Paul Makonda amegomea matokeo yanayoonyesha kushindwa na ametaka kura zihesabiwe upya huku yeye akiwa muhesabuji mkuu kwa upande wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anataka kurudisha mpira kwa kipa?
 
Hayo mambo ni kwa vijijini huko. Kwa town hapa ni ngumu kuwapangia mtu waliemchangua labda wafanye risk. Maana lazma itatokea migawanyiko
 
Paul Makonda amegomea matokeo yanayoonyesha kushindwa na ametaka kura zihesabiwe upya huku yeye akiwa muhesabuji mkuu kwa upande wake.
Huyo jamaa aache ujinga, alifikiri ni uteuzi huo?!! Utopolo kabisa
 
Kumbe nanyi mnakiri hapendwi! Kwanini msingemshawishi abaki na mkoa wake
Kiukweli, ndungulile kashinda sababu aliyekua anapambana nae watu hawampendi ila ndungulile nae hajaitendea haki kigamboni, angekua na mtia nia mwingine wa maana angepigwa chini saa sita mchana...
 
Sema navyomjua huyu bwana ni bingwa wa fitna, huwezi shangaa kuanzia kesho watu wa Kigamboni wakaanza kuandamana hawamtaki mshindi wa kura za maoni ili kamati kuu ilete jina la pili. Hii ngoma ndio kwanza inaanza kwa mtazamo wangu
 

Nimeahirisha nataka nipate Uhakika Kwanza kutoka Kwako juu ya Matokeo ya mwisho na nita ' Log Out ' Saa 1 na dakika 15 muda si mrefu Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…