Wanaccm kigamboni wamemkubali
Mkateni halafu mumpe huyo wowowo wenu muone uchaguzi utakavyokuwa simple kwa wapinzani
Ndungulile kwa Kigamboni anakubalika hadi na wapinzani
Naongea kama mkazi wa Kigamboni nitakayepiga kura.
Wapinzani wa kigamboni ipi ww na kwa lipi alilofanya kigamboni ww ...hebu niambie tangu achaguliwe 2015 huko kwenu alishakuja kusikiliza kero hebu kua mkweli
 
Hapo kwa Mwanri na Mollel kuna namna hapoo...
 
Ukweli ndo huo, Mkuu anaweza kutumia yaliyomkuta Makonda Kigamboni kujitathmini na kujirekebisha inapobidi Badala ya kutunga Sheria za Kutoshitakiwa..

Makonda ameadhibiwa na WanaCCM kwa Sababu yake..

Makonda alivyo Chukizo, Ndivyo naye alivyo..:Wala ASIJIDANGANYE na ASIDANGANYWE

Katika Uchaguzi Huru na wa Haki, anachakazwa na Lissu mpaka ataita maji mmaa

Hapendwi Kihivo
Subiri Ifike 2023/2024

He will be Ignored mchana kweupe, Kwani yeye nani bana!
 
HONGERA Dk Tulia Ackson ,sugu lazima afungashwe virago Kyala akutule nkamu gwangu
 
Mpe Makonda moyo. Lakini Makonda sio mgeni, alikuwa Rc hapo Dar. Na Kigamboni ni eneo ndani ya Dar.. Kwa maneno nafupi ni kwamba Makonda hakuwa ana kubalika kama Rc Dar
Ushindi ni ushindi hata kura moja ni ushindi..
Fuatlia kwa Ndugai kongwa,isbani kwa lukuvi,Arusha mrisho Gambo halafu uje hapa tena
 
Mnaenda kumuuza mtu hauzi. Matokeo magumu bila ile kamati aliyokuwa anaiongoza. Shikamoo JPM. Kweli Rais tunaye, maana ukibeep tu, yeye anapiga. Hasubiri kesho itakuwaje
 
Inategemea na uyo mgeni ana nguvu kiasi gani, Ndugulile amepatta ushind mkubwa sana huo...kaangalie kwa Nchemba sasa
 
Matendo mabaya yana sauti kuliko matendo mazuri..

Sasa rasmi kigamboni wameunga juhudi za marekani kukemea udhalimu kwenye roho za watu..

Marekani asikanyage na kigamboni mwiko, wanambunge wao.
 
CCM wapishaacha ule upuuzi wao na hatutegemei malalamiko kwa wagombea
 
Jamani mchakato bado kabisa, naona watu wanawehuka kwamba haya matokeo kura za maoni ndio mwisho wa kila kitu

Kumbe sio hivyo, majina bado yataendelea kuchujwa sana tu, na mwishowe yatapelekwa kwenye kamati ya WATU 24 ikiongozwa na Mwenyekiti, kwahio kuna possibility kubwa waliobwagwa au "watoto pendwa" wanaweza kupata.

Mambo bado kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…