Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
mkuu kwa kauli yako, akishindwa ntaamini hakutumwa na mtu yoyote kugombea huko.Makonda anajua siasa. Kigamboni lazima ashinde jamaa alijipima kwenye mizani na alijua jimbo lipi atapita kirahisi.
Matokeo sahihi mpaka Sasa ni Mtulia katulizwa kapata kura 11 tu.Tarimba kashinda kinondoni.Baby emb weka matokeo ya watu unitag maana nilikuwa bize ndo naingia Jf now! Nifanyie wepesi maana si kwa hizi comments 600 na ushee
Wakuu wa Wilaya watarajiwa haoHakuna mhamiaji yoyote aliyeshinda kwenye kura za maoni za CCM kwenye chaguzi ndogo.
Kilichotokea ni hiki, mwanzoni walipoanza kuhamia kura za maoni zilifanyika na wote walishindwa vibaya sana, lakini wakuu wa CCM wakawateua hivyo hivyo. Baadaye wahamiaji walivyozidi kuhamia, Mwenyekiti wa CCM (Magufuli) akaamuru wawe wanapitishwa hivyo hivyo na kura za maoni zisifanyike kabisa.
Sasa kimbembe kipo muda huu, inaaminiwa hakuna msaliti hata mmoja atakayeweza kupenya wala kufurukuta kwenye kura za maoni, na huenda mbereko za mwenyekiti kuwabeba hazitakuwepo kwenye kuwateua kugombea.
Msando hapiti Alisha m disappoint Meko kwenye issue ya CORONA
Gambo hapiti hata kwa dawa..
[emoji23][emoji23][emoji23] naendelea kusisitizatupo hapa kigamboni naona makonda yupo kwenye bufee anachukua tambi, samaki duh ila kaweka pilipili imejaa mpaka inamwagika kwenye shati, lakini cha ajabu analia kishenzi yani nadhani pilipili imemuingia machoni.
Iddy Azan Ndio Zungu?
Ngoja tusubiri,kila mtu anaongea lakeSio kweli mkuu. Ex wa jiji la Dar anahema ovyo tu now. Kama ni kisimati atapata kingine.
Hela anayo kwa nini ashindwe.mkuu kwa kauli yako, akishindwa ntaamini hakutumwa na mtu yoyote kugombea huko.
Makonda unamwombea khere kwa lipi?Kila la Heri Waheshimiwa Paul makonda, Gambo, katambi Ole sendeka na Mwanri👏👏
Unaongelea analytical intelligence. Kujipima kwenye mizani inahitaji analytical intellegence na mtu aliye-fail form IV manake ni zero kabisa akili za ku-analyze mambo. #MkurupukajiMakonda anajua siasa. Kigamboni lazima ashinde jamaa alijipima kwenye mizani na alijua jimbo lipi atapita kirahisi.