KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Mapema hivi wewe tayari ushahitimisha hivi? Watu hata kifungua kinywa bado!Tayari nishateketeza kibaraka wa mabeberu.
Turnout Inaridhisha ila kwakweli vijana ni wachache mno,
Asilimia kubwa ni watu wazima na wa umri wa kati.
Shule ya msingi Mwenge mawakala wote wa Chadema wamezuiliwa kuingia vituoni na Wasimamizi wa Uchaguzi kwenye vituo hivyo.
Wapi buko nami nitie sahihi?Tumesha sign petition ya Ngurumo, dunia ujue yanayo endelea Tanzania.
Hii lini tena, sasa anatumbukiza na bahasha kabsa
Mimi mwenyewe nipo njian, labda waniteke kama kawaida yao.Wanaenda wote sijaacha mtu hata moja, jiwe lazima ang'oke mwaka huu miaka 59 ni mingi mno
Tayari mkuu ,Mapema hivi wewe tayari ushahitimisha hivi? Watu hata kifungua kinywa bado!
Kwani yeye ndiye kawazuia?Kwa nn? Acha uongo. Nyie ndio mnaleta taharuki
Leo tutawashugulikia kisa ,tunajambo LeoEti jina la Magufuli ndio la kwanza na la Lissu ndio la mwisho!
Mambo ya kitoto sana...
Kata ya Mzingani, Tanga Mjini mawakala wote wa Chadema na ACT wameshindwa kuingia kwenye vituo vya kupigia kura kwa kukosa barua za utambulisho, Mkuu wa kituo anasema kuwa barua za utambulisho ziko kwa Mkurugenzi.
Uongo wakati yeye ndiye yupo eneo la tukio? Basi wewe sema huo ukweli ili ituondolee iyo taharukiKwa nn? Acha uongo. Nyie ndio mnaleta taharuki
Wa vyama vingine wanao utambulisho?, Kama ndiyo, wamepewa na nani?Kwenye kituo cha NEDCO Masaki wasimamizi wa uchaguzi wanasema mawakala hawatambuliki bila barua ya utambulisho
Mawakala wa CHADEMA wako hapa wameelezea kwamba waliambiwa utambulisho utatumwa moja kwa moja na NEC na hawakupewa barua. Msimamizi anasema hayo ndio maelezo waliyopewa
Sasa wewe si useme ukweli?Wazembe pamoja na viongozi wao. Hawajui barua zinatolewa mara baada ya kuapa? Ondoa uongo
Acha ujinga wewe, sasa unataka watu wasitoe taarifa ya hali halisi, kisa kuogopa taharuki?Kwa nn? Acha uongo. Nyie ndio mnaleta taharuki
WaTanzania leo hawaukaribishi "udikteta" tu bali WANAUKUBALI na kuuimarisha zaidi. Haya ndio maajabu ya watu wa nchi yetu hii.
Na wewe unakubali vipi kupiga kura bila wakala wako kuwepo?Kata ya Mzingani, Tanga Mjini mawakala wote wa Chadema na ACT wameshindwa kuingia kwenye vituo vya kupigia kura kwa kukosa barua za utambulisho, Mkuu wa kituo anasema kuwa barua za utambulisho ziko kwa Mkurugenzi.
Na hayo yalikuwa ni maelezo ya NEC kwamba hawapo barua ya kitambulisho lkn watakuta majina yao kituoni. Sasa mbona wamebadilikiwa?Kwenye kituo cha NEDCO Masaki wasimamizi wa uchaguzi wanasema mawakala hawatambuliki bila barua ya utambulisho
Mawakala wa CHADEMA wako hapa wameelezea kwamba waliambiwa utambulisho utatumwa moja kwa moja na NEC na hawakupewa barua. Msimamizi anasema hayo ndio maelezo waliyopewa
Kwenye kituo cha NEDCO Masaki wasimamizi wa uchaguzi wanasema mawakala hawatambuliki bila barua ya utambulisho
Mawakala wa CHADEMA wako hapa wameelezea kwamba waliambiwa utambulisho utatumwa moja kwa moja na NEC na hawakupewa barua. Msimamizi anasema hayo ndio maelezo waliyopewa