Unajua JPM hakuwa mwizi wa kiasili. JPM alitaka kuwa na fedha ambazo angezitumia anavyotaka yeye bila mambo ya bajeti ya Bunge. Kwa hiyo alikuwa anachukua fedha kutoka taasisi mbalimbali kama Bandari, na kuziweka ambako haijulikani. Ndio zile trilioni 15 CAG alisema hajui zilienda wapi.
Kuna wakati hata alitoa maagizo barabara zijengwe bila bajeti ya Bunge, akisema fedha nitatoa, kwa sababu alikuwa nazo. Hata kitengo cha wasiojulikana kiliendeshwa kwa hizo fedha ambazo zilikuwa hazina hata accountability.
Ndio maana alipokufa, watu wachache waliojua ziko wapi walianza kuzihamishia account zao, Samia akatoa amri kwa benki zote wasimamishe transaction kubwa zote za ndani kwa miezi mitatu. Walikuwa wakizitafuta hizo fedha, na sijui kama walizipata.
Sasa huo ndio ulikuwa wizi wa Magufuli
Nchi kama South Africa, Zimbabwe, wana utaratibu mzuri sana wa kitaasisi. Lakini unaona madudu yanayofanyika?