Masikini huwa mnaridhishwa na vitu vidogo sana, kutokana na umasikini wako basi ukipanga foleni na tajiri unadhani mpo sawa. Mwenzio kachoka kukaa kwenye V8 anafanya mazoezi
 
Viongozi wa vyama vya Upinzani huwa hawawezi kuelekeza nguvu kwenye katiba mpya na tume huru kwa sababu Kuna wachache huwa wanachaguliwa na kunogewa na posho.Ili wapinzani waweze kudai tume huru na katiba mpya inabidi wakose kabisa ruzuku,pia wakose kabisa mbunge hata mmoja.
Unajiuliza mwaka Jana uchaguzi wa serikali za mitaa walijitoa Kwanini uchaguzi mkuu hawajajitoa? Wakati Mazingira ya figisufigisu Ni yaleyale?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Walichofanikiwa kwa miaka yote 5 ni kujadili kingereza cha Magu tu basi
 
Kumbe tatizo lako ni umaskini umekosa nauli? Hahaha alafu unaishia kunitukania wazazi? kama huna nauli ni wazi kabisa nani kapigwa na maisha, njoo nikupe ajira upate hata hela ya kula acha ushenzi, pumbavu, ila kama umempa kura jiwe ajira hupati, sipendi washenzi mimi.
 
Hayo ndio maombi yangu na inshallah yatatimia kwa mpango wa Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…