Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Kigoma Mijini waislam ni wengi kwa maana hiyo wao ndiyo waamuzi wa nani awe mbunge.

Ni Kama Zanzibar. Pale Mkristo akigombea hawezi kushinda.

Kwa hiyo usitoe povu sana wakati mwenzako kasema ukweli

Acheni fikra za Kijinga hizo, Mbona Singida Mashariki (Wanyaturu) ambao ni Wazee wa kiislamu wengi tulikuwa tukimchagua Tundu Lissu (sio Musilamu)?
 
Ni muhimu sana na busara mtu kupendekezwa na wengi, wote walio kosa kura za maoni haimaanishi Walikosa kwa kimakosa, hayo ndio majibu sahihi, wapo walio pendekezwa na mtu mmoja kuwa ajiunge au awe mwanachama ila umati ulikuwa bado haujakubaliana na mtu huyo sasa leo ndio majibu hata kama ulitoka upinzania kwa gharama yoyote ijulikanayo na isiyo julikana, wajumbe ndio wenye mamlaka na maamuzi sasa tuwe wapole ili siku nyingine tutakuwa na la kumwambia aliye tupendekeza.
 
Mtoto wa Stephen Wasira akisaini matokeo ya kura za maoni kwa niaba ya baba yake baada ya Wasira kuondoka eneo la mkutano kabla ya kutangazwa kwa matokeo.

ITV Tanzania

Na Kinachoniumiza zaidi GENTAMYCINE kuna wengine katika Akaunti zao za Benki ndani na nje ya Tanzania wana Pesa za Kula hadi Wakifariki.
 
Huyu mchange anatamaa kweli
2010 alikua Chadema
2015 alikua ACT
2020 CCM

Sio lazima awe mtu wa tamaa, lakini kuna kitu kimoja hatutaki kukubali: Vyama vya upinzani hatuja jenga uwezo wa kutunza viongozi wachanga, tunapigana mabuti tu.
 
Mtoto wa Stephen Wasira akisaini matokeo ya kura za maoni kwa niaba ya baba yake baada ya Wasira kuondoka eneo la mkutano kabla ya kutangazwa kwa matokeo.

ITV Tanzania

Na Kinachoniumiza zaidi GENTAMYCINE kuna wengine katika Akaunti zao za Benki ndani na nje ya Tanzania wana Pesa za Kula hadi Wakifariki.
Yule mzee niliomba Mungu asipite.
Kumbe dua zangu ni kali[emoji23]
 
Ushaur wangu kabla ujatangazania hakikisha ulishawai kuwa ata kiongozi wa vijana wa chama usika angalau ata ngazi ya kata ama tarafa. Sio unakurupuka wakat wanachama hawajawai kuona matunda yako ya uongozi katika ngazi yeyote ya chama
Alishakua meya wa Ilala na wa jiji katika vipindi tofauti wakati wa tenure ya JK.
 
Sugu kushinda hilo liko wazi kabisa mkuu, nimesema yawezekana atakayetangazwa ni Dr Tulia. Soma vizuri mkuu na hapo ndo maana nikasema lazima figisu ya maana ifanyike. Sugu alitutesa sana timu Shitambala 2015, this time Tulia ana mkono toka juu na hapo ndio mwanzo wa sintofahamu.
Kama watafanya figisu ya kumuibia Sugu kura ili wampitishe mtu wao, timbwili litakalotokea hapo Mbeya mjini itabidi marehemu wafufuke!! Serikali inabidi iwe makini Banyambala sio watu wa mchezo!!
 
Jitu Patel ni mtu mwingine na alishakimbia nchi nadhani ni wanted kwa zile tenda zake za Jeshi

Huyu wa babati ni Jitu Faraar Vraijalal Soni

Sijui hilo la Patel umelitoa wapi mkuu
Wewe ni muongo balaa, huyo Jeetu Patel aliyekimbia nchi ni wako wa kuchonga; mwenyewe Jeetu halisi yuko kajaa nyumbani kwake karibu na Yatch Club!!!
 
Awali alikuwa agombe Kigoma mjini lakini akakimbilia Kasulu baada ya kuona jimbo hilo uamuzi wa kuwa mbunge huamliwa na wazee wa Ujiji ambao ni waislamu
Udini udini.........
 
Wewe ni muongo balaa, huyo Jeetu Patel aliyekimbia nchi ni wako wa kuchonga; mwenyewe Jeetu halisi yuko kajaa nyumbani kwake karibu na Yatch Club!!!

Kama huelewi maana ya neno "nadhani" basi mie muongo.

BTW na Shailesh Vithlani nae karudi?? Una taarifa zake?
 
Kama huelewi maana ya neno "nadhani" basi mie muongo.

BTW na Shailesh Vithlani nae karudi?? Una taarifa zake?
Hapa tunazungumzia Jeetu Patel sio hao unaowajua wewe. Ukitaka kumuona Jeetu nenda Kilosa kwenye mashamba yake!!
 
Prof Kapuya apeta Tabora kura 217
Mke mzuri kaja na neema
IMG_20200722_100119_362.JPG
 
Back
Top Bottom