Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Kitendo walichokionyesha CCM kupitia matokeo kura za maoni kwa watia Nia toka kwa ndugu zetu mliowapokea inatia moyo. Kuwakataa mumetenda haki kwa watanzania na kwa wanaccm wenzenu

Mtu kwanza aliwananga kuwaponda na hatimaye akachaguliwa upande wa pili na Kisha wakuu wenu kufanya mnada na kumchukua. Baadaye wachuuzi wake wakamtengenezea brand Kali na kumteua Tena atetee Jimbo lake. Akashindishwa kwa hila bila kufuata taratibu za chama chenu Wala za tume.

Kuwakataa mumeonyesha kuwa Tanzania inaweza kusonga mbele bila hila chafu. Hongereni Sana wanaccm na pia hongereni Sana wanakigamboni. Na hii ni indicator kwa yeyote aliyekufuru kujifananisha na Mungu hakika atafeli. Wanasema kilichokataliwa duniani hata mbinguni kimekataliwa
 
Wale hawapo kwa ajili ya watanzania. Bashe kazaliwa Tanzania ?Kapata uraia juzi juzi kama sikosei baada ya 2005.Hawana mapenzi na Tanzania. Wapo kimaslahi binafsi zaidi.
As highly regarded member, hizi comments zinakupunguzia credits.
 
Nimemsikiliza rais hapa:


Ni kweli kiingereza kinamgonga sana. Ingawa lugha siyo uwezo wa utendaji, lakini du! Nina imani sana na utendaji wa Mmagufuli ila presentation yake inayohusisha kiingereza inahitaji kufanyiwa kazi kidogo.
 
Nimemsikiliza rais hapa:

Ni kweli kiingereza kinamgonga sana. Ingawa lugha siyo uwezo wa utendaji, lakini du! Nina imani sana utendaji wa Mmagufuli ila presentation yake inahitaji kufanyiwa kazi kidogo.
Afu ana PhD khaaaaah
 
Afu ana PhD khaaaaah
Ni kweli kiingereza kinamgonga sana. Ingawa lugha siyo uwezo wa utendaji, lakini du! Nina imani sana na utendaji wa Mmagufuli ila presentation yake inayohusisha kiingereza inahitaji kufanyiwa kazi kidogo.
Hilo la kutojieleza kwa kiingereza kwa ufasaha linaeleweka hasa kama hakupata walimu wa wazuri wa awali wa kumfundisha lugha.
 
Mwakyembe haamini 🤣🤣🤣
2461756_EdZkIJLXYAQhx5c.jpg
 
Pia kutakuwa na Ushindi mkubwa kwa wale Wabunge wa Umoja wa Korosho kina Hawa Ghasia na wenzake. Wabunge wa JK/Lowassa wote watakuwa na Ushindi mkubwa. Wabunge wapya wa JPM watashindwa au kwa ushindi mwembamba sana.
 
Back
Top Bottom