Waliodondokea pua jana na leo

Babu Tale apeta Morogoro vijijini
**
**
Mwana FA Muheza Chalii kura 296 nafasi ya 2
Sipirian Musiba Chalii Mwibara
Dk Issac wa Clouds Chalii Ubungo
Mwijaku kura 0 Chalii Kawe
Pascal Mayalla kura 1 Kawe mwa Jf mwenzetu
Dk Mashinji kura 2 Kawe
Askofu Gwajima 79 Kawe
Lijuakali Kilombero kura 5
Silinde Chaliii Tumduma
Dk Mwakyembe mwenye digrii 4 ( mzee ana dharau huyu kawakejeli wajumbe wameishia la saba) chalii kura 256, wa kwanza kura 750, Kyela
Zamaradi kura 2 Kinondoni
Kalapina kura 1 Kinondoni
Makonda Kigamboni Chalii
Kitwanga katwanga na Mnyeti huko Misungwi
Steve Nyerere Chali Iringa mjini kura 6
Mtulia Chali Kinondoni kura 11
Nassari chalii Arumeru Mashariki kura 22
Mpoki 0 Kigamboni
Lazaro chalii Arusha mjini
Mtolea Temeke Chalii
Kafulila Kigoma kusini Chalii
Katambi Kahama Chalii


Bado sijapata ya
Mc Pilipili


NB: Wale waliotoka upinzani na kuunga mkono juhudi wote wamedondokea pua [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizi Kura za maoni Kama bongostar search ya madam Ritter
 
1. Kiherehere chako cha kila mara na Kiburi chako cha Asili ama hakika Kimekuponza na Wengine wajifunze kutoka Kwako.
2. Ulishindwa kujua kuna tofauti kubwa kati ya kuwa Jamihi Fworumu Pulatinamu Memba na Kuaminiwa na Wapiga Kura Ukumbini.
3. Mtu hujawahi hata kuwa Mjumbe wa Nyumba 10 achilia mbali tu Udiwani leo unalitaka Jimbo la ' Cow Way ' kweli?
4. Siku zote hasa Jumamosi unaonekana sana Runingani ila hujawahi hata Kuizungumzia ' Cow Way ' yako unayoitaka.
5. Wapiga Kura wa Jimbo la ' Cow Way ' walitaka Mshindani wa Kweli na hasa lakini siyo ' Mnafiki ' uliyetukuka kabisa.
6. Watu Werevu duniani wakienda Kuogelea Kwanza huwa wanapima Kina cha Mto au Bahari na hawakurupuki tu Kipuuzi
7. Mtu mzima tena mwenye Familia na Wajukuu wako njiani kupata Kura Moja ( Moko ) tena yako Mwenyewe ni Fedheha mno.

Asanteni sana Wapiga Kura wote wa Jimbo la ' Cow Way ' kwa kuwa ' Makauzu ' hasa na hata hamjapoteza muda Wenu Kumpigia Mtu Kura zenu.
 
Mkoa wa Kigoma

Kigoma Mjini


Kirunde Shaban Ng'enda 218
Juma Juma Mwaka 44
Eng. James Nyabakari 37
Juma Musa Kamange 26
Maulid Mkondo 17
Dr. Ahmed Nsovu 17
Shaban S. Hamim 11
Benedict Sindagi 10
Baruan Abdallah Mhuza 10

Dr Mwaka hahahaaaaa watu maarufu wote wanapigwa spana tu
 
Ndiyo hapo sasa nasema waumini wake watapungua sana na kuwachana na hilo kanisa lake.

Kashindwa kujiombea mwenyewe.
Alafu wajinga wanamfata awaombee wapate promotion kazini,
yeye mwenyewe kashindwa kujipromote.
 
Ainaga tena ladha iyo imeisha
 
Mkoa wa Kigoma

Kigoma Mjini


Kirunde Shaban Ng'enda 218
Juma Juma Mwaka 44
Eng. James Nyabakari 37
Juma Musa Kamange 26
Maulid Mkondo 17
Dr. Ahmed Nsovu 17
Shaban S. Hamim 11
Benedict Sindagi 10
Baruan Abdallah Mhuza 10
 
Kwa yeyote anaefaham mwenendo wa kura za maoni jimbo la musoma mjini tafadhali atuhabarishe
 
Rekebisha namba Saba sio Lusinde ni Silinde
 
Amini kuna maajabu yatatokea kwenye yale majina matatu ni vyema kuwa na subira na kutunza maneno.
Ni kweli lakini Sio Generally; Kuna factor zinazoangaliwa kwenye Mabadiliko huko kamati kuu
1. Kama umeshinda na Uliacha Nafasi ya Kuteuliwa za muheshimiwa Rais(refer Tamaa za vijana wa 82 ya magu, na Kukata majina na kuchukua la 4
2. Ulihusishwa kwenye Rushwa, kwamba hawaangalii kura bali wanaangalia Matukio nyuma ya kura ulizopata(Refer Leo katibu Mkuu wa CCM)
3. Magu anataka kusafisha Chama, Akiruhusu watu waliopenya kwa Rushwa inapunguza wigo wa yeye kuteua mawaziri; hivyo waliopenya kwa njia za hovyo hovyo watashughulikiwa.
Hivyo sio wote watapigwa chini, kuna factor fulani zinaangaliwa; According to Magu na Bashiru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…