Wenye ushahidi namna Paul Makonda alivyohusika kwenye utekaji, mauji na upigwaji risasi Lissu tuwekeeni hapa. Kuchafuana kisiasa ni ushamba

Wenye ushahidi namna Paul Makonda alivyohusika kwenye utekaji, mauji na upigwaji risasi Lissu tuwekeeni hapa. Kuchafuana kisiasa ni ushamba

Makonda mwamba. Hapa tu ndo nawasfu akina ngosha. Wanajiamini balaa.
Chenge, Makonda + Jiwe.

Hivi Mpina naye ni ngosha nini? Msukuma wa Geita naye pia?

Viva ngoshas.

Narudi usafani
 
Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.

Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.

Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama, kushiriki atuwekee hapa.

Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.
😍
 
We Ni mataQo, we upewe Ushaidi we Kama Nani binti?????
We mwanzo simlikuwa mnasema hakuna Ushaidi wakumfunga Sabaya?! Kwa taarifa yako Jamuhuri Ina Ushaidi wote wa jinai za makonda, Hadi Ushaidi wa wewe bottom wake
Wewe mwenyewe tutaweka ushahidi humu namna mama yako akipigwa miti. Clip tunayo. Maana hili ni jukwaa huru.
 
Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.

Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.

Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama, kushiriki atuwekee hapa.

Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.
Asante Sana kwa hoja hii, mwenye ushahidi usiotia shaka ajitokeze not necessarily aulete humu, aupeleke kunako husika.

Mimi niliwahi kufanya kautafiti kadogo kumhusu huyu jamaa, nikabaini
P


P
 
Mimi kama mtanzania huru ninayo haki ya kuwaomba ubalozi wa marekani ushahidi wa wapi makonda kadhulumu haki ya kuishi.

Yaani ushahidi ni upi au kwa kuwa ubalozi wa marekani umesema hayo ?

Mbona huu ubalozi wa marekani haukusema hayo kwa sabaya na ilhali sabaya kuna clip zake zilivuja akifanya uhalifu dukani kama ambavyo za makonda zilivuja akivamia clauzi tivii ?

Ubalozi wa marekani has nothing to do with uhalifu wa makonda.

Kamw ambavyo CCTV zimeonesha makonda akivamia clauzi basi ilikuwa bora tuone ushahidi mwingine makonda akivamia Tundu lissu pale dodoma.

Hatukatai makonda ana makandokando lakini hayo makandokando yawe na ushahidi tusizungumze kwa mihemko.
Hizo ndio siasa za Bongo..
 
Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.

Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.

Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama, kushiriki atuwekee hapa.

Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.
We hizi habari umezitoa wapi?
 
Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.

Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.

Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama, kushiriki atuwekee hapa.

Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.
Ubalozi wa US wanao ushahidi.
 
Wewe mwenyewe tutaweka ushahidi humu namna mama yako akipigwa miti. Clip tunayo. Maana hili ni jukwaa huru.
Ok,mi ninayo ya wako wewe akiliwa Tigo kwa mtungo!

we ni bottom wa makonda, ni vile sheria za humu haziruhusu kumuanika member jina lake halisi
 
Mimi kama mtanzania huru ninayo haki ya kuwaomba ubalozi wa marekani ushahidi wa wapi makonda kadhulumu haki ya kuishi.

Yaani ushahidi ni upi au kwa kuwa ubalozi wa marekani umesema hayo ?

Mbona huu ubalozi wa marekani haukusema hayo kwa sabaya na ilhali sabaya kuna clip zake zilivuja akifanya uhalifu dukani kama ambavyo za makonda zilivuja akivamia clauzi tivii ?

Ubalozi wa marekani has nothing to do with uhalifu wa makonda.

Kamw ambavyo CCTV zimeonesha makonda akivamia clauzi basi ilikuwa bora tuone ushahidi mwingine makonda akivamia Tundu lissu pale dodoma.

Hatukatai makonda ana makandokando lakini hayo makandokando yawe na ushahidi tusizungumze kwa mihemko.
To cut the matter short,chukua ushahidi wa kuvamia Clouds TV only, na uisaidie jamii huyu Bwana afikishwe mahakamani.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
jamaa anahitaji ushahidi jinsi Bashite alivyovamia Clouds media
Atakuwa mwehu huyo! Hawa watu wanataka kumtetea Bashite wanatukumbusha jinsi Sabaya alivyo Dhani kupiga propaganda kunasaidia kumbe ndio chanzo cha vyombo husika kulianzisha
 
Sikujua kama JF kuna vilaza ambao hawajui sheria walau kidogo. Mnaambiwa mtoe ushahidi dhidi ya tuhuma zake za kumshambulia Tundu Lissu ila mnasema anamiliki magari kuliko mshahara...
Sasa Ushaidi ukishahanikwa humu, lengo na Nia yenu muharibu Ushaidi wa huyo bwana wenu?! Ushaidi unatolewa Court, hata Ushaidi wa Sabaya asilimia kubwa ulitolewa court sio Jf, haukutolewa kabla humu JF Ushaidi wa Sabaya akionekana kwenye CCTV akikwapua maburungutu ,lakini mahakama tuliona Ushaidi wa kila namna,Tena mwingine hatukutegemea kabisa, na kwa makonda ndio hivyohivyo itakavyokuwa.
 
Anza na ubalozi wa marekani waliomtangaza kwamba anadhurumu watu haki ya kuishi na kumpiga marufuku kwenda huko marekani...
Naomba uhoji kwanza waliotoa cctv camera kwenye makazi ya Lissu siku moja baada ya kupigwa risasi. Ndipo nijue ww unadhamira nzuri ya hichounachomtetea makonda
 
Back
Top Bottom