Kwa umaarufu alionao Makonda , aisee Ndungulile kampiga kisawa sawa kwn huwezi sema kura ni chache...hzo kura ni nyingi sana sana
 
#BREAKING: Aliyekuwa Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile @DocFaustine ameibuka mshindi wa kura za maoni Kigamboni kwa kupata kura 190, mshindi wa pili ni aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa DSM Paul Makonda mwenye kura 122.
Safi sana,ubaya haulipi!
Aende akauze kwenye duka lake sasa
 
Arusha Mjini
Mrisho Gambo - 333
Philemon Mollel - 68
Albert Msando - 19


What a game,What a battle PALE LEMA HAPA GAMBO.
Lema hana chake pale. Atapata kira za mateja tu ila sio za wengi wanaojitambua.
Bai bai lema...
 
Huyu ni mtoto kipenzi!
By any means anaingia mjengoni!

Time will tell.
 
Rais kamponda lakini CCM imeridhika naye tuache uchochezi!
 
Daaah sasa makonda ataenda wap jamn
Alihisi Ndugulile alivyotumbuliwa kwenye unaibu W wa afya itatosha kuwa kashifa kwake kumpoteza kwenye ulingo wa siasa na yeye iwe fursa kwake ya kupenya kiulaini!

Kapigana hata hivyo maana kura zaidi ya 100 ni kura nyingi sana alikuwa na wapenzi wengi kumsapoti.

Lakini kila nikisikiliza cheche za Magufuli, sidhani kama kuna uwezekano wa Makonda kubebwa kiubwerere safari hii, sidhani!
 
Hata akibebwa,lakini ukweli umeshajulikana,ndo hapo wake against ccm,watakapochukua Jimbo kwa ulainiiiiiiii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…