Lala mwaya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jimbo la mbinga nani kaongoza
Mbunge alikuwa sixtusemapunda
Na nyasa nan maan kulikuwa na Eng Manyanya.Jimbo la mbinga nani kaongoza
Mbunge alikuwa sixtusemapunda
Nadhani angeligombea kwenye jimbo lake la ubunge wa zamani(Momba)angelishinda.Silinde kapigwa chini
Musiba hajashindanishwa? Si nasikia alichukua fomu, au ni jimbo tofauti na hilo?Mwibara
Kangi 4
Kajege 102
Mabula 398
Fia mbali huyo. Kapotea kwenye ramani kabisa. Walifanya lolote Moshi vijijini mpaka alipotumbuliwa.Hivi Cyril Chami yupo wapi ?
Hali ni tete, mzigo umeonekana jimbo la ccm, shehiya ya malindi unguja View attachment 1512334
Mwakyembe ndiyo imekula hivyo; angekuwa wa pili, unaweza kusema labda aliyeongozqa ana skendo fulani itakayomdisqualify, lakini kuwa wa tatu ni mbali sana kwa yeye kutoka tena. Haiwezekani wote waliioongoza, tena kwa kura nyingi wote wawe na skendo za kuwa-dikwolifai. CCM iruhuhu utaratibu ufuate mkondo wake.
View attachment 1512263
Bembeleza mwana oooh, msitu mkubwa mamaaa, safari ni ndefu ooo...
Je sote tutaliwa na simba?
Kwa hiyo watu wajifunge gavana ndani ya mioyo yao wasisherehekee?Mkuu hujamsikia pole pole Leo??kasema kuongoza kwenye kura so ndo kupata tiketi.bado majina yanapelekwa kwenye kamati ya siasa wila. Kisha halmashauri kuu dodoma.
Viti maalum havitolewi kwa walioomba kura za wananchi wakashindwa kuzipata. Kwa Makonda akiwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ndiyo the most prestigious position kwa wakuu wa mikoa halafu akaipiga sadaka alikosea sana. Ni afadhali kutumbuliwa na mtu mmoja aliyekupa madaraka hayo kuliko kushindana na watu wengi na ukaonekana kuwa hufai.MAKONDA rasmi viti maalum, na uwaziri mambo ya ndani
Mtu yule aliwatumia kutuumiza mioyo na sasa amewatupa kama tissue paper.Mua uliokuwa unasubiriwa umeongea na kutoa fundisho kwa wale waliosaliti na kuunga juhudi. Kazi Sasa Ni kwa wale watiifu waliobaki upinzani. Toeni elimu Ni kwa namna gani waliligharimu serikali hela kwa kurudia uchaguzi. Mseme kwenye majukwaa Ni kwa namna gani bajeti ya tume ilivyogharimu hela nyingi kwa kurudia chaguzi hizi.
Mtoe takwimu Ni kwa jinsi gani maeneo mengine yalivyoathirika kwa kuhamisha hela na kwenda kufuraishana kwa jina uchaguzi wa marudio. Waonyesheni tofauti ya mtu aliyepita kura za marudio bila kupingwa na kura zao za Sasa kwenye zoezi la utiaji Nia na utitiri wa watu wsliojitokeza kutia Nia.
Waonyesheni pia unafiki na propaganda zilizofanywa na CCM za kutowawekea wagombea ili wapite bila kupingwa. Pia waelezeni watu jinsi chama Cha CCM kilivyowatumia dhidi ya upinzani kwa kuminya demokrasia. Nadhani mumenielewa.
Tumieni matokeo ya kutia Nia ndani ya CCM ili kujizolea umaarufu kwa watu Kama kina Makonda waliowatesa na kujifananisha na Mungu kwa kitendo Cha kukataliwa na wwapiga kura ambao Ni wenzao
Mbarawa alipata kiti maalum hata baada ya kule jimboni kwake kushindwa 2015.Viti maalum havitolewi kwa walioomba kura za wananchi wakashindwa kuzipata.
Walidhani njr ya chadema wana nguvu.Mua uliokuwa unasubiriwa umeongea na kutoa fundisho kwa wale waliosaliti na kuunga juhudi. Kazi Sasa Ni kwa wale watiifu waliobaki upinzani. Toeni elimu Ni kwa namna gani waliligharimu serikali hela kwa kurudia uchaguzi. Mseme kwenye majukwaa Ni kwa namna gani bajeti ya tume ilivyogharimu hela nyingi kwa kurudia chaguzi hizi.
Mtoe takwimu Ni kwa jinsi gani maeneo mengine yalivyoathirika kwa kuhamisha hela na kwenda kufuraishana kwa jina uchaguzi wa marudio. Waonyesheni tofauti ya mtu aliyepita kura za marudio bila kupingwa na kura zao za Sasa kwenye zoezi la utiaji Nia na utitiri wa watu wsliojitokeza kutia Nia.
Waonyesheni pia unafiki na propaganda zilizofanywa na CCM za kutowawekea wagombea ili wapite bila kupingwa. Pia waelezeni watu jinsi chama Cha CCM kilivyowatumia dhidi ya upinzani kwa kuminya demokrasia. Nadhani mumenielewa.
Tumieni matokeo ya kutia Nia ndani ya CCM ili kujizolea umaarufu kwa watu Kama kina Makonda waliowatesa na kujifananisha na Mungu kwa kitendo Cha kukataliwa na wwapiga kura ambao Ni wenzao
Halafu naye baada ya kukataliwa jimboni kwake akajaribu kuwa Rais mwaka huu?Mbarawa alipata kiti maalum hata baada ya kule jimboni kwake kushindwa 2015.