Wenye familia na watoto mnawezaje kutazama Runinga nyumbani?


Kwenye cartoon unawafundisha maarifa gani ya maisha?
 
Mimi kwangu watoto nimewapa amri ya kuangalia taarifa ya habari tu halafu ikiisha tv lazima izimwe,halafu huwa baadae nawauliza wanisimulie walichokiona kwenye taarifa ya habari
 
Mimi TV sina mpango nayo ila simu yangu 24/7 haikai mbali nami
 
ungana nao ndio furaha ya familia, kama ni game cheza na mwanao, angalia hiyo tamthilia na mkeo akusimulie hiyo ndio furaha ya baba kuwepo nyumbani wape kipaombele wao, ndio furaha yao. Na ni jukumu la baba kuwapa furaha wale wa nyumbani mwake
 
""Then watoto wajengee library room TV wawe wanaangalia kila jumapili tu"""
Dr mbona utakua kauzu sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Watoto lazima waandaliwe kuwa thinker na sio follower.

And in this universe the beautiful things is invisible

Affection
Compassion
Sympathy
Empathy
Kindness
Humbleness
Goodness
Wisdom

So it is just hardest to my kids to be smarter and productive kwa kutazama TV lazima wasome Sana vitabu ili wapate insight.
 
Ukiwa dingi wa kiafrika unatakiwa uweke chanel ambayo nyumba nzima hawapendi alafu we mwenyewe huangalii unasinzia ila wakibadilisha tu chanel unashtuka usingizi unaisha halafu unawaambia rudisha haraka.
Dah we jamaa nimecheka balaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanapaswa kujua muda wa baba na muda wao.

Nimepanga kuja kuwa na setup room yangu.
Hii haitaingiliana na mambo ya sebuleni ni full gaming, movie and music. Inakuwa na sound proof kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…