Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,715
Na aanguke Vizuri kabisaaa.....Dr kimei kashaanguka huko Vunjo
Jimbo la Vunjo
Enock koola 187
Dr kimei 178
Nimerekebisha tafadhaliSasa hapo mshindi Ni Nani au umevuta bangi
[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]woyooooooooooFaustine Ndugulile Mshindi
Makonda Chaliii
We ndiyo mshamba akitumia atumie kimyakimya asituletee hapa habar za FBBilionea Strive Masiyiwa anatumia FB ije kuwa huyu Jamaa? Acha ushamba...
SafiiiiiiiiiUbungo kitila mkumbo kapita
Tusubiri maamuzi ya kamati ya siasa ya wilaya na kamati kuuSamahani ni 178 kwa Dr. Kimei
Na kwa Enock ni 187
Somebody Mtulianani
13 mkuuYule Michael ana ngap?
Agalegale na atapetape kabisaa....Kigamboni wamemaliza kuhesabu kura, Makonda amegaragazwa vibaya.
Hesabu itatolewa sasa hivi.
Makondakta chaliiiiii,... labda Jiwe ambebe vinginevyo nae atabaki civilian kama sie hapa
Sio kweli kwani Dialo aligombea kwenye jimbo la heche? Nadhani umechanganya na WenjeHata ubunge wa Heche mchawi alikuwa Dialo.
Hebu ongeza sauti hapa tafadhali!Dr kimei kashaanguka huko Vunjo
Jimbo la Vunjo
Enock koola 187
Dr kimei 178
kweli?Faustine Ndugulile Mshindi
Makonda Chaliii
Poti, huyo ameshakatiliwa mbali huko... Ubabe una mwishoUna maana kuwa yule msukuma anayewawatawala wanaume wa dar kaangukia makalio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kigamboni, Paul Makonda 319, Ndungulile 69
Nimemempenda jamaa amejiachia Sana hana hofu na mtu.Natazama live hapa matangazo ya matokeo ya Jimbo la Kigamboni..huyo msoma karatasi za kura Baraka Mpenja anasubiri sanaaa