Msaliti Cecilia mwambeMaskini Cecy Mwambe!!!
Shiiiiiiii,, sema polepole mkuu,, baba wa kmbo!Bila shaka mkuu........
Hivi kwa nn jamaa anajiita magufuli?
Yupo ngangari. Karibu BarHeeee
Makubwa ,Vicky kamata yupo kumbe
Huyo Kunambi ameacha u City Director kabisa,, atakakuta ka Suzana Kiwanga kamtemeshe mzigo tena!Katika jimbo la Mlimba kulikuwa 39, Godwin Kunambi ameongoza kwa kupata kura 193, na alifungana na Rose Rwakatare aliyepata kura 193.
Pia katika uchaguzi huo Acrey Mhenga alipata kura 124 na Jane Mihanji amepata kura 14.
Huyo Kunambi ameacha u City Director kabisa,, atakakuta ka Suzana Kiwanga kamtemeshe mzigo tena!
Hivi city hawajaweka mkurugenzi mwingine? Loooh, mzee anataka tena kucheza double standards zake huyu!Halafu mbona hajatenguliwa yeye??
Kapigwajamani nipeni matokeo ya serengeti, je msaliti ryoba alishinda?
Eliya kapigwa chini. ...muunga mkono juhudiMkoa wa Kigoma
Kigoma Mjini
Kirunde Shaban Ng'enda 218
Juma Juma Mwaka 44
Eng. James Nyabakari 37
Juma Musa Kamange 26
Maulid Mkondo 17
Dr. Ahmed Nsovu 17
Shaban S. Hamim 11
Benedict Sindagi 10
Baruan Abdallah Mhuza 10
Buhigwe (Manyovu)
Dr. Philip Mpango 297
Obama 76
Kigoma Kaskazini
Peter Serukamba 261
Asa Makanike 81
Suleiman Hanzuruni 51
Kasulu Vijijini
Augustine Vuma 266 (alikuwa mbunge anayemaliza muda wake)
Agripina Buyogera 97
Samson F. Kabogo 70
Betola Juma Kulikiza 46
Emanuel T. Msasa 26
Yona P. Msongwa 21
Adam P. Mkuyu 20
Prof. Hudson Nkotagu 18
Leonard L. Nyanzira 11
Gibson Bunyaga 10
Kwa hiyo Augustine Vuma ameongoza kutetea Ubunge katika Jimbo aliloliwakilisha.
Buyungu
Kamamba 50
Msakila 47
Gwegenyeza 44
Eng. C. Chiza 33
Eliya 13
Kwa hiyo Eng. Christopher Chiza ameshika nafasi ya 4 kwenye Jimbo alilokuwa mbunge
Wa mwisho na kura kiduchujamani nipeni matokeo ya serengeti, je msaliti ryoba alishinda?
Asante kwa kazi nzuri ya kujumuisha matokeo!Naomba kuuliza masuali yafuatayo?
1. Kura hizi hupigwa na vipi na ni nani anastahiki kupiga?
2. Ni nani anaehesabu kura? maana kwa kuangalia tu hata mtoto mdogo atagundua kuwa jumla ya kura zilizopigwa hazilingani na kura walizopata wagombea. Kwa nini hazikuelezwa zilipokwenda kura nyengine? Au ndio ile kazi ya ku foji inaanzia ndani ya ccm kwenyewe?
Kipenzi cha Baba!Halafu mbona hajatenguliwa yeye??
Aseeh!wajumbe sio watu wazuri[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!Katani anajuta. Km nawaona wamakonde wanamchekaaWajumbe wapiga kura hawaelewiki. Wanaweza kukuaminisha unashinda, wakala pesa yako kumbe walishafanya maamuzi kumchagua mpinzani wako
Waitara bora jiwe au kukuWaitara kawa mbunge wetu jimbo la ukonga Kwa miaka mitano, hamna alichofanya. Poleni wana Tarime 2025 mtatueleza
Mshemz mtulia amerudi cufJambo zuri ni kuwa kati ya wabunge 264 wa kuchaguliwa 70, wameliwa vichwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa wakaseme NDIOOOO nyumbani kwaoView attachment 1515176View attachment 1515177
Wananchi hawawataki malaya wa kisiasaWasaliti wanazidi kulamba vumbi!!
Bashiru kawadanganya ili watolewe barabarani!!
Hizo ni karata za kisiasa;
Gekur na Nasari vumbi tupu!!