Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Shikamoo SIASA. Kubababeki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cha msingi ameshindwa, na akimteua tutakua na uhakika kwamba anabebwa.

We mkuu wa mkoa kama kazi zako zilikua vizuri, utashindwaje kura za maoni..

Tangazo, nauza dawa na kukuza makalio[emoji1][emoji1]
Ni lazima atamteua Mkuu. Unless dikteta HAJIPENDI.
 
Bado hujajibu swali, na DAB tayari keshapewa za uso.

Angekwenda kugombea koromomije angeshinda
Chandema au Act mkuu. Mana Sisi tusio na vyama. Rais wetu Ni yule yule. 5 years noch. Then akapumzike
 
Haya kumeshakucha tena La mgambo likilia ujue kuna jambo.



Live Kutoka Kigamboni

View attachment 1511577


Kwa mujibu wa ratiba ya CCM, leo na kesho ni siku ya Mikutano Mikuu ya CCM ya Majimbo/Wilaya kupiga kura za maoni za wagombea wa ubunge na ujumbe wa baraza la wawakilishi

Kwa Mujibu wa Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Magufuli waliochukua kugombea nafasi za Ubunge na uwakilishi ni 10,367. Waliokamilisha kujaza fomu na kurejesha ni 10,321.

Watanzania wataelekeza zaidi macho na masikio yao maeneo yenye upinzani mkali kama Kigamboni, Arusha mjini, Simanjiro, Kyela, Mbeya mjini, Mwibara, Misungwi, Same Mashariki, Tunduma, Tarime Vijijini na Ubungo ni baadhi ya maeneo yanayoangaliwa kwa jicho la tatu.


------ UPDATE: MATOKEO YA KURA ZA MAONI -----

1. DAR ES SALAAM
Kinondoni

Abbas Tarimba - 171
Idd Azann kura - 77
George Wanyama - 32
Maulidi Mtulia - 11

Kigamboni - Kura 399

Dkt. Faustine Ndugulile - 190
Paul Makonda - 122
Ansar Kachwamba - 39

Kawe

Ilala

Sophia Edward Mjema 105
Mussa Azzan Zungu 148
Henry Sato Massaba 4
Rahma Ngassa 6
Grace Buberwa 6

Kibamba

Ubungo - Kura 375

Prof. Kitila Mkumbo - 172
Bi.Mwantum Mgonja - 73

Ukonga

Temeke - Kura 367

Abbas Mtemvu - 203
Doris Kilave - 182
Abdallah Mtolea - 22.


2. SINGIDA

Iramba Magharibi


Singida Mjini

Musa Ramadhan Sima - 158
Charles Kisuke - 124
Hassan Mazala - 92

Singida Kaskazini
Iramba Mashariki
Iramba Magharibi
Manyoni Magharibi
Manyoni Mashariki
Singida Mashariki
Singida Magharibi


3. TABORA

Bukene
Igalula
Igunga
Kaliua
Manonga

Nzega Mjini - Kura 376
Bashe 367
Ruangisa 1
Mashili 6
Wengine 2

Nzega Vijijini
Sikonge
Tabora Mjini
Ulyankulu
Urambo
Uyui


4. PWANI

Kisarawe
1.Hassan Bangusilo- 1
2.Fransis Gosbert -1
3.Mohamed Masenga-1
4.Ally Goha -2
5.Zemba Mumbi -2
6.Zainabu Zowange-2
7.Chaulembo -3
8.Seleman Jafo - 588

Chalinze
Bagamoyo
Kibaha Mjini

Kibaha Vijijini
Hamoud Jumaa - 332
Michael Makamo - 33
Hussein Juma -31

Mafia

Mkuranga
Abdallah Ulega - 1138
Ramadhan Mlao - 50
Ally Mawe - 7

Kibiti
Rufiji



5. IRINGA

Isimani

Lukuvi - 453
Kiyoyo - 16
Mwilinge - 5
Kidunye - 5
Kalinga - 4
Mfilinge - 4
Kushoka - 0
Chengula - 0
Gange - 0

Iringa Mjini
Jesca Msambatavangu - 190
Nguvu Chengula - 75
Ibrahim Ngwada - 44

Kalenga
Kilolo

Mafinga Mjini
Cosato Chumi - 135
Dr. Bazil Tweve - 122

Mufindi Kaskazini
Mufindi Kusini

6. TANGA
Tanga Mjini
Bumbuli
Mlalo

Pangani
Jumaa Awesso - 281

Kilindi
Mkinga
Handeni Vijijini
Muheza
Korogwe Mjini
Korogwe Vijijini
Lushoto
Handeni Mjini

7. GEITA
Geita Mjini
Geita Vijijini
Busanda
Mbogwe

Bukombe
Doto Biteko - 555

Chato


8. MBEYA/SONGWE

Mbeya mjini - Kura 924

Tulia Ackson - 843
Vikita - 1
Mwakipesele - 11
Mwakaloge - 2
Mwaifani - 3
Bwiga - 1
Fugale - 1
Mabula - 16
Mwademba - 2
Wagombea wengine(23) - 00

Mbeya vijijini
Mbarali
Rungwe
Ileje
Mbozi

Vwawa
Japhet Hasunga - 552
Erick Minga - 129

Momba
Tunduma
Chunya
Kyela
Busokelo
Lupa

9. MANYARA

Babati Mjini
Babati Vijijini
Hanang’
Kiteto
Mbulu Mjini
Mbulu Vijijini
Simanjiro

10. KILIMANJARO

Hai

Siha
Dk. Godwin Mollel - 148
Aggrey Mwanry - 147
Tumsifu Kweka - 53


Moshi Mjini - Kura 370
Ibrahim Shayo - 140
Priscus Tarimo - 137
Beno Malisa - 23

Mwanga
Same Mashiriki
Same Magharibi
Moshi Vijijini

Vunjo - Kura 567
Enock Koola - 187
Dk. Charles Kimei - 178
Crispin Meela - 47

Rombo

11. MOROGORO

Gairo
Shabiby - 532
Dkt.Mmasa Joel - 8
Shehewa Chiduo - 6

Kilombero
Kilosa
Mikumi
Mlimba
Morogoro Kusini
Morogoro Kusini Mashariki

Morogoro Mjini - Kura 638
1. Abdul-Aziz Abood - 524
2. Merkiory Manset - 17
3. Ally Yahaya Simba - 15
4. Idhah Omary Abdalah (Alsaedy) - 10

Mvomero
Ulanga Magharibi/ Malinyi
Ulanga Mashariki

12. MTWARA
Mtwara Mjini

Mtwara Vijijini - kura 847
Aman Mtepa kura 1
Solomon Mushi 1
Said Nyengedi 1
Zhia Ally 2
Said Tewa 4
Privatus Mutungi 4
Rashid Nandonde 5
Yunus Nangapomi 5
Kais Mohamed 5
Augostino Nguli 11
Mohamed Lilanga 38.
Olivernus poul 139
Seleman Mwamba 191
Hawa Ghasia 440.

Nanyamba
Nanyumbu
Ndanda

Newala Mjini - Kura 526
George Mkuchika - 319
Rashidi Mtima - 121
Karimu Lichela - 42

Newala Vijijini
Tandahimba
Masasi
Lulindi

13. LINDI
Kilwa Kusini
Kilwa Kaskazini
Lindi Mjini

Liwale - Kura 482
Faith Mitambo - 363
Zuberi Kuchauka - 71
Halifa Kujakila

Mtama
Nape Nnauye - 496
Nahonyo Cuthbert 177
Chiwinga Aushuatino - 42

Mchinga
Nachingwea

Ruangwa
Majaliwa Kassim Majaliwa - Alikuwa peke yake

14. KATAVI
Katavi
Kavuu
Mpanda Mjini
Mpanda Vijijini
Nsimbo

15. NJOMBE

Njombe Kaskazini
Njombe Kusini

Makambako
Deo Sanga - 421
Robert Msigwa - 29
Mhandishi Sostenes Ngogo - 20

Wanging'ombe
Makete
Ludewa

Lupembe 421
Edwin Swale - 138 kati ya kura 421
Jorum Hongoli - 61


16. DODOMA
Bahi
Chemba
Chilonwa
Dodoma Mjini
Kibakwe
Kondoa Mjini
Kondoa Vijijini

Kongwa - Kura 889
Job Ndugai - 850
Dkt. Samora Mshanga - 20
Isaya - Mngulumi - 19

Mpwapwa

Mtera
Livingstone Lusinde - 571
Dkt. Michael Msende - 120
Mwanga Chibago - 37

17. MWANZA
Buchosa

Ilemela - Kura 685
Dkt. Angeline Mabula - 502
Israel Mtambalike - 112

Kwimba
Magu
Misungwi
Nyamagana
Sengerema
Sumve
Ukerewe


18. RUVUMA
Songea Mjini
Nyasa
Tunduru Kaskazini
Tunduru Kusini

Peramiho
Jenister Mhagama - 845

Madaba
Namtumbo
Mbinga Mjini
Mbinga Vijijini

19. RUKWA
Sumbawanga Mjini
Nkansi Kaskazini
Nkansi Kusini
Kwela
Kalambo

20. KAGERA
Biharamulo
Bukoba Mjini
Bukoba Vijijini

Karagwe
Innocent Bashungwa - 587
Joseph Kahama - 48
Vedasto Gotfrida - 7

Kyerwa
Muleba Kaskazini
Muleba Kusini
Ngara
Nkenge

21. MARA
Bunda Mjini
Bunda Vijijini
Butiama
Musoma Mjini

Musoma Vijijini
Profesa Sosipeter Muhongo - 391

Rorya
Serengeti
Tarime Vijijini
Tarime Mjini

22. SHINYANGA
Kahama Mjini
Kishapu
Msalala
Shinyanga Mjini
Solwa
Ushetu

23. SIMIYU
Bariadi
Busega
Itilima
Kisesa
Maswa Mashariki
Maswa Magharibi
Meatu

24. KIGOMA
Buyungu

Kasulu Mjini
Prof. Joyce Ndalichako - 405
Daniel Nsanzugwanko - 80

Kasulu Vijijini
Kigoma Kaskazini
Kigoma Kusini/Uvinza
Kigoma Mjini
Manyovu
Muhambwe


25. ARUSHA

Karatu

Arumeru Magharibi

Arumeru Mashariki
Dkt. John D Pallangyo - 536
Dkt. Daniel M Pallangyo - 63
Joshua Nassari - 26.

Longido

Monduli

Ngorongoro
[emoji28]
Screenshot_20200720-194911_Facebook.jpeg
 
😂😂😂😂😂 Huyo ni ME au KE?

[emoji1][emoji1][emoji1] kuna mwingine amejinandi eti anafikika, anaashaurika na mwisho akamalizia eti anaingilika.. ukumbi kicheko hadi wanalala chini[emoji1]
 
Angalia wasije vamia JF na mibunduki yao usiku.
#BREAKING: Aliyekuwa Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile @DocFaustine ameibuka mshindi wa kura za maoni Kigamboni kwa kupata kura 190, mshindi wa pili ni aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa DSM Paul Makonda mwenye kura 122.
 
Mtama
Nape Nnauye - 496
Nahonyo Cuthbert 177
Chiwinga Aushuatino - 42

Tusubiri viumane na wa ATC Wazalendo tupime nguvu ya Membe kwao
 
Most likely atapewa. Ukizingatia pia utafauti wa kura 9 ni chache sana.

Kimei anauzika hata kwa wapinzani, huyo Koola anaweza asiwe na ushawishi nje na wanachama wa CCM Vunjo ambao pia ni wachache.
Ndugu unamjua Koola?
Huyo Engineer ni mwamba kweli kweli huko CCM Vunjo. Kuna watu wengi huko Uchagani wameshangaa kumuona Kimei ameweza kuleta huo ushindani.
Nina uhakika CCM hawataweza kumkata Koola, hata iweje. Kama Magufuli anampenda sana Kimei ili ampe waziri, basi atasubiri kuja kumteua kwa ubunge wa viti maalum ikiwa Magufuli atautwaa tena urais.

Lakini fahamu tu hili, hakuna mchaga atayevuna uwaziri chini ya utawala huu wa Magufuli, sembuse uwaziri wa Fedha.
 
Wewe ni Mnafiki sana kuna ' post ' hapa ulisema Paul Makonda ndiyo ameshinda au atashinda nashangaa Kukuona hivi sasa nawe unashangilia.
Mtani acha ujinga Makonda nimpeleke wapi?
Bora mbuzi ashinde na sio yeye.
Japo nilikua na hofu kwa nma alivyomwaga pesa
 
Back
Top Bottom