Hicho kimbunga ni kile kile kinachokuja Mwanza kila wiki kwa miaka mitano au ni kingine. Kama ni kili kile kinaleta kitu gani kipya? Labda safari hii kama kokoro kinakuja kikiwa kimezoa kila aina ya takataka...sema Mwanza labda watapata fursa ya kuwaona wale wanenguaji stejini!Usinikumbushe Dr. Slaa alivyofunga kampeni Mbeya 2010.π π π . Mwanza ni jiji sio timu ya volleyball. Subiri kimbunga kije leo kilikuwa Singida.MAGUFULI4LIFE.
Mbona picha zenu ni tofauti na za CCM na ACT? HUWA mnaogopa nini na kupiga vipicha vya chini?Bila shaka atakuwa ameambatana na wasanii wa kimataifa kama Justine Bieber, Rihanna, Beyonce, Lil Wayne, J zee, Chris Brown, Arnold, Rambo, Jet Lee, Jack chain, na wengine kibao bila kusahau Mr bean.
LISSU,LISSU,LISSU NIMEKUITA MARA TATU.KURA YANGU UTAPATA
Usije ukajinyonga tu.Hicho kimbunga ni kile kile kinachokuja Mwanza kila wiki kwa miaka mitano au ni kingine. Kama ni kili kile kinaleta kitu gani kipya? Labda safari hii kama kokoro kinakuja kikiwa kimezoa kila aina ya takataka...sema Mwanza labda watapata fursa ya kuwaona wale wanenguaji stejini!
#Mag3LIVE! LIVE! LIVE!
Mcheki Lissu Live huko mwanza hapa:
hapa kuna watu wakiona hivi lazima pivyu vibane nidaroko!
MAGUFULI4LIFE.Moja ya sababu zilizofanya niichukie hesabu nikuwa haisemi uongo na inakuwa na fomula,
Sasa Ngoja tuone hesabu za mwaka huu majibu yake yatakuwaje.