Wenye ushahidi namna Paul Makonda alivyohusika kwenye utekaji, mauji na upigwaji risasi Lissu tuwekeeni hapa. Kuchafuana kisiasa ni ushamba

Wenye ushahidi namna Paul Makonda alivyohusika kwenye utekaji, mauji na upigwaji risasi Lissu tuwekeeni hapa. Kuchafuana kisiasa ni ushamba

Kwani ushoga ni sifa nzuri kwako siyo?

Maana wamarekani walimzuia kwa sababu aliupiga vita ushoga.

Ila Lissu walimkubalia sababu aliukubali Ushoga!

Wekeni ushahidi acheni Majungu.....
Makonda atapingaje ushoga wakati yeye mwenyewe anapakuliwa mavi? Kama hamujui tuulizeni tuwawekee hapa ni lini alianza kupakuliwa na nani kampakua!!
 
Wakati JPM alipokuwa anaumwa kuna mkubwa moja alisema Rais yupo vzri na a achana kazi mwishowasiku tukasikia RIP . JE? tukiomba ushahidi wa aliyo yasema atatupatia?
 
Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.

Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.

Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama na kushiriki atuwekee hapa.

Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.
Wewe ni nani yake
 
Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.

Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.

Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama na kushiriki atuwekee hapa.

Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.
Kuna kila dalili kuwa Idugunde ni mtu mwenye ukaribu sana na Makonda na Mwendazake.

Post nyingi sana unawatetea. Makonda hawezi kukwepa mkono wa sheria labda afe mapema kama Magufuli
 
Naona hiki kinachotokea kwa makonda ni kichekesho kama mwendesha mashitaka anapinga maombi ya kubenea kuruhusiwa kumshitaki makonda sioni haja ya kumtuhumu makonda mitandaoni wakati ushahidi usio na mashaka haupo,tutajadili sana bila maana mpaka mwendesha mashitaka akiona kuna haja ya kumfungulia kesi makonda tukutane kujadili ,kilichobaki hapa ni "nimesikia alifanya hivi"na wivu tu wa kishamba
 
Mimi kama mtanzania huru ninayo haki ya kuwaomba ubalozi wa Marekani ushahidi wa wapi Makonda kadhulumu haki ya kuishi.

Yaani ushahidi ni upi au kwa kuwa ubalozi wa marekani umesema hayo ?

Mbona huu ubalozi wa marekani haukusema hayo kwa sabaya na ilhali sabaya kuna clip zake zilivuja akifanya uhalifu dukani kama ambavyo za makonda zilivuja akivamia clauzi tivii ?

Ubalozi wa marekani has nothing to do with uhalifu wa makonda.

Kamw ambavyo CCTV zimeonesha makonda akivamia clauzi basi ilikuwa bora tuone ushahidi mwingine makonda akivamia Tundu lissu pale dodoma.

Hatukatai makonda ana makandokando lakini hayo makandokando yawe na ushahidi tusizungumze kwa mihemko.
Upewe ushahidi wewe ni mahakama?
Ukishapewa utaufanyia nini au kwa faida ya nani. Endelea kuimba mapambio hapo kusifia wauwaji
 
Kiongozi mimi ni mjinga naomba unitoe ujinga,
Deep state inaundwa na watu wa gapi?
Watu hao ni akina nani?
Vipi Jk yumo au?
 
Kuna wapumbavu wanauliza maswali ya kipumbavu na kutoa maoni ya kimavi! Hivi ni nani anazuia huyu muuaji asishtakiwe ili watu wapeleke maushahidi? Serikali ime msingle out Sabaya na kumuacha huyu. Kubenea amejaribu kumshitaki lakini kuna visiki kibao!
 
Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.

Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.

Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama na kushiriki atuwekee hapa.

Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.
Acha upumbavu na ushabiki mandazi unamtetea mahalifu laana yake itakukumba shauri yako !!!
 
Argue sensibly and logically.

Unajua utofauti wa tuhuma na ushahidi? Makonda anatuhumiwa kuhusika kwenye utekaji, mauaji, upotezaji watu, kubambikia watu kesi na uporaji wa pesa na mali za watu kupitia cheo chake.

Kuna mazingira ya wazi yanayofanya atuhumiwe hivyo. Wananchi wengi kadhaa wanamtuhumu. Vyombo vya usalama vinamtuhumu. Marekani nayo inamtuhumu kwa kuwanyima watu haki ya kuishi.

Wenye jukumu la kufanyia kazi tuhuma wanajulikana. Wewe unasema walete ushahidi hapa. Wewe unataka walete ushahidi hapa, unataka ufanye nao nini? Au wewe ndiye Makonda mwenyewe, unataka uanze kuandaa defence?

Serikali itakapokuwa na dhamira njema ya kutaka waathirika watendewe haki, ushahidi utapatikana mahakamani. Kwani ushahidi wa Sabaya uliletwa hapa? Tuhuma dhidi ya Sabaya zilikuwa nyingi. Wapo watu waliokuwa wakikejeli, alipopelekwa mahakamani, ushahidi umepatikana au haukupatikana?

Ushahidi dhidi ya Makonda utakuwa mwingi kuliko hata dhidi ya Sabaya. Na Makonda, kwa uhakika ni mhalifu maradufu ya Sabaya. Ndiyo maana hata Sabaya alipokuwa akipora pesa za watu, alikuwa akitamka wazi, "hii inaitwa Makonda style".

Anayeshikamana na shetani, ni mwovu kama shetani mwenyewe. Endelea kushikamana na shetani.
Cc Idugunde Crimea comte YEHODAYA Countrywide
 
My friend, what you’re asking for is a tall order. Usipoteze muda kuutafuta huo ushahidi hapa JF, hutaupata. Hii sio juridical forum. Hapa tunaaminishana kwa kutumia “plausible” facts na arguments basi. Sisi tuna-connect the dots. Unapima mwenyewe.

Somo kuu mashabiki wa watawala mnalotakiwa kujua ni kuwa ukiwa na kiherehere sana, wewe ndio unakabidhiwa kazi chafu ili baadaye usukumizwe kirahisi ndani ya dampo. You become easily “expendable”.

Mwigulu alikuwa hivyo awamu ya nne na partly ya tano. Baadaye kama vile akajishtukia, akajirudi kiasi lakini rekodi ya kushika uchafu haifutiki kabisa.

Mpe ushauri nasaha Makonda jinsi ya kusurvive hii kadhia. Kumtafutia heshima hapa JF is an exercise in futility. He’s completely soiled up!
Cc
Idugunde Crimea comte YEHODAYA Countrywide
 
Ibara ya 18 ya katiba ya JMT ipo wazi kutoa maoni ni pamoja na kupata taarifa. Kuweka hapa jamvini ushahidi ni ishara tosha kuwa hata mahakamani maana hii ni dunia ya kidijitari.

Sabaya sio gaidi. Kumbuka pia sio wote wanaokuwa gerezani ni magaidi.

..mbona Lissu ametoa ushuhidi kwamba WALINZI wa area D waliondolewa siku aliyoshambuliwa lakini hakuna hatua zilizochukuliwa?

Cc Erythrocyte
 
JPM ana umuhimu wa kufufuka kuliko kiumbe chochote nchini, uenda akapata nafasi ya kutubu tu! Na ajionee mawaziri aliowatema wanavyochapa kazi kwa kujiamini bila hofu chini ya mama!
 
Mimi kama mtanzania huru ninayo haki ya kuwaomba ubalozi wa Marekani ushahidi wa wapi Makonda kadhulumu haki ya kuishi.

Yaani ushahidi ni upi au kwa kuwa ubalozi wa marekani umesema hayo ?

Mbona huu ubalozi wa marekani haukusema hayo kwa sabaya na ilhali sabaya kuna clip zake zilivuja akifanya uhalifu dukani kama ambavyo za makonda zilivuja akivamia clauzi tivii ?

Ubalozi wa marekani has nothing to do with uhalifu wa makonda.

Kamw ambavyo CCTV zimeonesha makonda akivamia clauzi basi ilikuwa bora tuone ushahidi mwingine makonda akivamia Tundu lissu pale dodoma.

Hatukatai makonda ana makandokando lakini hayo makandokando yawe na ushahidi tusizungumze kwa mihemko.
NSA hunasa mawasiliano ya simu, email, fax, msg, etc duniani kote, , , yaani kuna server za ukubwa wa mahekali kwenye makao makuu ya NSA, ,
Lakini hawawezi kutoa intelligence kizembe hivyo
 
Back
Top Bottom