Basi by these results, tunabadili lugha, WANAUME NI MALAYA, . Ukiacha yote bado wanawake wamekuwa wajengaji hoja wazuri bungeni g, Mdee, Bulaya etc ;wasiwasi wangu ni Je watapata uungwaji mkono katika mfumo dume?View attachment 1506003
Uchunguzi wa awali unaonyesha kwamba Wanachama wengi wa Chadema wanawaamini wakina mama kutokana na msimamo wao thabiti wa kutetea chama chao, inaaminika wanaume wengi wanajiuza kwa bei chee.
Mifano ni mingi, James Millya, Joshua Nassari na Mwita Waitara wanawakilisha mamia ya waliojiuza.
Wakifanya hivyo itawashushia hadhi kwenye jamii, sidhani kama watafanya hivyo!Kwakweli chadema isifanye uhuni kuwaengua wamama waliopita kura za maoni
Yaani yote hiyo nikutushawishi tusimuweke Lissu?Erythrocyte, Mgombea uraisi pia apewe mwanamke!
Mkuu kuna mahali kuna mfumo dume kama mkoa wa Mara?Basi by these results, tunabadili lugha, WANAUME NI MALAYA, . Ukiacha yote bado wanawake wamekuwa wajengaji hoja wazuri bungeni g, Mdee, Bulaya etc ;wasiwasi wangu ni Je watapata uungwaji mkono katika mfumo dume?
Inashangaza hawa watu kuwa makini kiasi hiki namatokeo ya CHADEMA. .Naona Lumumba mko busy kufuatili haya matokeo, na nina amini hata mwenyekiti wenu nae atakuwa busy kufuatilia.
Yaani manaume tumekuwa utopolo kabisa, shenzi zetu kabisa wanaume wote! Zamani tuliaminishwa kwamba malay.a ni wanawake lakini sasa hivi imedhihirika wanaume ndio malay.a tumechukua nafasi ya wanawake! Sikutegemea mtu kama Silinde atakuwa mpumbavu kiasi hicho!!Kiukweli kina mama angalau msimamo upo, ukimwangalia ester matiko, Ester Bulaya na Halima Mdee kwa uchache.
duh! mkuu unajua kuuguza mgonjwa wetu chadema anaejifia taratibu kwa kumkandika uji non stop! kishindo gani tena? cha radi,tetemeko,kuanguka nyumba, au mti au?Magu mwenyewe kasema ukishindana na mwanamke lazima akushinde, Chadema ijiandae na ushindi wa kishindo.
Kweli kabisa, unaona malaya wamekaa pamoja hapo pichani, wanajiuzaMkuu kuna mahali kuna mfumo dume kama mkoa wa Mara?
Lakini sasa hivi wamebadilika na kuwajua wanawake mashujaa, ndio maana Bulaya na Matiko walikubalika.
Ila hawa WANAUME MALAYA wanatuondolea kuaminika kabisa hata katika familia. Nasikia kuna familia wanaume wanaambiwa "umekuwa kama Shilinde au Waitara" au pia wanaambiwa "unatuletea tabia za Nassari huoni aibu?"View attachment 1506106
Dogo jifunze kuandika kwa heshima hao wanaume unaosema wanajiuza kuna waliopoteza maisha yao kwa sababu ya CHADEMA.View attachment 1506003
Uchunguzi wa awali unaonyesha kwamba Wanachama wengi wa Chadema wanawaamini wakina mama kutokana na msimamo wao thabiti wa kutetea chama chao, inaaminika wanaume wengi wanajiuza kwa bei chee.
Mifano ni mingi, James Millya, Joshua Nassari na Mwita Waitara wanawakilisha mamia ya waliojiuza.
CHADEMA ipi inayojifia nyie madhalimu sisiem?duh! mkuu unajua kuuguza mgonjwa wetu chadema anaejifia taratibu kwa kumkandika uji non stop! kishindo gani tena? cha radi,tetemeko,kuanguka nyumba, au mti au? hivi ni nani nchi hii ataipigia kura Chadema na wakati sote nchi nzima tumeshuhudia kiongozi wake DJ Makengeza amevunjwa mguu na wahuni wa chadema waliochukizwa kuona kaenda kulewa pombe na kufanya uzinzi na hawara joy kwa pesa zao ruzuku na michango ya wabunge!! sidhani kama chadema itapata hata kura moja majimboni!! mark my words!!
We mpuuzi? Lumumba ndio wapi? Na ulishaona nipo lumumba na mimi sio fala kama wewe.Na wewe nani anakutafuna hapo Lumumba?
Acha dharau wewe unazani wewe unastahili sana kwa lipiNa haya madume suruali mengine VIPI? Kina Lijualikali, Cecil Mwambe, nk. Bado wanastahili kuvaa suruali?
Sikutegemea na wewe ungeunga mkono huu udhalilishaji alioufanya mleta mada.Basi by these results, tunabadili lugha, WANAUME NI MALAYA, . Ukiacha yote bado wanawake wamekuwa wajengaji hoja wazuri bungeni g, Mdee, Bulaya etc ;wasiwasi wangu ni Je watapata uungwaji mkono katika mfumo dume?
Jimbo la Iramba ( Mgombea :Kishoa)
Jumla ya Kura 136
Kura za hapana 0
Kura za ndio 134
Zilizoharibika 2
Mwendawazimu akichorewa mlango ukutani atahangaika sana kujaribu kupita!! hao ndio Chadema!! umma upi unauongelea mkuu? umma huu wa makapuku? nakutakia kila la heri upone ugonjwa kuamini nadharia!!CHADEMA ipi inayojifia nyie madhalimu sisiem?
Hii mliyoipiga marufuku isifanye siasa miaka5 huku siasa mkifanya ninyi wenyewe na bado inaendelea kukua kila leo?
Hii mnaokamata, kuteka, kuwaweka kizuizini, kuwapiga na kuwatia ulemavu viongozi wao wengine mnnawaua lakini CHADEMA hiyo hiyo ndo kwanza inaimarika?
Hii mnayotumia wahuni kuwatwanga Risasi viongozi wake mchana saa7 kweupe?
CHADEMA hii hii mnayotuma wahuni usiku wakamshambulie mwenyekiti Kisha mnatumia propaganda kuonyesha mwenyekiti alikuwa amelewa??
Niwaambie tu pale umma utakapoamua hakika mtalia na kusaga meno!
Umma ukisimama kidete mtahaama nchi! Hakuna wa kutuzuia, tutaondoa kuanzia mtoto mwenye miaka 0 mpaka Bibi mwenye miaka 100+ mwenye vinasaba vya Lumumba! Chuki mliyoipanda kwa kipindi kirefu Sasa haivumiliki!
CC: USSR, MAGONJWA MTAMBUKA, WAKUDADAVUA, BIA YETU, MBINGUNIKWETU(HUYU NI DAUD ALBERT BASHITE)
Namba ya waunga juhudi ilikuwa ya wanaume so wanaonesha ukomavuKiukweli kina mama angalau msimamo upo, ukimwangalia ester matiko, Ester Bulaya na Halima Mdee kwa uchache.