Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe mkataba ulishasainiwa wa kupewa Sasa hilo Azimio lilikuwa la nini?Waziri Mkuu ameonesha suala la mkataba wa DP-World litarahisisha upakuaji wa mizigo
Jpm aliwahi kutangaza zabuni yoyote? Au mnamuonea mama tu kwa vile kawapa uhuru wa kuongeaTaja namba ya tangazo la zabuni, acha blah blah za kisiasa. Kila zabuni inayotangazwa hapa nchini lazima inakuwa ina namba yake maalumu ya utambuzi. Aidha, ni lazima pia inakuwa imesajiliwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Manunuzi ya Serikali. Sasa hiyo zabuni ya uendeshaji wa bandari ilitangazwa lini???Imesajiliwa lini??
Narudia tena kukukumbusha kwamba "no research no right to speak".
Ni kweli JPM alikuwa na mabaya yake, lakini kuuza nchi kwa wageni si miongoni mwa mabaya yake.Jpm aliwahi kutangaza zabuni yoyote? Au mnamuonea mama tu kwa vile kawapa uhuru wa kuongea
Kwani mikataba yeneyewe ulikuwa unaijua? Mana hakuna aliyekuwa anaruhisiwa kuliona hata bunge hawakuruhisiwa. It was one man showNi kweli JPM alikuwa na mabaya yake, lakini kuuza nchi kwa wageni si miongoni mwa mabaya yake.
Haya eleza, wapi JPM aliwahi kuingia mikataba ya kuuza nchi kwa wageni bila kutangaza zabuni??
Kamwe hicho walichokifanya wakidhani kitakuwa sawa kwa watanzania hakitawezekana milelePM asijivue nguo kujibebesha aibu za wengine, wacha kila mjinga aubebe ujinga wake.
Mkataba usio na ukomo unaompa mwarabu mamlaka ya kujitawala ndani ya ardhi yetu ni matusi, ni matusi mazito sio kwa kizazi chetu pekee, bali hata kizazi kijacho.
Hivi kwanini wanajitoa ufahamu??Kila siku wanazungumza faida za uwekezaji wa DPW, faida hata TICTS wali ahidi, wanakomaa kulazimisha wananchi wakubali its guarantee 100% faida ipo kitu ambacho si kweli, watu wanauliza mkataba sio faida za uwekezaji.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti utendaji mzuri[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Haki siku zikiachiwa bank statement za mabenki watu wote waone jinsi viongozi wetu wanavyoishi kwa perdiem na allowances na sio mishahara yao basi hii nchi itaingia vitani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Ngoja tuwe wasomaji! Pesa zinatusuliwa juu kwa juu, hakii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Nipo pale, siku tukikuza uchumi wa Tanzania kuzidi hapa tulipo.Serikali huenda zikibadilika kiufanisi mwaka mmoja baada ya mwingine, serikali yetu inao watendaji wazuri zaidi sasa hivi kuliko waliokuwepo miaka 30 iliyopita, hilo kwanza ulitambue.
Tunapoteza muda mwingi kwenye majadiliano mengi yanayoanzishwa na watu negative wakati DRC na Rwanda wakiwa tayari wameshaingia mkataba na hawa DPW.
Kama tunapenda nchi iwe kama Dubai na tuachane na akili za urasimu na wizi wa bandarini, kwani unatukwamisha na kutupotezea mapato mengi ambayo hutuacha na umaskini ule ule.
Mabadiliko au reforms anazoziendeleza SSH zilianzishwa na hayati JPM, zina maumivu yake lakini ni lazima tuyavumilie ikiwa tunataka kweli kwa vitendo tuwe sehemu ya nchi zilizo katika uchumi wa kati wa juu.
Tukirejea ya alichosema Waziri Mkuu ambaye ndiye Serikali ni..... kwanini wana kinzana na Taasisi na Mashirika ya Kifedha na Kiuchumia Duniani?Sekta ya bandari nchini imefurahia kipindi cha ukuaji thabiti katika suala la maendeleo ya miundombinu na upatikanaji wa vifaa na teknolojia za kisasa kutokana na uwekezaji mkubwa unaofanywa na serikali ya awamu ya sita katika kuboresha sekta hiyo ambayo ni uti wa mgongo wa uchumi wa Tanzania.~WB
Kuna kipengele kwenye Mkataba ule unaowapa Kampuni hadhi ya Kiserikali, inaipa nguvu hata kampuni au watu ambao hawapo kuwa na nguvu za Kiserikali. Yaani hata makampuni ambayo hayajasajiliwa na watu ambao hawajazaliwa!PM asijivue nguo kujibebesha aibu za wengine, wacha kila mjinga aubebe ujinga wake.
Mkataba usio na ukomo unaompa mwarabu mamlaka ya kujitawala ndani ya ardhi yetu ni matusi, ni matusi mazito sio kwa kizazi chetu pekee, bali hata kizazi kijacho.
Hii ni vita kubwa sana. Inajumuisha TICTS na GSM, hao wote wawili ni matajiri waliotajirikia ineffeciency ya bandari yetu, hawawezi kukubali mfumo mpya wa uendeshaji utumike mahali pale.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti utendaji mzuri[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Haki siku zikiachiwa bank statement za mabenki watu wote waone jinsi viongozi wetu wanavyoishi kwa perdiem na allowances na sio mishahara yao basi hii nchi itaingia vitani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Ngoja tuwe wasomaji! Pesa zinatusuliwa juu kwa juu, hakii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Nipo pale, siku tukikuza uchumi wa Tanzania kuzidi hapa tulipo.
Nijuze mkuu sijui ndio maana nimeuliza hawa DPW muda wao utakuwa miaka mingapi?Unajua ticts mkataba wao na serikali ulikua miaka mingapi?
Mheshimiwa Waziri Mkuu kikulacho ki ungoni mwako. Maadui mnao karibu kabisa na serikali, ni hao hao wanaotoa pesa za michango za kujenga misikiti na makanisa.Akielezea suala linaloendelea kuhusu mkataba wa DP-World na Tanzania ametoa sababu kuwa ni utendaji kazi mdogo wa TICTS ambao umesababisha meli nyingi ziwe zinashushia mizigo Lamu, Mombasa au Afrika kusini hali ambayo imepunguza wateja wa Bandari ya Dar es salaam.
Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa amesema utendaji mbovu wa bandari unasababisha meli zitumie muda mwingi bandarini ambapo gharama ya meli kubaki bandarini huingia mfanya biashara hivyo bidhaa kuwa ghali mtaani. Amesema kwa sasa meli hutumia hadi siku saba kwa mzigo kupakuliwa.
Aidha, amesema awali TPA ilitambua utendaji mbovu na kumpa TICTS mkataba kwa miaka 20 lakini hakukuwa na utendaji mzuri ambapo mkataba huo uliisha 2017 na baadae aliomba kuongezewa miaka mitano ambayo imeisha 2022 na bado hakuweza kuleta vifaa vipya vya kuhudumia bandari.
Waziri Mkuu ameonesha suala la mkataba wa DP-World litarahisisha upakuaji wa mizigo.
Watanzania wametaka maelezo baada ya kuwa na utata katika baadhi ya vipengele vya mkataba huo ambao kwa kiasi kikubwa serikali na spika wa bunge wamekuwa wakivitolea maelezo.
Wewe na Majaliwa wako msijifanye hamjui maswali ya watanzania…mkataba huu ni miaka mingapi?Ngoja waje pingapinga fc
Akielezea suala linaloendelea kuhusu mkataba wa DP-World na Tanzania ametoa sababu kuwa ni utendaji kazi mdogo wa TICTS ambao umesababisha meli nyingi ziwe zinashushia mizigo Lamu, Mombasa au Afrika kusini hali ambayo imepunguza wateja wa Bandari ya Dar es salaam.
Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa amesema utendaji mbovu wa bandari unasababisha meli zitumie muda mwingi bandarini ambapo gharama ya meli kubaki bandarini huingia mfanya biashara hivyo bidhaa kuwa ghali mtaani. Amesema kwa sasa meli hutumia hadi siku saba kwa mzigo kupakuliwa.
Aidha, amesema awali TPA ilitambua utendaji mbovu na kumpa TICTS mkataba kwa miaka 20 lakini hakukuwa na utendaji mzuri ambapo mkataba huo uliisha 2017 na baadae aliomba kuongezewa miaka mitano ambayo imeisha 2022 na bado hakuweza kuleta vifaa vipya vya kuhudumia bandari.
Waziri Mkuu ameonesha suala la mkataba wa DP-World litarahisisha upakuaji wa mizigo.
Watanzania wametaka maelezo baada ya kuwa na utata katika baadhi ya vipengele vya mkataba huo ambao kwa kiasi kikubwa serikali na spika wa bunge wamekuwa wakivitolea maelezo.
Bofya Chini hapaHivi Kwa upande wa TICTS hakuna ripoti inayoonesha sababu why walishindwa kufikia ufanisi
Hakuna cha Ufanisi wala cha Utendaji. Ukifuatilia linki za hapo juu lazima ujiulize, kulikuwa na sababu gani zingine? Nchi imetumia karibia ya Trillioni 2.2 TShs katika maboresho ya Bandari karibia zote Tanzania na fedha nyingi ni mikopo ambayo marejesho ya uwekezaji huo anaanza kufaidi DPW wakati sie Watanzania tunaenda kulipa madeni hayo kila kukicha....inaendlea taarifa hiyo na kisema....👇Hivi Kwa upande wa TICTS hakuna ripoti inayoonesha sababu why walishindwa kufikia ufanisi