Waziri Mkuu wa Israel agundulika na Kansa ya tezi dume stage 3 baada ya kufanyiwa uchunguzi

Waziri Mkuu wa Israel agundulika na Kansa ya tezi dume stage 3 baada ya kufanyiwa uchunguzi

Yaani uwue watoto zaidi ya 16.000 halafu ubaki salama unakula kuku Mungu baba yako.

Sasa apambane na kansa ya tezi dume mamaae anakufa anajiona 🤣
wenye kansa wote waliua watoto.... ni ugonjwa tu wa kawaida na si kwa vile ameua watoto.............no connection between the two
 
wenye kansa wote waliua watoto.... ni yaugonjwa tu wa kawaida na si kwa vile ameua watoto.............no connection between the two
Yahudi jeuri linaripoti kutoka Nyamswa.
 
Watoto watukufu vitoto vya Mungu vitoto vya Mwamedi sijui hawajasoma hii
 
Hii stage 3 inapona? Watalaam mtujuze huyu jamaa kaua watu sanaaa bora nae apate kuonja kifo shenzii
Haitabadirisha chochote kwa Israel sababu swala na wao kushambuliwa linawaweka pamoja sana. Ile October 7 hata waziri mkuu angekua nani wangepiga tu kulipiza
 
Back
Top Bottom