Tanzania Nchi Yetu Sote
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 505
- 872
Lissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Dah !![emoji115][emoji115][emoji115][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu nawe unazidi kuhangaika naye
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jimbo la mgonjwa ghali zaidi duniani aliyeingia kwenye vitabu vya kihistoria
AhaaahaNimesoma upuuzi ulioandika nikashangaa sasa hapo chini kuna watu wameusapoti upoloto huo. Nikajiuliza na nani hao?
Nilipoangalia nikaishia kicheko! Walewale 'half past dead'View attachment 1603078
Nazani ni shule ya misingi Jamuhuri kama sio barafu ,ngoja nikuitie hawa APA Molemo na Salary Slip tuambieni mkutano wapi?Mkutano wa Lissu hapa Dodoma mjini unaanza saa ngapi na utakuwa sehemu gani tuanze kujisogeza mdogomdogo?
Kama CCM imechakaa basi Magu akifeli aanzishe chama chake.Ukweli ndio huo na wanachama pekee wa ccm wenye kadi ni wengi kuliko wa chadema ,pili ccm tayar ina madiwani na wabunge waliopita bila kupingwa na ikiwa chadema na Zambarau walisema watapita nchi nzima kusema ili watu wao warudishwe ila ni wachache tu ndio waliorudi yaani hapa nazungumzia madiwani na wabunge tu vipi iwe kwa Rais kwamba chadema ishinde inaanzaje kwa mfano haina hata mtaji wa wabunge ni kichekesho cha karne katika miaka ya chaguzi hii ni nyepesi kuliko hata za Nccr ya Mrema,Dr Slaa na Lowassa huu wa sasa Lissu kawa mpinzani kwa kusemewa Twitter na JF ila kiuhalisia jamaa atashindwa vibaya sana.
Mf. 2015 Ccm m8 na Chadema m6 na hapo Ccm ilikuwa na asilimia 59 nadhani ila chadema 39 na jamaa alikuwa nyoko kweli hata mimi nilimpigia Lowassa maana kipindi hicho ccm ilikuwa imechokwa vibaya sana na hao waliungana wote yani sasa iwe leo tena kwa ushuzi wa ubelgiji .
Bro utaona jamaa atakavyochakazwa mimi kuna watu kabisa wameichoka ccm ila wanasema mgombea wa ubunge atakosa ila Raisi watampa Magu hiyo ndio hali halisi huku nilipo ila JF na Twitter mshindi ni Tundu wa Amstadam.
Kuna ng'ombe mmoja yy kazi kusema niletee gwajimaaaMwingine hotuba nzima hana cha kuongea zaidi ya kusema
Saaasa... Saaasa.. sasaaaaa..😂.
Tunasubiri uchaguzi uishe tuone kama atabaki, lazima atimke tu.
Labda kuna mambo alisahau kuwambia.Jamaa anazunguka mikoa ile ile hana jipya.
Huko ndiko tunakotokea viumbe (isipokuwa Yesu). Kwa hiyo sio kosa kutaja idara hiyo.Magufuli na wewe ndio munao vuta bangi ndio maana hotuba zenu ni ngono ngono tu
Kura laki mbili zinamtosha kamanda mwenzangu.Lissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Kura laki mbili zinamtosha kamanda mwenzangu.
Sasaaaaa....Sasaaaaa...nisikilizeni basi.Kuna ng'ombe mmoja yy kazi kusema niletee gwajimaaa
Niletee gwajimaaaaaa
Niletee gwajimaaaa....
Nadhani analenga mambo mawili...
1. Kuendeleza ajenga ya kuratibu ukabila
2. Kusuguliwa km anavyopenda kusuguliwa
Sawa mama SalmaKura yako ni sawa na kuweka sukari ziwa victoria ukitegemea utakunywa chai[emoji3]
Siku hizi unakunywa mapuya? Maana hali ngumu mpaka mnatabiri uozo tu.Asilimia 70% ya kura za Urais wa Jamhuri ya Muungano zinakwenda kwa Tundu Lissu the greatest 68%ya viti vya Ubunge vinaenda Chadema
Kwa muktadha Huu Mzee Raisi Chato akasimamie Guest House yake.
Kwani maana ya kusugua ni nini? Mtu akisema nchi fulani na fulani zina msuguano,utamdhihaki? Acheni kuharibu lugha yetu kwa mawazo yenu potofu. Kwa nini mnaruhusu shetani atawale fikra zenu?Anza na Magufuli aliomba kusuguliwa na Sugu.
Mapuya ya kiwango acha kuzarau utamaduniSiku hizi unakunywa mapuya? Maana hali ngumu mpaka mnatabiri uozo tu.