Atasema ameibiwa tena kama 2015
 
Reactions: BAK
Wassira ana amini katika mahoka kuwa angeweza kushinda ! Mungu amshike mkono mzee wa watu
 
KALIUA TOWN

01.BITALIBUBE BENJAMIN STEPHEN 01
02.KAMKONO ZAWADI HAMADI 02
03.KAPUFI MOHAMMED ALLY 07
04.KAPUYA ATHUMANI JUMA 217
05.KATUNDU MANGASINI ATANASI 22
06.KUCHEBA LEONARD SIXBERTY 06
07.KILATU DENIS LONGINO 71
08.KINYEGA JOYCE SPRINGI 03
09.KWEZI ALOYCE ANDREW 209
10.LUFUTA CHAGU MATHIAS 02.
11.LYOBA CEFACE JOHN 08
12.MATABULA IMANI MOSHI 17
13.MUSSA ISMAILI KALELANDA 0
14. SELEMAN SELEMAN OMARY 0
15.SITTA JUVENARY SAMWELI 0

WASHINDI TATU BORA
(1)KAPUYA ATHUMANI JUMA 217

(2)KWEZI ALOYCE ANDREW 209

(3)KILATU DENIS LONGINO 71
 
Mtemi, lengo la muanzishaji wa uzi huu ni kutaka kupata "updates" kutoka sehemu mbalimbali. Ukiusoma vyema uzi huu, yeye hakuwa na muelekeo wa kutaka kuwa "subjective" ktk maudhui yake ya jumla.

Ni hakika yupo "objective" kabisa, na huku akitutaka sote tumpe habari za uhakika ili aendelee kuzifanyia kazi na kuweka mabadiliko ktk taarifa ambayo imekwisha tangulia kutolewa.
 
Duuh huyu mzee kapita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…