Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shindwa! Sema wewe ndio hutadumu, Tanzania itadumu.
Kumbuka pia kwamba ni mwalimu wa kwanza wa darasa la sheria aliposoma Paskali Mayala ‘Manjaa!’Wataumbuka japo watabebwa.
Sasa Spika asubuhi ya leo aliwaruhusu kubaki Bungeni kwa amri ya Mahakama ipi ili hali jioni hii ndio Mahakama inatoa zuio?
Eti huyu ndio msomi wa kiwango cha Phd na ni mwanasheria!
Pathetic!
Acheni kunyanyasa wanawake.
Shindwa! Sema wewe ndio hutadumu, Tanzania itadumu.
Jaji amepanga kesi kutajwa tarehe 13Juni2022, siku moja kabla ya kuwasilisha Bajeti Kuu ya serikali, Siku chache baada ya kuhitimisha bajeti za wizara mbalimbali.
Hii imekaa vizuri kwa maana Serikali,itakuwa imepokea michango ya wabunge wa upinzani wa CHADEMA,
Kuna uwezekano mkubwa uamuzi ukatolewa baada ya kikao hiki cha Bunge.
Funzo kwa CHADEMA
1). CHADEMA ilipaswa kuwaachisha wabunge (Mdee na wenzake) na kupendekeza majina ya wabunge wengine ili shughuli za Bunge ziendelea,(wangejifunza kutoka kwa Prof Lipumba wa CUF).
2). CHADEMA iache mambo ya kususa,ukisusa watu wanakula,walisusia matokeo ya uchaguzi 2020, watoto wa mjini wakachukua fursa.
Ungejinyamazia tu ndugu yangu, hauna hoja.Haleluyaa aaaahh haleluyaaa haaaa,
Yaani mtanyooka tu, katiba ya Chadema hamuifuati halafu mnataka katiba mpya, mnacheza nyimbo za kichaga, hiyo kesi ichukue hata miaka kumi, sawa tu
Kama sio gaidi ni msaliti wa nchi yake.
Kuwaita akina halima nje ya nchi, kuwashawishi wawe wakimbizi wa kisiasa, huo ni uterrorrist!
Kama sio gaidi ni msaliti wa nchi yake.
Kuwaita akina halima nje ya nchi, kuwashawishi wawe wakimbizi wa kisiasa, huo ni uterrorrist!
.mbona kama wameshtukiza!?
hizi mahakama za michongo hizi..!?
Sisi walipa Kodi tunaridhia, Cha msingi sheria inafuatwaWewe mjinga kweli, watu wanalipwa pesa za bure kutoka kwenye Kodi ya wananchi halafu unasema chadema wananyooshwa.
Siasa zetu tamu sana
baada ya karibia mwaka kuwa busy na hashtag za kupigania Mbowe kuachiwa
sasa hivi wametengenezewa agenda ya kuwaweka busy hadi mwishoni mwa 2024
Tunashukuru wabunifu wetu
Hata Sirro alikuja na majigambokuku hivyo hivyo.Kila kitu kinakwenda kuwa wazi.
Hatimaye uhuni wa Chadema unakwenda kuwekwa hadharani.
I noted that as well.... nimeilewa sana hiyo observation; wanataka kuwa wabunge wa kutokea hewani? Nikajua la muhimu ilikuwa kwanza kupigania uanachama ili ku-justify ubunge! Ndio mnasema Mdee ni mwanasheria? Kweli ulikuwa ubunge wa Ndugai na Magufuli!
Sasa Spika aliwaruhusuje kuendelea kubaki Bungeni wakati hakuwa na zuio la Mahakama?
Eti huyu ndio mwanasheria wa kiwango cha Phd na ndio anaongoza Bunge.
Hii nchi imepatwa mchana kweupe
Kwa vituko hivi, ndio mjue hapa hata kesi hamna.
Hongera jaji Mgeta kuzingatia sheria kikamilifu