Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
WEWE SIYO MMOJAWAO.Hao wajumbe wa ccm wametokea mbinguni au? Hujui tunaishi nao na kukaa nao majumbani?
By the way una uhakika gani kama mimi siyo mmojawapo wa walio shiriki upigaji kura na kumkataa Bashite?
WEWE SIYO MMOJAWAO.
Kawe Dr. Mashinji alie unga mkono kapata kura mbili... Ng'ombe alie katwa mkia
Kajitahidi lakini..😂😂😂😂😂Mayala kapata kura moja
Hahah mamamamae safi sana.Msaliti Mashiji kura 2.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mayala kapata kura moja
mpuuzi mmoja huyo.Msaliti Mashiji kura 2.
Mkoa wa Kigoma
Kasulu Vijijini
Augustine Vuma 266 (alikuwa mbunge anayemaliza muda wake)
Agripina Buyogera 97
Samson F. Kabogo 70
Betola Juma Kulikiza 46
Emanuel T. Msasa 26
Yona P. Msongwa 21
Adam P. Mkuyu 20
Prof. Hudson Nkotagu 18
Leonard L. Nyanzira 11
Gibson Bunyaga 10
Kwa hiyo Augustine Vuma ameongoza kutetea Ubunge katika Jimbo aliloliwakilisha.
Buyungu
Kamamba 50
Msakila 47
Gwegenyeza 44
Eng. C. Chiza 33
Kwa hiyo Eng. Christopher Chiza ameshika nafasi ya 4 kwenye Jimbo alilokuwa mbunge
Buhigwe
Dr. Philip Mpango 297
Obama 76
Hahah mamamamae safi sana.
Unafikir mimi nimechukua fomu au nategemea siasa kuishi kama wewe? Acha kuota dogo.Akili itakurudia safari hii
Chama kina wenye chama ...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wacha dunia imfundishe