mfanya biashara hivyo bidhaa kuwa ghali mtaani. Amesema kwa sasa meli hutumia hadi siku saba kwa mzigo kupakuliwa.
Aidha, amesema awali TPA ilitambua utendaji mbovu na kumpa TICTS mkataba kwa miaka 20 lakini hakukuwa na utendaji mzuri ambapo mkataba huo uliisha 2017 na baadae aliomba kuongezewa miaka mitano ambayo imeisha 2022 na bado hakuweza kuleta vifaa vipya vya kuhudumia bandari.
Waziri Mkuu ameonesha suala la mkataba wa DP-World litarahisisha upakuaji wa mizigo.
Watanzania wametaka maelezo baada ya kuwa na utata katika baadhi ya vipengele vya mkataba huo ambao kwa kiasi kikubwa serikali na spika wa bunge wamekuwa wakivitolea maelezo.
Faida za mkataba ni kuongezeka kwa ufanisi pale bandarini.Majibu rahisi kwa hoja zenye msingi pale unaposema walifanya bila ya ufanisi kwani hakuna aliyekuwa anawasimamia hao TICTS katika mkataba wao wa awali hadi wafanye watakayo bila ya kuleta mitambo ya kutosha ya kupakulia mizigo toka kwenye meli. Kipi kiliwafanya muwaongezee mkataba wa miaka 5 tena na ikiwa hiyo miaka 20 walikuwa nje ya ufanisi . Hawa DP WORLD mmejipanga vipi kuwasimamia au mnataka mkiwa kaburini wajukuu zenu waje kuwasema kwa kushindwa kuweka wazi namna ya kuwasimamia hawa pia maana mfano tumeona kwa TICTS for 25 years with poor supervisory finally lead to blah blah , Tunangojea kuona BIDHAA zikishuka? . PM TUAMBIE FAIDA ZA MKATABA NA DP WORLD KWA MASLAHI YA TANZANIA YETU NA SI KWA HOJA DHAIFU HIZO.
Hapa hakuna waziri mkuu ni chenga tu,sasa aliyeshindwa kuwasimamia hao ticks ni nani na je hizo mashine zinazofanya kazi vzr bandari za Dubai zilijipeleka zenyewe pale,Hivi kwa nn Viongozi wetu ni wafupi sana kiakili,waziri mkuu unapelekwa pelekwa tu kama remote.Watanganyika wenye akili lzm washtuke kwa sababu wenye authority ya serikali yetu ni wazanzibar na hawajainclude bandari za zanzibar kwenye mkataba kwa nn,muungano uko wapi hapo.CCM mnachekesha sana na Watanganyika wanaccm waliopo Bungeni ni sawa sawa na kenge tu mnashindwa kuelewa mchezo uliopo,mnaiweka bandari yenu rehani,Kila mtanzania anajua Bunge halina upinzani,sasa keshokutwa mtasema nani aliwakwamisha kutumia AKILI zetu mlizopewa na MUNGU MWENYEZI,Vichwa tulipewa na MUNGU kwa ajili ya kufikiri na si kufuga nywele.Akielezea suala linaloendelea kuhusu mkataba wa DP-World na Tanzania ametoa sababu kuwa ni utendaji kazi mdogo wa TICTS ambao umesababisha meli nyingi ziwe zinashushia mizigo Lamu, Mombasa au Afrika kusini hali ambayo imepunguza wateja wa Bandari ya Dar es salaam.
Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa amesema utendaji mbovu wa bandari unasababisha meli zitumie muda mwingi bandarini ambapo gharama ya meli kubaki bandarini huingia mfanya biashara hivyo bidhaa kuwa ghali mtaani. Amesema kwa sasa meli hutumia hadi siku saba kwa mzigo kupakuliwa.
Aidha, amesema awali TPA ilitambua utendaji mbovu na kumpa TICTS mkataba kwa miaka 20 lakini hakukuwa na utendaji mzuri ambapo mkataba huo uliisha 2017 na baadae aliomba kuongezewa miaka mitano ambayo imeisha 2022 na bado hakuweza kuleta vifaa vipya vya kuhudumia bandari.
Waziri Mkuu ameonesha suala la mkataba wa DP-World litarahisisha upakuaji wa mizigo.
Watanzania wametaka maelezo baada ya kuwa na utata katika baadhi ya vipengele vya mkataba huo ambao kwa kiasi kikubwa serikali na spika wa bunge wamekuwa wakivitolea maelezo.
Waziri mkuu baada ya kukaa kimya kwa wiki mbili, leo ameamua kuja kisanii sana. Ametoa majibu ya kisiasa na kisanii sana.Akielezea suala linaloendelea kuhusu mkataba wa DP-World na Tanzania ametoa sababu kuwa ni utendaji kazi mdogo wa TICTS ambao umesababisha meli nyingi ziwe zinashushia mizigo Lamu, Mombasa au Afrika kusini hali ambayo imepunguza wateja wa Bandari ya Dar es salaam.
Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa amesema utendaji mbovu wa bandari unasababisha meli zitumie muda mwingi bandarini ambapo gharama ya meli kubaki bandarini huingia mfanya biashara hivyo bidhaa kuwa ghali mtaani. Amesema kwa sasa meli hutumia hadi siku saba kwa mzigo kupakuliwa.
Aidha, amesema awali TPA ilitambua utendaji mbovu na kumpa TICTS mkataba kwa miaka 20 lakini hakukuwa na utendaji mzuri ambapo mkataba huo uliisha 2017 na baadae aliomba kuongezewa miaka mitano ambayo imeisha 2022 na bado hakuweza kuleta vifaa vipya vya kuhudumia bandari.
Waziri Mkuu ameonesha suala la mkataba wa DP-World litarahisisha upakuaji wa mizigo.
Watanzania wametaka maelezo baada ya kuwa na utata katika baadhi ya vipengele vya mkataba huo ambao kwa kiasi kikubwa serikali na spika wa bunge wamekuwa wakivitolea maelezo.
Hayo yote TICTS wameshindwa yafanya kwa miaka 25 wakiwa chini ya usimamizi wa serikali na unaamini wataweza hawa DP WORLD chini ya usimamizi wa serikali ile ile . Watanzania wote ni watumiaji wa bandari kwakuwa asilimia nyingi za bidhaa zinatoka nje kama si malighafi basi ni bidhaa kamili hivyo acha UJINGA wa kuhisi anayeagiza au kutuma mzigo kupitia bandari ndiye mwenye hati miliki ya kuhoji ufanisi wa bandari na mustakabali wake bali ni jukumu la kila mwananchi kwa nafasi yake.Faida za mkataba ni kuongezeka kwa ufanisi pale bandarini.
Faida za mkataba ni kupungua kwa muda wa meli zinazokaa foleni baharini zikisubiri kushushwa mizigo.
Faida za mkataba kuokoa muda ambao unakwenda kutumiwa na meli hiyo kwa ajili ya kuondoka na kwenda kuzalisha sehemu nyingine.
Faida za mkataba ni kuondoa gharama zote za meli kukaa nangani ikisubiri kuhudumiwa, kumbuka hizo ni gharama zinaozoingiwa aidha na mteja anayesubiri bidhaa yake au bandari yenyewe.
Hizi zako ni hoja za mtu ambaye pengine hajawahi hata kutumia bandari maskini ya Mungu, hana bidhaa inayokwama katika kuitoa au kuipakia pale bandarini.
Ni hoja za mtu kakaa kwenye kiti chake pengine Mwanza au Morogoro anaongea kishabiki tu!.
Wewe bushlawyer unayewaza kwa kutumia tumbo lako! Jifunze mujibu hoja Kama mtaalam wa Sheria Basi eeh! Mbona umegeuka kituko humu? Siamini Kama kweli una elimu ya Sheria. Watu weledi wanawaelimisha wengine juu ya ubaya na uzuri wa mikataba wewe unaleta maujinga yako! Acha kuia ugoro!Ngoja waje pingapinga fc
Serikali huenda zikibadilika kiufanisi mwaka mmoja baada ya mwingine, serikali yetu inao watendaji wazuri zaidi sasa hivi kuliko waliokuwepo miaka 30 iliyopita, hilo kwanza ulitambue.Hayo yote TICTS wameshindwa yafanya kwa miaka 25 wakiwa chini ya usimamizi wa serikali na unaamini wataweza hawa DP WORLD chini ya usimamizi wa serikali ile ile . Watanzania wote ni watumiaji wa bandari kwakuwa asilimia nyingi za bidhaa zinatoka nje kama si malighafi basi ni bidhaa kamili hivyo acha UJINGA wa kuhisi anayeagiza au kutuma mzigo kupitia bandari ndiye mwenye hati miliki ya kuhoji ufanisi wa bandari na mustakabali wake bali ni jukumu la kila mwananchi kwa nafasi yake.
Bado unaongea kwa ushabiki kama unaowaita mashabiki pia , chukua taarifa kamili ili uje kutupasha hapa ya kwamba ule mkataba ni wa miaka 10, 20 au 30 kisha faida zake ni hizi na masharti ya uendeshaji ni haya na haya hapo sasa utakuwa umejibu minong'ono kwa hoja nzuri na nzito.
Hoya sisi tunapenda hii nchi iwe zaidi ya DUBAI ulipo sema misingi ya uwazi ndiyo tunaitaka na DP WORLD they are smart in terms of capital regardles historia za nchi walizowekeza na kesi zao huku nyuma, tambua mimi sipingi hilo la uwekezaji kwakuwa sisi tumeshindwa kufika mahali pazuri hivyo kusaidiwa ni jambo zuri tena sana.
Kaongea kipi Cha maana? Yeye Kama mtendaji mkuu wa serikali alishawahi kuwaita ticts ofisini kwake kuwakemea? Alishawahi kwenda bandarini kuwaonya wafanyakazi wezi na wazembe wasiowajibika? Alishawahi kumsimamisha mtendaji yeyote wa bandari kwa utendaji mbovu? Akubali tu kuwa yeye na serikali anayoisi.amia imeshindwa kufanya kazi yenye matokeo chanya kwa wananchi.Kama hamjamuelewa na huyu aliye ongea kwa kiswahili chepesi kabisa basi mnyamaze msubiri matokeo mazuri.
Yeye na mwanaye Wana kampuni yao ya kutoa mizigo hapo bandarini na ni wakwepa Kodi wazuri tu!Maana yake , yeye kama waziri mkuu na mtendanji wa serikali- HATOSHI- kama utendaji kazi mdogo, kwa ni nini wasiongeze ufanisi kwa sisi wenyewe. kama utendaji kazi mdogo, chanzoi ne yeye. Longo longo tupu na kuzunguka mbuyu.
Uwe na hofu ya Mungu. TPA haijawahi kutangaza tenda yoyote na Kama naongopq weka copy ya tangazo Hilo hapa!Wametangaza sana toka mwaka Jana lakini hujapeleka mtu wako ashindanishwe
Ule ulopitishwa na bunge, umesema hata ikitokea nini, hatutaweza kujitoa kwenye huo mkataba.Mkataba upi? Mkataba bado
Uwe na hofu ya Mungu. TPA haijawahi kutangaza tenda yoyote na Kama naongopq weka copy ya tangazo Hilo hapa!