Wakuu habari,

Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu anazungumza na waandishi wa habari muda huu.

Hiki ndicho anachokisema (Updates)

-Wagombea ubunge wa chama chetu walikatwa, hii ni ishara moja kuwa uchaguzi wa mwaka huu ulikuwa na dosari

-Tumefanya kampeni nyigi kuliko zile za mgombea wa Chama cha Mapinduzi

-Msafara wangu wa Kampeni za urais ulikuwa na magari sita tu, magari mawili ya waandishi wa habari, na magari mengine manne, yakiwamo mawili ya walinzi

-Watanzania walitupokea kwa upendo mkubwa, walitupa maji, chakula mafuta
 
Wakuu habari,

Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu anazungumza na waandishi wa habari muda huu.

Hiki ndicho anachokisema (Updates)

-Wagombea ubunge wa chama chetu walikatwa, hii ni ishara moja kuwa uchaguzi wa mwaka huu ulikuwa na dosari

-Tumefanya kampeni nyingi kuliko zile za mgombea wa Chama cha Mapinduzi

-Msafara wangu wa Kampeni za urais ulikuwa na magari sita tu, magari mawili ya waandishi wa habari, na magari mengine manne, yakiwamo mawili ya walinzi

-Watanzania walitupokea kwa upendo mkubwa, walitupa maji, chakula mafuta
 
Kwa nini masikini Amsterdam? Huyu Muzungu kavuta mpunga mrefu sana, ni Mwanasheria ambaye chadema imemlipa kwa kutumia ruzuku yetu, hivyo yeye hana shida hiyo ndiyo kazi yake, ...
Ruzuku yenu kama mlivyomtibia matibabu Lieu!
 
Hata dikteta Nyerere alivyo pinduliwa na wanajeshi wazalendo!! Alikimbilia kuomba msaada wa wakoloni wa kiingereza ndio wakamrudisha madarakani!! Hata CCM kudumu madarakani mpaka leo ni kwa vile wamewakabidhi rasilimali zote mabeberu ya ulaya na China!!!
 
Mimi sasa hivi nimeachana na siasa mazima, 2009 nilikuwa na moto si wa kitoto baada ya upuuzi ule wa 2015 nimeamua kuachana kabisa na siasa.
 
Hiki ndio anachowambia kwenye huo wito wake kweli au mkuu unamsingizia?
 
Tundu Lissu piga spana mabeberu watume drone mbili tu, kumng'oa huyu jamaa.

Hata wizi wa kura sio huu, jimboni watu wamejindikisha kupiga kura 125,000 kura zimepigwa 400,000.

Halafu wanajiita "WAPENZI WA MUNGU"?
Mnapata wapi ujasiri wa kuwategemea mabeberu.
 
Lowassa aliwabeba sana 2015, mkajihisi nyie ndio mlimbeba na kuanza kumbeza alipoamua kurudi CCM. Haya sasa mmejiona mlivyo weupee...upinzani wa kweli utatoka CCM sio huko kwa msiojielewa.

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Nishapitia zote, nishalia sana, nishahuzunika sana hivyo kwangu hakuna jipya, lkn Zito Kabwe kupigwa chini ndicho pekee nilichokuwa nakiombea kwenye huu Uchaguzi hao wengine sijali, ...
Why? kakukosea nini zito?
 
Mimi sasa hivi nimeachana na siasa mazima ,2009 nilikuwa na moto si wa kitoto baada ya upuuzi ule wa 2015 nimeamua kuachana kabisa na siasa.
2015 waliaribu kila kitu na itachukua muda kurudi ile levo kabla ya kumpokea Lowassa.
Ebu piga picha mziki wa CHADEMA ungekuaje sasa kama wasingefanya ule upuuzi...
 
Amewaambia watanzania sababu wamedhulumiwa waingie barabarani kwa maandamano kudai haki zao na yeye ameshaongea na amstadamu wake amsadie kuwasilisha malalamiko ICC

Hajasema waandamane sababu kura zake hazikutosha ila kasema yeye kazi yake amefanya na amemeliza sasa ni zamu ya watanzania kufanya maandamano.

Hajasema kama yeye na chama chake watashiriki kwenye hayo maandamano, hajapanga maandamano yaanze lini, yaanzie wapi.

Binafsi ninampongeza Tundu kwa kushiriki uchaguzi, ajue tuu watanzania ni watu makini sana

Mzee Jakaya alisema za kuambiwa changanya na zako😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…