Waziri Mkuu: Bandari imepewa DP-World kwa kuwa utendaji wa TICTS ni mdogo
Haya mambo ukiyafuatilia sana, unaweza kujikuta moyo unaenda tu mbio muda wote.
Hakuna jambo baya kama kukasirishwa na kitu halafu usiwe na uwezo wa kufanya chochote kile.
Ni sawa na kuonewa na mtu mwenye uwezo wa nguvu kuliko wewe, unaishia kughadhibika tu bila ya kuwa na uwezo wa kufanya lolote lile.

Kwa katiba hii tuliyonayo tunaweza hata kuwekea waziri mkuu kutoka Dubai na tusiwe na la kufanya.
 
Duh mod keshamerge thread!.

Haya ngoja twende hivyohivyo taratibu tutaelewana.

But natamani angeelewa uzito wa mada husika kwa faida ya nchi yetu asingeunganisha mada yangu na hii speech ya Kassim Majaliwa.
 
Baada ya ujio wa DP World katika bandari zetu especially Dar es Salaam kuna makundi ya watu wameibuka na kujionyesha kuwa wanaipigia chapuo bila ya kujua kuwa "DP-WORLD ni mtake msitake"
 

4B4E2569-8C28-4082-867F-34E558CEFEF5.jpeg
 
Akielezea suala linaloendelea kuhusu mkataba wa DP-World na Tanzania ametoa sababu kuwa ni utendaji kazi mdogo wa TICTS ambao umesababisha meli nyingi ziwe zinashushia mizigo Lamu, Mombasa au Afrika kusini hali ambayo imepunguza wateja wa Bandari ya Dar es salaam.

Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa amesema utendaji mbovu wa bandari unasababisha meli zitumie muda mwingi bandarini ambapo gharama ya meli kubaki bandarini huingia mfanya biashara hivyo bidhaa kuwa ghali mtaani. Amesema kwa sasa meli hutumia hadi siku saba kwa mzigo kupakuliwa.

Aidha, amesema awali TPA ilitambua utendaji mbovu na kumpa TICTS mkataba kwa miaka 20 lakini hakukuwa na utendaji mzuri ambapo mkataba huo uliisha 2017 na baadae aliomba kuongezewa miaka mitano ambayo imeisha 2022 na bado hakuweza kuleta vifaa vipya vya kuhudumia bandari.

Waziri Mkuu ameonesha suala la mkataba wa DP-World litarahisisha upakuaji wa mizigo.

Watanzania wametaka maelezo baada ya kuwa na utata katika baadhi ya vipengele vya mkataba huo ambao kwa kiasi kikubwa serikali na spika wa bunge wamekuwa wakivitolea maelezo.

Viongozi wa Tanzania wanawalaumu Watanzania kwa utendaji mbovu.

Nani anawasimamia watendaji hao?
 
Agreement siyo mkataba ni makubaliano,mkataba ni contract, contract ina-bind, agreement hai-bind,kusaini ndiyo utaratibu uliopo katika uwekezaji huo
Nini tofauti ya makubaliano na mkataba? Yaani usaini makubaliano na mtu halafu useme hai-bind? Sasa kwanini una-sign in the first place? Saini kazi yake nini kama sio binding?
 
Nini tofauti ya makubaliano na mkataba? Yaani usaini makubaliano na mtu halafu useme hai-bind? Sasa kwanini una-sign in the first place? Saini kazi yake nini kama sio binding?
Unaweza google tu tofauti ya agreement na contract
 
Unaweza google tu tofauti ya agreement na contract
Tueleze, nini tofauti ya makubaliano na mkataba, tueleze, au unatetea usichokijua?

E316EA61-7648-48BA-B492-47AE73C76BAC.jpeg

Haya, google wanasema agreement ni ‘Legally binding’. Sasa wewe choko endelea kutetea.
 
Tueleze, nini tofauti ya makubaliano na mkataba, tueleze, au unatetea usichokijua?

View attachment 2669124
Haya, google wanasema agreement ni ‘Legally binding’. Sasa wewe choko endelea kutetea.
Nilikwambia u-google 'difference between agreement and contract' kwa sababu wewe huwa punguani kichwa kizito, google tu na utapata unachotaka mapema tu,ukishapata niambie nikuchokoe
 
Nilikwambia u-google 'difference between agreement and contract' kwa sababu wewe huwa punguani kichwa kizito, google tu na utapata unachotaka mapema tu,ukishapata niambie nikuchokoe
Wewe si ulisema agreement sio legally binding, kwamba tofauti contract ni legally binding? Au sio wewe? Aua sasa google inasema agreement ni legally binding pia.., sasa tofauti ni ipi?
 
Wewe si ulisema agreement sio legally binding, kwamba tofauti contract ni legally binding? Au sio wewe? Aua sasa google inasema agreement ni legally binding pia.., sasa tofauti ni ipi?
Si u-google tofauti ya agreement na contract..kelele za nini!?..au ushaona umeamua kubisha!?.. IGA iliyosainiwa pasipokua na contract baada ya 12 months inakufa kibudu
 
Si u-google tofauti ya agreement na contract..kelele za nini!?..au ushaona umeamua kubisha!?.. IGA iliyosainiwa pasipokua na contract baada ya 12 months inakufa kibudu
Agreement na Mkataba, tofauti ni nini? Soma wewe huko google utuambie, mimi nimesoma sijaona tofauti, maana zote zinasainiwa na ni legally binding kinyume na ukivyodanganya, kwa agreement si legally binding
 
Si u-google tofauti ya agreement na contract..kelele za nini!?..au ushaona umeamua kubisha!?.. IGA iliyosainiwa pasipokua na contract baada ya 12 months inakufa kibudu
Acha ujinga. IGA ndio mkataba mama ndio maana unaitaji kupitishwa nabunge. Hiyo mikataba mingine midogodogo mnaweza mkasaiana hata chooni, hiyo inaitwa ukiishakubali kuolewa hakuna kulala na pichu
 
Back
Top Bottom