Hali ni tete sana kwa Dr Mwakyembe Kyela.

huenda akaangushwa na mpambe wake kwa jina la Kinanasi
 
Macho na masikio yangu yapo Same Mashariki,Mchuano mkali ni kati ya Daudi Mambo vs Mama Anna Kilango Malechela ambae mwaka 2015 alipeperusha bendera akasababisha CCM kupoteza jimbo.
 
Mwamba alieunga juhudi kinondoni hali mbaya akipata kura 5 ashukuru laana ntakuelekeza jimbo ndio inamrudia😂😂😂
 
Habari za mchana huu kwa Atmosphere ya sehemu ambayo kura za maoni zinapigwa makonda paul anaenda kuchukua jimbo


Chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere ni Ngome ya makonda wapiga kura wengi ni wanafunzi wa serikali ya wanafunzi chuoni MASO

Sijui icho chuo ni cha chama cha mapinduzi CCM au hapo sijafahamu vizuri

mnaoshindana na makonda mjiandae kisaikolojia tu

Mpoki haufikishi kura ata 8
 
Macho na masikio yangu yapo Same Mashariki,Mchuano mkali ni kati ya Daudi Mambo vs Mama Anna Kilango Malechela ambae mwaka 2015 alipeperusha bendera akasababisha CCM kupoteza jimbo. Huku Daudi Mambo ni Kijana msomi na Mwenye maarifa na kipenzi cha vijana wa Same
 
Kwa mfumo wa sasa wa ccm kura za maoni hazina maana yoyote ile maana anaweza chukuliwa hata mtu aliopata kura sifuri


Makonda atakumbana na baba yake

Maana ndio alisema.... kushinda maoni dodoma wanaamua upyaaaaaa
 
Nipo Ughaibuni, Bwana Mdogo wangu mmoja amenipenyeshea hapa, kwamba upepo mwingi unaonekana kumwelekea Bwana Kalist lazaro;

Maendeleo hayana Vyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…