Acha upimbi, Hayo yanawezekana kutokea kwenu huko Buzirayombo ambako kuna illiterates wengi. Watu wa Kawe hawawezi kufanya huu utopolo unaouzungumza
 
Ugaidi uje tu
 
Yaani hujui kuwa walipokuwa wakirudisha fomu majina yao yalikuwa yakiandiwka kwenye daftari la wagombea na list hiyo ndiyo imetumika kwenye ballot? Ulitaka iwe alphabetical kwa msingi gani, jina la kwanza, surname au jina la chama?

Uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara.
 
Angalia speed ya internet yako. Usilaumu watoa internet, laumu bundle lako. Pia kumbuka wakati huu ambapo kila mtu anaingia kwenye intenernet, speed inapungua kwa wote, na wengine kwa sababu ya nguvu ya simu yako ndiyio kabosa huwezi kuibgia.

Amka jomba, usiwe zoba.
 

Sio kwa hawa walevi wa madaraka wa ccm.
 
Nawasalimu wananchi!

Shutuma zangu za kwanza lazima niziangushie kwa hawa viongozi, wametuharibia sana uchaguzi wapende wasipende.Kuna shutuma kuwa wamepewa maagizo nao wakawaagiza WEOs na Wasimamizi wasaidi kuhakikisha kijani wanashinda kwa kishindo.

Nawaambieni kuwa huwezi kumlazimisha mke ambaye hakupenda kuishi naye unanidanganya tu.

Tunajua mwafanya haya kufurahisha utawala uliopo kulinda kitumbua chenu lakini yana mwisho haya mkumbuke. Dhambi mliyoifanya ni kubwa na mkumbuke kuna watu wamepoteza maisha kuhusu huu uchaguzi na damu hizo mikono yenu inahusika mtalaamu wa katika kitumbua Chenu hicho hakitakuwa cha baraka na badala yake kitakua cha laana.

Siku ya mwisho mnaambiwa kuwa watakuja manabii wa uongo kuwadanganya kwa vitu vizuri. Hawa manabii wanakuja kwa sura mbali mbali za kibinadamu hawaji kwa sura zao. Sasa kama unaambiwa fanya dhambi ili kulinda kitumbua chako maana yake na wewe njia ya Jehanam na Lucifer wako ni moja.

Tunawapa pole sana kwa shida zenu zinazowaponza. Zitawapeleka Jehanam mnaangalia.
 
expand...
Miradi mingi Tanzania infadhiliwa na mabeberu mpaka mabarabara , elimu ya bure etc sasa ngoja world bank, usa, eec, UK, Sweden, Denmark, canada, Netherlands etc. waashukie ndio mtajua...ni msibaa maana we almost depend on donors by 60-70 of our budget support.
 
Siku kama ya leo miaka minne iliyopita Jiwe alitufanyia kiini macho katika uchafuzi
 
Tutaendelea kuikumbuka legacy ya yule mwendawazimu aliyeibaka demokrasia tarehe kama ya leo 2020.

Mmeona matokeo ya kile kituko alichokiacha kwenye kumbi za bunge ?
 
Bado miezi kadhaa tu tuingie tena kwenye mchakato kama huu.
Sijui upinzani utakuwaje???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…