Mkoa wa Kigoma

Kigoma Mjini


Kirunde Shaban Ng'enda 218
Juma Juma Mwaka 44
Eng. James Nyabakari 37
Juma Musa Kamange 26
Maulid Mkondo 17
Dr. Ahmed Nsovu 17
Shaban S. Hamim 11
Benedict Sindagi 10
Baruan Abdallah Mhuza 10
Naomba nitoe neno:
Itakapoketi Kamati kuu, Uncle Eng James Nyabakari atapitishwa.
Reason: Tanroads' breed (Eng Kijazi, Eng Mfugale, Eng Kakoko, Eng Nditiye........ Kitchen cabinet ya 'HUYU')!
Dominus Vobis..
 
Kondoo ni kondoo tu na sijui hua wanalishwa nini ata wamfumanie guest house na mtoto wa shule ya msingi huwaambii kitu wakakuelewa
Unawakumbuka wale waliokua wanalala airport wakiamini wanaweza kwenda ulaya kwa ndege bila passport wala ticket.
Hivi walienda kweli
 
Itategemea bwana yule ameamkaje siku hyo.
Mimi namwaminia Magu angalau kwenye mchakato huu ametenda haki na kutimiza wajibu.
Hii ni hatuna ya awali. Akikoroga huko mbele kwenye hatuna zinazofuata hakuna wa kumsamehe.
 
Hii ni spana kwa Mayalla sio.
 
Mkoa wa Kigoma

Kigoma Mjini

Kirunde Shaban Ng'enda 218
Juma Juma Mwaka 44
Eng. James Nyabakari 37
Juma Musa Kamange 26
Maulid Mkondo 17
Dr. Ahmed Nsovu 17
Shaban S. Hamim 11
Benedict Sindagi 10
Baruan Abdallah Mhuza 10

Buhigwe (Manyovu)
Dr. Philip Isidor Mpango 297
Albert Ntabaliba Obama 76

Kigoma Kaskazini
Peter Serukamba 261
Asa Makanike 81
Suleiman Hanzuruni 51

Kasulu Vijijini
Augustine Vuma 266 (alikuwa mbunge anayemaliza muda wake)
Agripina Buyogera 97
Samson F. Kabogo 70
Betola Juma Kulikiza 46
Emanuel T. Msasa 26
Yona P. Msongwa 21
Adam P. Mkuyu 20
Prof. Hudson Nkotagu 18
Leonard L. Nyanzira 11
Gibson Bunyaga 10

Kwa hiyo Augustine Vuma ameongoza kutetea Ubunge katika Jimbo aliloliwakilisha.

Buyungu
Kamamba 50
Msakila 47
Gwegenyeza 44
Eng. C. Chiza 33
Eliya 13

Kwa hiyo Eng. Christopher Chiza ameshika nafasi ya 4 kwenye Jimbo alilokuwa mbunge
 
Bado mwita waitara jamaniiih
 
Abdul Nondo atajipigia tu mapema.

Siasa za Kigoma Mjini ni za kiswahili na mjuano. Huyu Engineer itabidi aweke usomi pembeni ili awezane na wa kigoma. Kingine wasomi si waongeaji Kigoma wanapenda Siasa za majukwaani.
Naomba nitoe neno:
Itakapoketi Kamati kuu, Uncle Eng James Nyabakari atapitishwa.
Reason: Tanroads' breed (Eng Kijazi, Eng Mfugale, Eng Kakoko, Eng Nditiye........ Kitchen cabinet ya 'HUYU')!
Dominus Vobis..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…