Securelens
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 316
- 541
Ndugu yangu kipimo cha demokrasia si ushindi kwa vyama vya upinzani. Soma vizuri maana ya demokrasia. Soma pia tofauti iliyopo baina ya vyama vilivyoshinda Malawi na Seychelles na chama cha CHADEMA au ACT. Ukiona vyaelea ujue vimeundwaIMO only economic sanction will do, to be isolated by Western countries and International Organisations until when true democracy is respected in our beloved country. Iweje Malawi wafanye chaguzi huru na za haki na upinzani kushinda ili sisi ishindikane? Iweje Seychelles ifanye chaguzi huru na za haki na upinzani ushindi lakini sisi ishindikane? Tumeona jinsi Watanzania walivyoonyesha msimamo mkubwa wa kutaka mabadiliko ya uongozi nchini kwanini kikundi cha watu wachache wazuie mabadiliko hayo kwa kutumia mtutu, vitisho, kura fake na wizi?