Nikishakubali matokeo kuwa kwangu Tv ya sebuleni sio mali yangu.
Nashukuru Mungu niliweka TV chumbani. Ninachotaka kuangalia nakiangalia chumbani kwangu. Huko sebuleni ni Nickelodeon na Cartoon Network.
Ningeweza kutumia ubabe wa ubaba lakini sioni faida yake. Ikiwa nipo hai acha wanangu wa enjoy nyumbani kwa baba yao.
Mimi TV sina mpango nayo ila simu yangu 24/7 haikai mbali namiHawa ni wababa wa enzi za ukoloni. Ni washamba na wanavaa MAYENU.
Kwanini usiwaache watoto wakaangalia katuni zao wewe uende chumbani ukasali hata rozari?
Watoto hawana raha, libaba linabadilisha tu chaneli! Khaaa!!!
Hili nalo mkalitazame!
cc Lamomy cocastic fundi bishoo Extrovert
Kwahiyo watoto hawaendi shule au??Watoto TV mwisho saa Tano asubuhi,unafugaje mitoto inalelewa na TV kutwa?
Hapo namaanisha watoto wataangalia tv weekend, mtoto anajifunza nini kwenye tv!?Kwahiyo watoto hawaendi shule au??
Zama za maisha zimebadilika mambo ya baba kuficha remote chumbani yamepitwa na wakati.
ungana nao ndio furaha ya familia, kama ni game cheza na mwanao, angalia hiyo tamthilia na mkeo akusimulie hiyo ndio furaha ya baba kuwepo nyumbani wape kipaombele wao, ndio furaha yao. Na ni jukumu la baba kuwapa furaha wale wa nyumbani mwakeEti?
Unarudi nyumbani unakuta watoto wanatazama katuni zao kwa raha zao, au tamthilia pendwa za kike..... unawezaje kubadili chaneli bila kuonekana katili?
Tuseme muda wa Taarifa ya Habari, au hata mechi pendwa za soka..... ukibadili channeli watoto hao wanakukimbia sebuleni unabaki mwenyewe.
Hujisikii vibaya?
Hapa ndo umuhimu wa kupitia maeneo fulani kabla ya kurudi nyumbani, wenzetu mnawezaje?
""Then watoto wajengee library room TV wawe wanaangalia kila jumapili tu"""
Dr mbona utakua kauzu sana πππ
Hautaangalia huko chumbani kwa ule ukweli kabisa, kwani baba ukiangalia katuni na mwanao kuna tatizo, nafikiri unapata muda wa kuchuja maudhui yaliyomo kwenye hiyo katuni kama inafaa au haifaiNunua TV weka chumbani kwako.........
πππππ, Vipindi vya TBC ni vya ajabu sana.....Sasa kulikua na haja gani kuweka bold hilo neno ARIDHIO ππππππππ
Nyie ni mababa ya kikoloni. Mnavaa MAYENU.Yaani uangalie taarifa ya habari na mtoto anataka kuangalia bluey hapo unataka vita ya tatu ya dunia.
Simu ina kila kitu kwa dunia hii ya leo, nashangaa mtu yuko kwenye TV anashindana na watoto!Mimi TV sina mpango nayo ila simu yangu 24/7 haikai mbali nami
Nataka anisaidie kuwashambulia hawa mababa wa kikokoloni wanaovaa MAYENU na kung'ang'ania TV πΉπΉMbona umemuita cocastic tena ππππππ
Hata Bongo tumeishi maishab hayo. Hapo hapo Oysterbay. 1990s.Hii ni kwa maisha ya dunia ya kwanza, kiujumla hatujafika huko.
Dah we jamaa nimecheka balaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiwa dingi wa kiafrika unatakiwa uweke chanel ambayo nyumba nzima hawapendi alafu we mwenyewe huangalii unasinzia ila wakibadilisha tu chanel unashtuka usingizi unaisha halafu unawaambia rudisha haraka.
Wanapaswa kujua muda wa baba na muda wao.Eti?
Unarudi nyumbani unakuta watoto wanatazama katuni zao kwa raha zao, au tamthilia pendwa za kike..... unawezaje kubadili chaneli bila kuonekana katili?
Tuseme muda wa Taarifa ya Habari, au hata mechi pendwa za soka..... ukibadili channeli watoto hao wanakukimbia sebuleni unabaki mwenyewe.
Hujisikii vibaya?
Hapa ndo umuhimu wa kupitia maeneo fulani kabla ya kurudi nyumbani, wenzetu mnawezaje?
Kuna tablets za watoto pia.Wape Simu wacheze game wewe endelea na Tv