Uchaguzi 2020 Yaliyojiri sehemu mbalimbali Tanzania katika zoezi la upigaji kura za Rais - Oktoba 28, 2020
Kampe pole mpwa wako aliyejenga uwanja wa ndege wa kifahari katikati ya watu wenye ufukara wa kutupwa! Huyo ndiye anayehitaji pole nyingi sana!
Acha porojo wewe, njoo tuandamane huku. Tumekiwasha kinoma, hakuna kurudi nyuma. Tunapigania maslahi ya lissu, ila kwa sharti la aachane na amsterdam. Maana ukaribu wao unatutia mashaka
#chadema ni lazima ife#
 
Acha porojo wewe, njoo tuandamane huku. Tumekiwasha kinoma, hakuna kurudi nyuma. Tunapigania maslahi ya lissu, ila kwa sharti la aachane na amsterdam. Maana ukaribu wao unatutia mashaka
#chadema ni lazima ife#
Nakumbia tena nenda kampe pole yule mpwa wako aliyekwenda kujenga li-kiwanja la ndege la kifahari kijijini huku watu wakiwa hawana hata maji ya kunywa! Huyo ndiyo wa kupewa pole kwani ana matatizo makubwa mno.
 
Nakumbia tena nenda kampe pole yule mpwa wako aliyekwenda kujenga li-kiwanja la ndege la kifahari kijijini huku watu wakiwa hawana hata maji ya kunywa! Huyo ndiyo wa kupewa pole kwani ana matatizo makubwa mno.
Pole kamanda, chomoa ukimbie.
Ndoa ya mdee na bulaya imevunjwa rasmi.
Raha sio rahaaaaa? Raha sio rahaaaa?
#chadema ni lazima ife#
 
Mimi nasemagaa ingekuwa nina akilii hizi AIBU zisingewakuta. Tamaa tu

CCM wamewaonyesha hizo sio kwa ajili yenu tu kila mwaka nyie NDIE mgombee hamna wengine
 
Hata kama una huzuni na kushindwa kwa kishindo. Ndio uandike "MBOYE" instead of "MBOWE" kweli??
Au hata wagombea wenu mlikuwa hamuwajui kwa majina..Sio mbaya katika ile karatasi ya kupigia kura kulikuwa na ka picha.

Ila mmestahili mlichokupata.
Punguza kuwakeraaaa hahah
 
Acha ujinga wewe hii ni 2020 kuna namna chungu nzima ya kupambana na Serikali dhalimu usidhani tuko mwaka 47.
Kabla sijakuambia unajua hujui, em zitaje hizo njia chungu mzima
 
MiMi ni CCM haswaa ila NAKUSHAURI TUNDU LISSU ANZISHA CHAMA ILA PIGA CHINI HAO KINA MBOWE KINA MNYIKA KINA ZITTO, SIJUI HECHE ,KINA MDEE KINA BULAYA PIGA CHINIII....MIMI NITAKUUNGA MKONO UTALETA UPINZANI WA TIJA NA UTAKUWA UMEKOMAA KISIASA ACHANA NA CAHADEMA ...ILA UKITAKA MSAADA WANGUU ACHE MATUZI DHARAU NA KEBEHI KWA VIONGOZI WENZAKO..PIA UTUBUVKWA WATANZANIA NA UWEKE MASLAHI YA WATANZANIA MMBELE
Halafu apige kampeini za sera siyo za kumshambulia mgombea mmoja tu na kuifanya kuwa ndiyo sera. Ni tabia nzuri sana kukubali mazuri yaliyofanywa na mwenzako na kuonyesha kuwa ingekuwa wewe ungeyafanya vizuri zaidi, na hivyo unahaidi kufanya zaidi ya hapo. Lakini kila siku kuponda kila kitu inafikia hata wananchi wanakuona kuwa hauko serious.
 
Walaumu waliokunyima elimu ya kujua historia ya nchi yako!! Anyway jifunge shanga vizuri, ukashangilie ushindi wa chama chao vizuri!! Ukawashangilie watoto wa Pinda, Lowasa, Kikwete, Makamba, walioshinda ubunge na mtoto wa Mwinyi aliepewa Urais uko Zanzibar!! Ukimaliza kushangilia wakupe pombe ulewe ujifariji!!!

Hivi wewe unajua kutofautisha kati ya mapinduzi na Jaribio la mapinduzi lililofeli.

Basi labda nikwambie wewe ndiyo hujawahi kuijua historia ya hii nchi.

Nyerere hajawahi kupinduliwa then akarudishwa tena mamlakani

Bali yamewahi kufanyika majaribio kadhaa ya kumpindua ila hakuna liliowahi kufanikiwa hata moja kama akili yako mgando inavyojua.

Huwezi ukayaita mapinduzi wakati hujamtoa mtu Ikulu hayo yatakuwa mapinduzi uchwara.
 
😂😂😂😂😂😂
JIWE limetoa order
 
Ngoja tusubiri jiwe labda katoa ruhusa wachache wengine wa upinzani wapitishwe.
 
Well, wajipange tu kwa ajili ya 2025.
Bila katiba mpya na tume huru hakuna kujipanga.

Kule tweet unaona maboksi ya kura ya NEC . Nimeshangaa Polisi aliyeitwa kushuhudia naye pia alikuwa na mshangao

Haya nilijua yatatokea wala sioni kama kitu kipya.

Kipya nilichokiona ni timu kuachiwa goli wazi kama ni hockey ni empty net, halafu wanahitaji msaada! Nilichokiona, inachukiwa, anachukiwa, wanachukiwa. Sad! wajitafakari badala ya kushangilia
 
CHDEMA tuliwapa ushauri tukawaambia kwamba kwa dalili tulizoziona kupitia serikali za mitaa 2019 rafu walizochezewa wagombea wao ndiyo hizo hizo zitakazotokea kwenye uchaguzi wa Urais,ubunge na udiwani. Tunashauri kwakua kuipata katiba mpya ndani ya mwaka moja siyo rahisi,shinikizeni serikali iwaondoe wakurugenzi ambao zaidi ya 84% wanatajwa kua Makada wa CCM, hawa Wakurugenzi ndiyo tatizo kubwa wanatii viongozi wakuu wa ccm na serikali. Lakini CHADEMA wabishi sijawahi ona, wanajibu kwa jeuri eti "tutashinda pamoja na ubovu wa hiyo hiyo tume". Thubutuu yako!

Haya sasa tumeingia tu kwenye hatua ya kwanza ya uchaguzi wagombea kuchukua na kurudisha forms, Wagombea wa Wapinzani wakaanza kuwekewa mapinduzi ya hovyo na kuenguliwa mmoja baada mwingine huku wa CCM wakipata. Yale yale yaliyotokea kwenye serikali za mitaa ni yale yale yaliyojitokeza kwenye uchaguzi mkuu. Sasa upinzani kuleni jeuri yenu maana mwsjifanya mnajua sana. Ujinga na ubishi wenu ndiyo uliowaponza hakuna lolote.

Tulitoa way forward kwa kuwashauri upinzani tukitolea mfano wa Wapinzani wa nchini Kenya ambao kila siku ya jumanne kiongozi wa ODM ndugu Raila Odinga alikua aliwatoa barabarani wafuasi wake nchi nzima kushinikiza tume huru ya uchaguzi. Polisi waliwapiga sana na kuwanyanyasa lakini ilifika mahali wanasikilizwa na maombi yao yakafanyiwa kazi, angalau kiasi flani ile tume ina ahueni kidogo kuliko yetu hii ambayo imejaa Makada wa CCM na watumishi wa TIS.

Edeleeni kulialia na msitegemee changes kwa serikali ya Magufuli, anapenda sana watu waoga kama nyie. Ubishi wenu ndio uliowavslisha hapo endeleeni kushupaza shingo.
 
Back
Top Bottom