CCM imetengeneza 1,036,100,000 kupitia ada za fomu za ubunge na uwakilishi. kweli mwenye nacho huongezewa.
bado nasikia kuna michango mbalimbali isiyo rasmi wanatakiwa kulipia mbali na hiyo ada
Hiyo michango ya hiari ndo pesa nyingi kuliko hizo za fomu. Kila Jimbo Lina kiwango chake. Kuna majimbo kiwango kinafika Hadi laki tisa
 
Kule Moshi mjini Kura zinaendelea kuhesabiwa Ila tengemea Mr shayo us Mr priscus waliotoa rushwa watashindwa kwa kishindo Cha nguvu ya fedha.Hapo kigamboni pia Kura zinaendelea kuhesabiwa


Mkuu unawasakama sana huyo Mr Shayo na huyo Mr Priscus haucomment chochote zaidi ya ya kuwataja majina Yao post nzima comments zako ni hao tu 😂😂

Kama una ushaidi wapeleke Takukuru, kumbuka kwenye mashindano kuna kushinda na kushindwa
 
Nauliza tu kwa wale wataalamu wa sayansi ya siasa kwamba hawa wahamiaji waliotoka CHADEMA kwenda CCM walitumia mbinu gani wakati wa uchaguzi mdogo hadi wakawagaragaza vibaya washindani wao kutoka CCM?

Maendeleo hayana vyama!
Walitumia kura ya VETO kutoka CHATTLE.
 
Zamaradi Alikua anadhani kina Juma Lokole ndio wapiga kura wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
KUTOKA JIMBONI SIHA

1. Dr Godwin Mollel........... *58*
2. Justine Kweka *85*
3. Lameck Munuo... *91*
4.AGGREY MWANDRY... *151*
5.Eng.Betson Maimu.... *231*


Eng. Betson Maimu... [emoji3581][emoji3581][emoji3581]
Bora lichotara limepigwa hayo machotara ndiyo yanakwamisha maendeleo ya nchi hii sababu ya urafi wao
 
Nauliza tu kwa wale wataalamu wa sayansi ya siasa kwamba hawa wahamiaji waliotoka CHADEMA kwenda CCM walitumia mbinu gani wakati wa uchaguzi mdogo hadi wakawagaragaza vibaya washindani wao kutoka CCM?

Maendeleo hayana vyama!

Kile ulichokiona kwenye uchaguzi wa marudio kwa hao mamluki toka upinzani, ndio style kabisa ya ushindi wa ccm. Ila sasa hivi wanadhalilika maana hawakuwa wanakubaliwa na wanacm, bali ilikuwa ni mpango wa siasa chafu za mwenyekiti na genge lake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…