Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika Kampeni za Tundu Lissu Jijini Mwanza

Magufuli hiyo kanda yote ni yake subiri siku akitua hapo.
 

Hivi wale wanajitutumu kupinga picha na clip za wingi wa watu kwenye mikutano ya Lissu wakisema ni picha za 2015 wanasemaje kwa hili.
 
Sisi kama CCM tunasema tupeni mda tukifika mwanza mtacompare ,[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…