Kuna masanduku ya kura feki yalikamatwa kibaha..[emoji16][emoji16].
VYOMBO VYA ULINZI vinaruhusiwa kupiga kura lakini haviruhusiwi kuwa na VYAMA.
Vijana tukambinubinue dikteta Magufuli juu chini Kisha tumburuze na kumtupa mtaroni Kama gadafi.

Naelekea kumkandamiza huyu muhutu anayetishia ustawi wa nchi yetu nzuri ya Tanzania.
 


Nimepiga KURA kituo cha Serikali za Mitaa Mwanamtoti (Kijchi - Mbagara - Dam) saa moja na busy hakuna MAWAKALA.

Wapo PEMBENI kwa sababu HAWANA BARUA ZA KUWATAMBULUSHA

Msimamizi wa Kituo namba moja amemtoa Dada mmoja aluyesema yeye ni WAKALA wa ACT - WAZALENDO kwa sababu Hana barua ya UTAMBULISHO na kwamba yeye (Msimamizi Kituo namba moja (1) HANA TAARIFA ZA HUYO WAKALA. (Dada mmoja MNENE AMEVAA SURUALI NA T - SHIRT)
 
Mimi ni msimamizi wa uhaguzi kituo flani naona kila mpiga kura anaweka tiki mwanzoni kabisa mwa karatasi ya kupigia kura. Wachaaaaache ndiyo nawaona wakiweka tiki mwishoni mwa karatasi hiyo.
Hakuna msimamizi anayeruhusiwa kuwa na simu wacha uongo.
 
Upigaji kura TABATA SHULE YA MSINGI; KITUO A 2 wananchi wanasubiri kupiga kura kwa kuwa makasha ya kutumbukizia kura hayana 'seals'.
KITUO A 4, BOXES NO. 527159, upigaji unaendelea bila makasha hayo kuwa na 'seals'.

MNAOHUSIKA FUATILIENI!!!
 
Kuna masanduku ya kura feki yalikamatwa kibaha..[emoji16][emoji16].
VYOMBO VYA ULINZI vinaruhusiwa kupiga kura lakini haviruhusiwi kuwa na VYAMA.
Daaaaaah Kweli watanzania tunamizaha sana, yaani issue ya masanduku ya kura fake unafurahi na kufurahi. Serious?
 
Kuna masanduku ya kura feki yalikamatwa kibaha..[emoji16][emoji16].
VYOMBO VYA ULINZI vinaruhusiwa kupiga kura lakini haviruhusiwi kuwa na VYAMA.
Vilikamatwa na nani? Kama vilikamatwa na jeshi la wananchi au wakala Ni Jambo zuri na la kutoa moyo.

Nje ya hapo itakuwa kazi bite mkuu
 
Kuna mgombea mmoja wa urais HANA KITAMBULISHO CHA KURA HIVYO KAKATALIWA ni wa chama cha UPDP bwana Kadege
 
Twendeni kupiga kura jamani tuchague viongozi tuna wataka, hamasisha na mwenzio, kura ndio zinaamua, tuache kulalamika.
 
Na kura zinaendelea kupigwa ndani bila mawakala wa CHADEMA kuwepo!

Bandiko kama hili linasomwa na kuonekana ni jambo la kawaida sana, na siku inaendelea na watu wanasubiri matokeo ya uchaguzi batili huu!
 
Hao wasimmamizi wa uchaguzi kama kuna uwezekano ni kupigwa picha for further references.

Huo ni upumbavu!
 
Wananchi wa Mabibo jijini Dar es Salaam waliojitokeza katika kituo cha NIT wamelazimika kusubiri baada ya kuchelewa kuanza kwa zoezi la upigaji kura kutokana na kuchelewa kwa zoezi la ugawaji vifaa kwa wasimamizi wa vituo vingine.
 
Sijakuelewa.... ni methali, tumeifundishwa darasa la kwanza miaka ya 1960! ulikuwa hujazaliwa , labda na wazazi wako walikuwa bado! kuwa majuto ni mjukuu...... tafuta maana yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…