peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Tangu uhuru leo ndio mnachimba mitaro ya maji?
Sijui anawaongopea nini huko leo, maana kila sehemu anaropoka tu.
Manyoni awali leo aliwaambia eti Chato kuna uwanja wa ndege ila hakuna maji na hakuna kinachofanywa.
Hivi CDM siku hizi hawana ata research team ya kumsaidia huyo mental case kabla ya kuropoka ovyo.
Napata shida sana kuelewa watu wanaowekeza imani zao kwa Lissu.
Hiyo ni poa kabisa. Umeona mbali.My president
Huo ndio uhuru wanaodai. Wanataka waseme hayo bila kujificha.Chunga kauli bro.
Kwanini sasa anapita anaongopa hakuna kinachofanywa kumaliza hilo tatizo.Tangu uhuru leo ndio mnachimba mitaro ya maji?
Walaji (na ndio wengi) tunamshukuru, mchele umepungua bei.Magufuli anahangaika sana,nduguze wa kanda ya ziwa hawamuamini kwa kuwa amewadhulumu pamba na kama haitoshi ameharibu soko la mpunga so,mwaka huu mpunga hauna soko kabisa!
Mbona huulizi kwani hilo dubwasha LENU haliendi kusini linaogopa sakata la kupora watu KOROSHO kifedhuli??? Kampeni ni sayansi zuzu weweLissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Hivi kongwa iko singida?Lissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Ok ok ok nadhani mtu ukimuita Salma ni sawa na kumuita Samia...sawa kabisa...Sawa mama Salma
Tena baada ya Lissu kuwaumbuaTangu uhuru leo ndio mnachimba mitaro ya maji?
Unaelimisha majitu yasiyokuwa na uelewa! Vichwa havina ubongo yamebaki kufugia chawa!Sasa anatoka Tabora kwa Gari kwenda Dodoma ataachaje kupita Singida?
Wengi hawatamchagua kwa sababu wana uelewa duni na dhaifu sana ila wachache watamchagua na atashinda kwenye kura za jumla.hivi kwa akili ya kawaida tu unadhani watu wa dodoma watamchagua au.
Kwani Itigi iko Dodoma?Kapitia njia ya Itigi au huijiui
Mimi ni CCM mwenzako, mwanachama hai na Kada. Sio kila mtu humu akiongea jambo ambalo haliifurahishi CCM na serikali unadhani mpinzani. Kuna mambo tu hatuwezi kuandika kwa sababu mbalimbaliInner circle ipi ? mnatiana ujinga tu usio na kichwa wala miguu nyinyi wajinga wa chadema.Kwa akili zenu ndogo na fupi mnajipa moyo kabisa kwamba huyo mtu wenu anaweza kushinda huu uchaguzi ?
Na hizo dalili zako ambazo unasema sio nzuri ,hakuna kitu kama hicho lakini kwa uwezo wenu mdogo wa kufikiri mnaaminishwa hivyo ili muweze kuendelea kupayuka.Haya yalikuwepo hata 2015 ,maneno mengi kuliko ukweli wa mambo.
Mlikodi mpaka genge la wahalifu wa kimtandao ili kutafuta ushindi lakini nchi ilikuwa macho na likasambaratishwaa.Ni kweli mnajitahidi sana humu mtandaoni kwa kuwa mnalipwa lakini mtaaibika sana baada ya matokeo na sijui mtaweka sura zenu wapi.Mwenzenu huyo hana tatizo,yeye atarudi kwao.
Mfano wa kitindiga! Huyo mzee wako kichwa kimeoza!Mkuu sana Kabikula jana nilicheka nusu nipaliwe na mate.
Although Mzee wangu alisema kwa kiingereza mimi nitamtafsiri kwa kiswahili ' alisema Kuwa watu wengi mkutanoni sio lazima wakupigie kura.
Mkiwa watu wawili mmoja kapeleka mbuzi mnadani na mwingine akabeba nyani kwenda mnadani, wakati mkiwa mnadani watu wengi sana wataenda kumuona nyani, lakini wakati wa kuondoka watanunua mbuzi ambaye ndio nia halisi ya kwenda mnadani na kuondoka nae mbuzi.
Mwenye nyani watamuacha na nyani wake kwa kuwa walienda kwenye mnada wa mbuzi waka mkuta mtu kaleta nyani.
Mahala panauzwa mbuzi wewe unapeleka nyani.
Nilikuwa namuelewesha njiaKwani Itigi iko Dodoma?
Ccm chini ya magfool ni majambazi!Hakuna Uchaguzi rahisi kama huu Mkuu ushindi ni 98%
October 28 unachukua unaweka waaa kwa Rais Magufuli na Ccm
MwanaCcm aliye Huru kifikra anaweza kuwa wa msaada sana kuliko mwanaCcm wa Aina ya Polepole na Bashiru ambao hawaongei uhalisia. WanaCcm wa Aina hii itabd tujiepushe nao kwani wengi ni wanafki na wachumia tumbo. Hawana ujasiri wa kuongea ukweli.Mimi ni CCM mwenzako, mwanachama hai na Kada. Sio kila mtu humu akiongea jambo ambalo haliifurahishi CCM na serikali unadhani mpinzani. **** mambo tu hatuwezi kuandika kwa sababu mbalimbali
Kwa hiyo Dodoma ni SingidaLissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali