Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
KIGAMBONI: MATOKEO YA KURA ZA MAONI UBUNGE YANATANGAZWA

Zoezi la kuhesabu la kamilika, wasimamizi wanajitayarisha kwa hatua ya kutangaza matokeo ya kura alizopata kila mtia nia katika walichoita kura ya maoni na siyo mshindi.. kila mtia nia anatia saini fomu ya majumuisho

 
mpanda vijijini wametangaza muda huu
moshi kakoso-437
lusesa-19
Mayeka-06
Mbonipa-05
Myamba-04
Mambwe-03
Sadala-02
Mlay -01
mgeju-01
Balakumuye-01
Mirambo-0
sumry -0
 
Back
Top Bottom