Pre GE2025 Wizi na ufisadi wa fedha za serikali uliokithiri katika awamu hii, suluhisho haliko ndani ya CCM wala upinzani kuwa mbadala wa CCM

Pre GE2025 Wizi na ufisadi wa fedha za serikali uliokithiri katika awamu hii, suluhisho haliko ndani ya CCM wala upinzani kuwa mbadala wa CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unajua JPM hakuwa mwizi wa kiasili. JPM alitaka kuwa na fedha ambazo angezitumia anavyotaka yeye bila mambo ya bajeti ya Bunge. Kwa hiyo alikuwa anachukua fedha kutoka taasisi mbalimbali kama Bandari, na kuziweka ambako haijulikani. Ndio zile trilioni 15 CAG alisema hajui zilienda wapi.

Kuna wakati hata alitoa maagizo barabara zijengwe bila bajeti ya Bunge, akisema fedha nitatoa, kwa sababu alikuwa nazo. Hata kitengo cha wasiojulikana kiliendeshwa kwa hizo fedha ambazo zilikuwa hazina hata accountability.

Ndio maana alipokufa, watu wachache waliojua ziko wapi walianza kuzihamishia account zao, Samia akatoa amri kwa benki zote wasimamishe transaction kubwa zote za ndani kwa miezi mitatu. Walikuwa wakizitafuta hizo fedha, na sijui kama walizipata.

Sasa huo ndio ulikuwa wizi wa Magufuli

Nchi kama South Africa, Zimbabwe, wana utaratibu mzuri sana wa kitaasisi. Lakini unaona madudu yanayofanyika?
Taasisi ziko nyingi hata zile za nidhamu ni sehemu ya mfumo wa kitaasisi. Wanachukua hatua za kinidhamu bila kupepesa macho. Vinginevyo Ramaphosa angelikuwa siyo Rais anayemaliza muda wake pale South Africa. Zimbabwe ni kama Tanzania tu wanasiasa wameichafua nchi hiyo.
 
Bibi chaudele kiukweli kabisa kama nchi ingekua ni nguo basi hii ni "buga" kwake haimtoshi hata akijitahidi kuibana kwa namna gani, hakuna sehemu ambayo unaweza ukasema amefanya vizuri haipo kabisa
 
Back
Top Bottom