Uchaguzi 2020 Yaliyojiri sehemu mbalimbali Tanzania katika zoezi la upigaji kura za Rais - Oktoba 28, 2020
Dah muungano jamani. Zanzibar hiyooooo imeendaaa
😂🤣😂🤣😂😂😂🤣😂😂😂😂😂😂🤣😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣 Umefurahiiiii Mwenyewe Kujifurahishaaa dah Vijana Mmeharibikiwaa
 
-
Mgombea ubunge Chadema Jimbo la Muheza @yosepherfkomba ameng'atwa na msimamizi mkuu wa kituo baada ya kutaka kufahamu kilichopo ndani ya mkoba huo, alipokataa kumonyesha akataka kutoka nje na huo mkoba, Yosepher akamzuia ndipo alipomjeruhi kwa meno..
Daah! Jamani, huu ni uchaguzi ama uchafuzi?
 
Madhara ya uchache wa wapiga kura ni yapi?.Natamani sana kujua tafadhali
Kwa Magufuli, hakuna madhara.

Lkn kwa wapenda haki, Uhuru na Maendeleo , idadi kubwa ya wapiga kura inakupa legitimacy na legality ya kuongoza.
 
IMO only economic sanction will do, to be isolated by Western countries and International Organisations until when true democracy is respected in our beloved country. Iweje Malawi wafanye chaguzi huru na za haki na upinzani kushinda ili sisi ishindikane?

Iweje Seychelles ifanye chaguzi huru na za haki na upinzani ushindi lakini sisi ishindikane? Tumeona jinsi Watanzania walivyoonyesha msimamo mkubwa wa kutaka mabadiliko ya uongozi nchini kwanini kikundi cha watu wachache wazuie mabadiliko hayo kwa kutumia mtutu, vitisho, kura fake na wizi?
Mkuu; bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kuiondoa CCM haiwezekani. Chunguza mazingira na hali ya kisiasa huko Malawi na Seychelles ikoje. Katiba zao zikoje? Madaraka ya rais yana wigo gani? Tume zao za uchaguzi zimeundwaje? Mwamko wa jamii kuhusu demokrasia ukoje?

Elekezeni nguvu zote katika kudai katiba mpya; na mambo mengine yote yatafuata. Na kama siyo kuogopa kupoteza ruzuku, kusingekuwa hata na haja ya kushiriki chaguzi hizi bila katiba mpya!
 
Mkuu; bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kuiondoa CCM haiwezekani. Chunguza mazingira na hali ya kisiasa huko Malawi na Seychelles ikoje. Katiba zao zikoje? Madaraka ya rais yana wigo gani? Tume zao za uchaguzi ziko huru? Mwamko wa jamii kuhusu demokrasia ukoje?

Elekezeni nguvu zote katika kudai katiba mpya; na mambo mengine yote yatafuata. Siasa !!!
Bora umewasaidi utawaongezea siku za kuishi lalamika sports club
 
Kitendo cha kuwafukuza mawakala ni ushahidi wa figisu za kupora ushindi
Acha uongo. Maeneo karibu yote mawakala wa CHADEMA walikuwepo. Ni maeneo machache ambako mawakala wa CHADEMA walishindwa kukidhi sifa au CHADEMA yenyewe haikuwapeleka. Kwa mfano katika jimbo la Geita mjini yenye vituo 630+, mawakala wa CHADEMA walikosekana kwenye vituo 9 tu. Lingine vyama vinaruhusiwa kuleta orodha ya reserved agents-yaani mawakala wa akiba incase wale wa mwanzo wanashindwa kufanyakazi yao kwa sababu yoyote ile. CHADEMA haikuleta mawakala wa akiba. Hivyo hoja ya uwakala ni hoja mfu kuitumia.
 
Mkuu; bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kuiondoa CCM haiwezekani. Chunguza mazingira na hali ya kisiasa huko Malawi na Seychelles ikoje. Katiba zao zikoje? Madaraka ya rais yana wigo gani? Tume zao za uchaguzi zimeundwaje? Mwamko wa jamii kuhusu demokrasia ukoje?

Elekezeni nguvu zote katika kudai katiba mpya; na mambo mengine yote yatafuata. Na kama siyo kuogopa kupoteza ruzuku, kusingekuwa hata na haja ya kushiriki chaguzi hizi bila katiba mpya!
Hawana akili Hawa wapinzani, wanalalamika tume kipindi hakuna uchaguzi, ukifika uchaguzi wanasahau tume wanaanza kutamba kuishinda CCM.
 
Hawana akili Hawa wapinzani, wanalalamika tume kipindi hakuna uchaguzi, ukifika uchaguzi wanasahau tume wanaanza kutamba kuishinda CCM.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Bado sana. 2025 Lissu atakuwa ame-mature kidogo, pengine kutulia kidogo kwa kuachana na matusi na utopolo wa akina Amsterdam. Pia atakuwa amepona vizuri majeraha yake kimwili na kisaikolojia. Na wakiwa wamefanikiwa kupata katiba mpya pengine anaweza kushinda akigombea tena. Kwa sasa waridhike tu na kula pesa ya ruzuku...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Bado sana. 2025 Lissu atakuwa ame-mature kidogo, pengine kutulia kidogo kwa kuachana na matusi na utopolo wa akina Amsterdam. Pia atakuwa amepona vizuri majeraha yake kimwili na kisaikolojia. Na wakiwa wamefanikiwa kupata katiba mpya pengine anaweza kushinda akigombea tena. Kwa sasa waridhike tu na kula pesa ya ruzuku...
Broo kwa trend iliyopo, Bora hata Lowassa alileta ushindani, huyu Mbelgiji watu hawana habari naye.

Aache harakati, afanye siasa, vitisho vya the Hague havitamsaidia chochote!
 
Wa kumdai ni nani sasa?
Hawakuweza wakiwa na wabunge, watawezaje bila wabunge?
Nafasi waliyoichezea kipindi cha JK wataikumbuka kwa siku za maisha yao...
Naamini watapata wabunge wa kutosha safari hii pengine kuzidi hata wale wa Lowassa. Hii itawasaidia kupigania hiyo katiba...

JK baba wa watu walimdhalilisha sana na kumuita kila aina ya majina mabaya wakati alikuwa anawakaribisha mpaka ikulu kwa mazungumzo na kunywa kahawa pamoja. Mwishoni naye naona maji yalimfika shingoni ndiyo maana alitia sahihi sheria ya makosa ya mtandao kabla hajaondoka.

#Lissu2025
 
Wacha wanyooshwe nipo Jimbo la meatu -Simiyu walikokuwa wanadanyana eti Lissu alijaza mafuriko, Kuna kituo Magufuli na kura Zaidi ya 300 lisu ana kura 3 [emoji23][emoji23]

Sehemu karibia zote Magufuli anaongoza.

Wanamtegemea Robert Amsterdam [emoji23][emoji23][emoji23]
Watasema mmeiba !!!
 
Back
Top Bottom