BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Ushamba tu. Watoto watakuchukia bure.Baba kama Baba ukifika ndani watoto rimoti wanapaswa wakukabidhi wewe
Unaangalia unachokitaka hiyo ndo maana ya mtawala
Shida uzungu unawasumbua
Ukiwa haupo tv ni yao ila ukifika tv ni ya kwako
waite upendavyo lakini kwangu mimi sio washambaHawa ni wababa wa enzi za ukoloni. Ni washamba na wanavaa MAYENU.
Kwanini usiwaache watoto wakaangalia katuni zao wewe uende chumbani ukasali hata rozari?
Watoto hawana raha, libaba linabadilisha tu chaneli! Khaaa!!!
Hili nalo mkalitazame!
cc Lamomy cocastic fundi bishoo Extrovert
kazi niliyobakia nayo ni kuwalipia vifurushi tuu ila kutumia TV yao nimekwisha Acha. Tamthilia zao zinagongana na musa wa vipindi muhimu kwangu. Acha wale jasho la baba.Eti?
Unarudi nyumbani unakuta watoto wanatazama katuni zao kwa raha zao, au tamthilia pendwa za kike..... unawezaje kubadili chaneli bila kuonekana katili?
Tuseme muda wa Taarifa ya Habari, au hata mechi pendwa za soka..... ukibadili channeli watoto hao wanakukimbia sebuleni unabaki mwenyewe.
Hujisikii vibaya?
Hapa ndo umuhimu wa kupitia maeneo fulani kabla ya kurudi nyumbani, wenzetu mnawezaje?
Mbona umemuita cocastic tena ππππππHawa ni wababa wa enzi za ukoloni. Ni washamba na wanavaa MAYENU.
Kwanini usiwaache watoto wakaangalia katuni zao wewe uende chumbani ukasali hata rozari?
Watoto hawana raha, libaba linabadilisha tu chaneli! Khaaa!!!
Hili nalo mkalitazame!
cc Lamomy cocastic fundi bishoo Extrovert
""Then watoto wajengee library room TV wawe wanaangalia kila jumapili tu"""Mimi ilikuwa ikifika saambili usiku namwachia Mama rimoti ili apitie ITV
Personally nyumabani taarifa ya habari ilikuwa lazima itazamwe doesn't matter mama yupo au hayupo.
Then watoto wajengee library room TV wawe wanaangalia kila jumapili tu
Uwez kuwaazuia,waachi wacheze ma game yao ukoTV siyo ya kuwaachia watoto,nakumbuka miaka ya 90 mwanzoni tukitizama wazungu videoni wakinyonyana ndimi tuliona uchafu,lakini Leo kila mtu analilia denda,mavazi ya mabinti leo tv Zina ushawishi mkubwa,namna tunavyojamiiana Leo ni matokeo ya tv,tv ni shule ovu isiyo rasmi,usiiache iwe mwalimu wa wanao
πππ, Siyo mbaya yani nishindwe kuangalia KIPINDI CHA ARDHIO - TBC, kisa watoto haiwezekaniHapa watoto
Hapa watoto lazima wakimbie wote wataenda kuangalia kwa majirani hadi mkeo ataenda anako juwa yeye akaangalie tv kama hali ndio hii πππ
We jamaa,weka muda wa watoto kukaa kwenye tv,saa mbili usiku baada ya kula ni kujisomea walau kwa saa moja unusu,Kisha kulala,siyo ajaze akina sharka na scoob doo kichwani
Magame!!?..watu wanakulana denda wenzio wanaangaliaUwez kuwaazuia,waachi wacheze ma game yao uko
Wakati tunakua hatukuwa na tv ila radio ilikuwepo ilikuwa tunafuatilia sana vipindi vyote vya radio za kimataifa bila hata kujua kinaongelewa nini kipindi hicho ndiyo kwanza hata kiswahili hujui.Kama mimi ndo mtoto huwa najiskia vibaya sana..
Mfano father yeye akija tuu
""Weka TV iman hapo mnaangalia angalia miziki ndo mnajifunza nini ""
Mda huo mtakaa ndani kimya
kitendo cha kuacha watoto wajimwaye mwaye ndio ushamba wenyeweUshamba tu. Watoto watakuchukia bure.
Kwanza jitu zima unaangalia tv ya nini? Kama ni mpira kaangalie vibandani na wenzako!
Waache watoto wajimwaye mwaye waangalie tv wanavyotaka!
Nunua Tv weka chumbani kwakoEti?
Unarudi nyumbani unakuta watoto wanatazama katuni zao kwa raha zao, au tamthilia pendwa za kike..... unawezaje kubadili chaneli bila kuonekana katili?
Tuseme muda wa Taarifa ya Habari, au hata mechi pendwa za soka..... ukibadili channeli watoto hao wanakukimbia sebuleni unabaki mwenyewe.
Hujisikii vibaya?
Hapa ndo umuhimu wa kupitia maeneo fulani kabla ya kurudi nyumbani, wenzetu mnawezaje?
Yaani TV mwisho saa Tano asubuhi,jioni kusaidia mapishi,wa kiume akacheze mpira,saa moja unusu kula,saa mbili Hadi nne kusoma,na nauliza maswali walichosomaNinacho fahamu mimi akitoka kwenye tv atakuwa anafikiria alichotoka kuangalia tena wakati wa kusoma ndio muda mzuri wakuwaza kuhusu tamthilia tena kama iliishia sehemu nzuri basi hapo ndioo kabsaa ππ ila inategemea na mtoto mwenyew nikikumbuka mimi mwenyewe huwa nilikuwa siwezi soma nikitoka kuangalia movie ilikuwa nikulala tu
Yaani TV mwisho saa Tano asubuhi,jioni kusaidia mapishi,wa kiume akacheze mpira,saa moja unusu kula,saa mbili Hadi nne kusoma,na nauliza maswali walichosoma
Hapana inabidi kuwe Na Tv mbili moja weka chumbani hiyo utaangalia utakacho sebulen ya wageni Na watotoBaba kama Baba ukifika ndani watoto rimoti wanapaswa wakukabidhi wewe
Unaangalia unachokitaka hiyo ndo maana ya mtawala
Shida uzungu unawasumbua
Ukiwa haupo tv ni yao ila ukifika tv ni ya kwako
Sasa kulikua na haja gani kuweka bold hilo neno ARIDHIO πππππππππππ, Siyo mbaya yani nishindwe kuangalia KIPINDI CHA ARDHIO - TBC, kisa watoto haiwezekani
Sasa unamnyima TV afu unampa sim na pc we cha msingi waachie mambo yao kupiga bamia hakuna shida yeyoteUwez kuwaazuia,waachi wacheze ma game yao uko
Hongera Sana ndo imavitakiwaNikishakubali matokeo kuwa kwangu Tv ya sebuleni sio mali yangu.
Nashukuru Mungu niliweka TV chumbani. Ninachotaka kuangalia nakiangalia chumbani kwangu. Huko sebuleni ni Nickelodeon na Cartoon Network.
Ningeweza kutumia ubabe wa ubaba lakini sioni faida yake. Ikiwa nipo hai acha wanangu wa enjoy nyumbani kwa baba yao.