Kumepambazuka sasa ndoto imeisha, hadi sasa upinzani wana mbunge mmoja tuu wa CUF.
Tunawakaribisha walioshiriki wakakosa waje tukae tuwakilishwe na waliopata

Maendeleo hayana vyama
 
Mbowe, heche, zito, lema, prof jay, sugu,matiko,bulaya,msigwa,mdee,
Wanarudi mtaani

Tunawakaribisha kwa mikono miwili
Waje tuunganishe nguvu na wawakilishi wetu wapya waliochukua dhamana ya kutwakilisha bungeni
 
Sasa Viongozi wanakaa ndani tu badala waanzishe maandamano watoke nje wanatweet tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hakuna sapoti ya wananchi, waoga.
Huku Mara watu jeshi ndo linatumika
 
Kosa langu hapo n upi.? Kwan ww unavoshabikia upinzani nmekutukana.?
Poor you! Typically Bongomindset! Sir, hapa hatushabikii! Hapa tunazungumzia mustakabadhi wa nchi kwa hoja za nguvu. Wewe unaleta ule ushabiki wa kibongo bongo wa Simba na Yanga ambao watu wanabishana kama makasuku bila kutumia hoja.

Kwa kifupi hapa watu wanaoona mbali na kuitakia nchi yetu mema wanaona tunarudi nyuma kwani mihimili yote ya serikali imebakwa na Magufuli kitu ambacho siyo kizuri kwa maendeleo ya nchi. Upo?
 
NEC wanakataa sababu hawakupelekewa. Sielewi kuna kigugumizi gani kwenye kura feki
Mbona zipo nyingine za kumwaga.tena zipo kwenye malori kabisa.
Tatizo NEC WANAKATAA hapa ndipo ninaposhangaa
 
Kumepambazuka sasa ndoto imeisha, hadi sasa upinzani wana mbunge mmoja tuu wa CUF.
Tunawakaribisha walioshiriki wakakosa waje tukae tuwakilishwe na waliopata

Maendeleo hayana vyama
Ccm hawanaga hesabu kabisa.we unfurahi,utafurahishwa subiri labda msirudishe mrandao milele.
 
We mwizi tu, mali ya wizi iyo
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Acha kuongea maneno mengi ambayo n pointless, kama tutarudi nyuma mbona wakat wa kampeni mlimdanganya huyo mwenzenu kwa umati mkubwa na wakat wa kura mmemkimbia?

Acha kujifanya ww pekee ndio unauchungu na kitu ambacho waliokuwa na uwezo wa kukipata wapo makwao wametulia muda huu wakiwa wameshika simu zao na kupost watu wakaandamane na mjinga ww unatoka kuandamana
 
Nakuambia wewe ni idiot. Na mbaya zaidi unaonyesha u-idiot wako kwa kutumia ID halisi.
 
HIVI UPINZANI WALIKUWA WANAONGEA NN KWENYE KAMPENI AIBUU

SHEMEJI AJARUKA JAMAN MAANA SI KWA AIBU HII
 
Japo wapo watakaodai ushindi ni ushindi tu, kwangu uchaguzi huu umeivua nguo, umemvua nguo na umewavua nguo.
Nchini , kikanda na kimataifa! hii ni aibu na fedheha sana kwa Taifa.
Japo wapo watakaosherehekea aina hii ya ushindi, kwangu naamini wengi nafsi zao zinawasuta na hawaamini walichokishuhudia.
Yaani hata CCM huku mitaani utaona nyuso zao zinavyowasuta. Ni aibu ya taifa. Aibu haina chama!
Magufuli ataingia kwenye vitabu vya historia kama kiongozi aliyewazindua Watanzania wadai upya nchi yao kutoka kwa wakoloni mamboleo, CCM.
Nina shock si ya matokeo bali hali ilivyo. Miaka 5 upinzani ulipigwa marufuku. Miaka 5 ya chama kutangaza sera za madaraja, midege, na flyovers. Miaka 5 ya manunuzi ya madiwani na Wabunge. Miaka 5 ya matumizi ya fedha za umma mengine bila uhakiki. Miaka 5 ya kutesa wapinzani, kutishwa n.k.

Sikutegemea ushindi unaoongozwa na Jeshi la Polisi(OCD Hai), TCRA kuhangaika na mitandao, TBC na propaganda, NEC na Msajili wa vyama kusaidia chama bado yametokea haya
1. Wananchi kuonyesha chuki wazi wazi
2. Upinzani kufufuka kutoka majivu hadi kushindwa na dola na si chama
3. Kubwa kuliko yote, aisee , Inachukiwa, Anachukiwa, wanachukiwa hadi inatisha

Kwa watu wenye akili timamu na fikra sahihi wanaoongozwa na ubinadamuna utu, kuna kitu cha kujiuliza
Kwanini , kwanini , kwanini! Nini kinapelekea kuchukiwa kiasi hiki.
Chuki niliyooina dhidi yao, yake na wao imenitisha na kusikitisha sana. Hilo ndilo lime ni shock!
 
Hoja za nguvu za lissu kuibiwa kura?? Nyambaafff, lissu akagombee ubelgiji huko
#Chadema ni lazima ife, ni lazima ifee#
 
NINGEKUWA MBOWE NINGEONDOA HELA ZOTE KWENYE ACC KAMA AJAJUA KINACHOFWATIA ATANIKUMBUKA AKISOMA HAYA WALLAHI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…