Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Katika jimbo la Mlimba kulikuwa 39, Godwin Kunambi ameongoza kwa kupata kura 193, na alifungana na Rose Rwakatare aliyepata kura 193.

Pia katika uchaguzi huo Acrey Mhenga alipata kura 124 na Jane Mihanji amepata kura 14.
Huyo Kunambi ameacha u City Director kabisa,, atakakuta ka Suzana Kiwanga kamtemeshe mzigo tena!
 
Kama nimemsikiliza vizuri mr polepole
Yaani yakiyofanyika kuteua huko majimboni ni sawasawa na sifuri
Majina yataletwa chaguo la mkuru. Na hakuna kwenda nje ya ccm utadhibitiwa. No freedom at all. Ila wananchi watachagua kwa mhemuko wanayempenda
 
Mkoa wa Kigoma

Kigoma Mjini

Kirunde Shaban Ng'enda 218
Juma Juma Mwaka 44
Eng. James Nyabakari 37
Juma Musa Kamange 26
Maulid Mkondo 17
Dr. Ahmed Nsovu 17
Shaban S. Hamim 11
Benedict Sindagi 10
Baruan Abdallah Mhuza 10

Buhigwe (Manyovu)
Dr. Philip Mpango 297
Obama 76

Kigoma Kaskazini
Peter Serukamba 261
Asa Makanike 81
Suleiman Hanzuruni 51

Kasulu Vijijini
Augustine Vuma 266 (alikuwa mbunge anayemaliza muda wake)
Agripina Buyogera 97
Samson F. Kabogo 70
Betola Juma Kulikiza 46
Emanuel T. Msasa 26
Yona P. Msongwa 21
Adam P. Mkuyu 20
Prof. Hudson Nkotagu 18
Leonard L. Nyanzira 11
Gibson Bunyaga 10

Kwa hiyo Augustine Vuma ameongoza kutetea Ubunge katika Jimbo aliloliwakilisha.

Buyungu
Kamamba 50
Msakila 47
Gwegenyeza 44
Eng. C. Chiza 33
Eliya 13

Kwa hiyo Eng. Christopher Chiza ameshika nafasi ya 4 kwenye Jimbo alilokuwa mbunge
Eliya kapigwa chini. ...muunga mkono juhudi
 
Naomba kuuliza masuali yafuatayo?

1. Kura hizi hupigwa na vipi na ni nani anastahiki kupiga?
2. Ni nani anaehesabu kura? maana kwa kuangalia tu hata mtoto mdogo atagundua kuwa jumla ya kura zilizopigwa hazilingani na kura walizopata wagombea. Kwa nini hazikuelezwa zilipokwenda kura nyengine? Au ndio ile kazi ya ku foji inaanzia ndani ya ccm kwenyewe?
Asante kwa kazi nzuri ya kujumuisha matokeo!
 
Wajumbe wapiga kura hawaelewiki. Wanaweza kukuaminisha unashinda, wakala pesa yako kumbe walishafanya maamuzi kumchagua mpinzani wako
Aseeh!wajumbe sio watu wazuri[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!Katani anajuta. Km nawaona wamakonde wanamchekaa

Sent from my itel it1508 using JamiiForums mobile app
 
Jambo zuri ni kuwa kati ya wabunge 264 wa kuchaguliwa 70, wameliwa vichwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa wakaseme NDIOOOO nyumbani kwao
IMG_20200723_182203_589.JPG
IMG_20200723_182118_180.JPG
 
Mleta post kaitekeleza post yake,kura za maoni zimeisha siku ya 3 leo lkn bado nusu ya majimbo hujaripoti!
Kama hamuwezi kumaliza kazi msiwe mnafungua uzi bana
 
Back
Top Bottom