Waziri Mkuu wa Israel agundulika na Kansa ya tezi dume stage 3 baada ya kufanyiwa uchunguzi

Umerudi sheikh wangu? Ulipotea sana. Matokeo ya Vita na Hamas, Hizbullah, Iran, Syria yakoje ? Tumepotea tumeshindwa hata kupeana taarifa za kutiana moyo. Labda sasa tuisimamie hii... Anaweza akafa kesho. Sivyo? Tuseme hivyo. Maana hawa Mayahudi yamejua kutuvua nguo. Ritz alipambana pambana akachoka kabisa baada ya Iran kutotimia OPERATION PROMISE Mpaka leo. Mara akaja kusikia ASSAD KAKIMBIA NCHI. BASI AKAONA YESHE. HATAKI TENA HAYA MAMBO.
 
Imenikumbusha enzi za utawala wa kikwete aliugua tezi dume eti akaenda marekani kufanyiwa upasuaji na convoy ya watu si chini ya arobaini kwenda kuchezea Kodi za wananchi tu wakati hata hapa nyumbani angefanyiwa upasuaji
 
Yaarab toba
Astaghfullah sheikh Malaria 2
Simulizi ya Namrud na Mbu

Namrud alitawala kwa dhuluma na kiburi kikubwa, akidai kuwa yeye ni mungu. Nabii Ibrahim (AS) alimtaka kuacha ukafiri na kumuamini Mwenyezi Mungu Mmoja wa Haki. Hata hivyo, Namrud alikataa na akajigamba kwa uwezo wake.

Kwa mujibu wa simulizi, Mwenyezi Mungu alimpelekea mbu mdogo kama adhabu. Mbu huyo aliingia puani mwa Namrud na kumsababishia maumivu makali ya kichwa kwa muda mrefu. Mwisho wa maisha yake, Namrud alikufa kwa maumivu yaliyosababishwa na mbu huyo.
 
Inferiority!
 
Kibongo Bongo angekuwa Mtanzania angesubiri tu hatma Mungu apange ratiba zake siku ifike amtwae lakini hao jamaa kidogo watampambania.

Baba yangu mkubwa aged 87 aligundulika ana tezi dume feb mwaka huu tukaambiwa akiguswa tumempoteza so yupo tu anatumia dawa za kupoza tatizo.
 
Hahahah we jamaa bwana,ujue unazingua mkuu watakupiga fatwa moja kesho usiamke 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…